Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mikoa ya Kagera na Geita

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mikoa ya Kagera na Geita

Nilichogundua hoja za vyama vingi vya upinzania vimekaa kutugawa Watanzania, nadhani, CCM itaendelea kubaki imara muda wote na watanzania wataipigia kura.
 
Ni yeye 2020
Ndugu zangu na sisi huku kitaa tupige campegne kwa kamanda lissu. Mimi nimetekeleza wajibu wangu kwa mtu mmoja mmoja. Nikiwa kibanda umiza, kwenye mabasi, kijiweni kote huko namwombea kura kamanda lissu.

Lissu ana nia na dhamira ya kutuvusha toka hapa tulipo. Tuacheni ujuha, ccm ipumzishwe imeshachoka na pumzi haina. Tukapige kura za ndio kwa kamanda Lissu kwa wingi. Kama mwenyewe anavyosema. Tupige kura za kimbunga na tufani.

#Niyeye2020Lissu
 
Eti anapewa Asilimia kubwa kuwa Rais! Mkuu pamoja na kisomo chako na uelewa wako unaweza kuzungumza upotolo kama huu?
Hata kama una huba na mahaba uwe serious kidogo basi.
Hawajasombwa na magari ya mizigo hao
 
Huenda Leo mgombea mpendwa tundu lisu akawa chato anakotokea mpinzani wake anaesuasua bwana Jpm jiwe
Swali wanachato wakijitokeza maelfu kwa maelfu kumlaki mgombea huyo anaeongoza kwenye kura za maoni ,Jpm atakuwa kwenye hali gani?
Tutarajie kwanzia hapo upepo utabadilika kabisa
 
kama ulikuwa huijui Tanzania vizuri kwa Huba na Mahaba yako utaifahamu vizuri mwaka huu, na utashangaa.

Wewe huwezi kunifundisha kitu kuhusu Tanzania labda ccm maana sijawahi kuwa mwanachama wake maishani mwangu, na nilikuwepo kabla ya ASP na TANU hazijaungana 5.2.1977 wakati huo sijui ulikuwa na Umri gani mkuu.

Mwaka huu Tanzania inaenda kuwaponyoka mikononi ndiyo utajua kuwa wenyewe Tanzania wamefanya yao....kama walivyofanya wajumbe
 
Lissu hatakuwa chato leo, muwe mnajipa muda wa kutafiti kabla ya kupost
 
Wewe huwezi kunifundisha kitu kuhusu Tanzania labda ccm maana sijawahi kuwa mwanachama wake maishani mwangu, na nilikuwepo kabla ya ASP na TANU hazijaungana 5.2.1977 wakati huo sijui ulikuwa na Umri gani mkuu.

Mwaka huu Tanzania inaenda kuwaponyoka mikononi ndiyo utajua kuwa wenyewe Tanzania wamefanya yao....kama walivyofanya wajumbe
Wenye Tanzania? Ndio wewe nini? Labda ndio wewe peke yako.
 
Komaeni tuuu nasubilia kuchinja mtu trh 28 siangalii usoni mwaka huuu
 
Back
Top Bottom