Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mikoa ya Kagera na Geita

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mikoa ya Kagera na Geita

Wakuu natanguliza salamu na baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye mada, kama mnavyojua Kampeni zinaendelea na leo tena Mh Lissu ambaye anapewa asilimia kubwa kutwaa urais wa nchi atakuwa kwenye mikoa ya Kagera na Geita, katika kanda hii kunatarajiwa kupigwa mkutano maalum wa kipekee kwenye jimbo la Chato.
...
Ahsanteni watu wa Nyakanazi.


Wewe, wewe "Erythrocyte, unatuchosha na upuuzivwako. Kila bandiko lako, kuhusu Kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka huu ni matukio ya nyomi kana kwamba ndizo Sera za CHADEMA. Wakati mwingine unaweka bandiko za kuwazungumzia vibaya wagombea wasio wa CHADEMA. Akili za upotolo tu.

SHAME ON YOU. Na hao wananchi wa Nyakanazi watawaadhibu vibaya kwenye sanduku la kura ili tuwaone barabarani mkipinga matokeo.

Ukweli watanzania wamechoka CCM. Ili ukubwliane na maneno yangu subiri TL akiwa mkoa wa Geita alilizaliwa JPM utaona atakavyoungwa mkono.

Yawezekana Watanzania wameichoka CCM, lakini ukweli ni kwamba, ninyi wafuasi wa CHADEMA, na Lissu, mgombea wenu wa Urais, mnatuchosha humu JF na mnawachosha wapiga kura kwa hadithi za Abunwasi (kama ulisoma kitabu hicho).

Kila siku hoja zenu ni VIOJA. Yanayojiri kwenye kampeni za Lissu na lugha yake ya kumdharilisha Magufuli, Rais aliyeko madarakani. Ukweli anavyoendelea kufanya hivyo atapata nyomi ya vijana ambao kwa kawaida mambo ya udaku huwavutia. Kinyume chake anajijengea chuki kwa wapiga kura.
 
Huenda Leo mgombea mpendwa tundu lisu akawa chato anakotokea mpinzani wake anaesuasua bwana Jpm jiwe
Swali wanachato wakijitokeza maelfu kwa maelfu kumlaki mgombea huyo anaeongoza kwenye kura za maoni ,Jpm atakuwa kwenye hali gani?
Tutarajie kwanzia hapo upepo utabadilika kabisa
Naenda kwa mama lishe kuagiza ubwabwa na maharage; nile kwa raha zangu.
 
Wewe, wewe "Erythrocyte, unatuchosha na upuuzivwako. Kila bandiko lako, kuhusu Kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka huu ni matukio ya nyomi kana kwamba ndizo Sera za CHADEMA. Wakati mwingine unaweka bandiko za kuwazungumzia vibaya wagombea wasio wa CHADEMA. Akili za upotolo tu.

SHAME ON YOU. Na hao wananchi wa Nyakanazi watawaadhibu vibaya kwenye sanduku la kura ili tuwaone barabarani mkipinga matokeo.



Yawezekana Watanzania wameichoka CCM, lakini ukweli ni kwamba, ninyi wafuasi wa CHADEMA, na Lissu, mgombea wenu wa Urais, mnatuchosha humu JF na mnawachosha wapiga kura kwa hadithi za Abunwasi (kama ulisoma kitabu hicho).

Kila siku hoja zenu ni VIOJA. Yanayojiri kwenye kampeni za Lissu na lugha yake ya kumdharilisha Magufuli, Rais aliyeko madarakani. Ukweli anavyoendelea kufanya hivyo atapata nyomi ya vijana ambao kwa kawaida mambo ya udaku huwavutia. Kinyume chake anajijengea chuki kwa wapiga kura.
Sasa unalia au unalalamika ?
 
Eti anapewa Asilimia kubwa kuwa Rais! Mkuu pamoja na kisomo chako na uelewa wako unaweza kuzungumza upotolo kama huu?
Hata kama una huba na mahaba uwe serious kidogo basi.
bora umesema na wewe huyu dada kila siku huwaga namuuliza hivi kweli yuko serious na anachokisemaga au anatania? lissu awe rais ? labda wa tff
 
Huenda Leo mgombea mpendwa tundu lisu akawa chato anakotokea mpinzani wake anaesuasua bwana Jpm jiwe
Swali wanachato wakijitokeza maelfu kwa maelfu kumlaki mgombea huyo anaeongoza kwenye kura za maoni ,Jpm atakuwa kwenye hali gani?
Tutarajie kwanzia hapo upepo utabadilika kabisa
😆😆😆😆
 
Ni yeye 2020
Ndugu zangu na sisi huku kitaa tupige campegne kwa kamanda lissu. Mimi nimetekeleza wajibu wangu kwa mtu mmoja mmoja. Nikiwa kibanda umiza, kwenye mabasi, kijiweni kote huko namwombea kura kamanda lissu.

Lissu ana nia na dhamira ya kutuvusha toka hapa tulipo. Tuacheni ujuha, ccm ipumzishwe imeshachoka na pumzi haina. Tukapige kura za ndio kwa kamanda Lissu kwa wingi. Kama mwenyewe anavyosema. Tupige kura za kimbunga na tufani.

#Niyeye2020Lissu
Una mawazo kama yangu! Jana, tarehe 20/09/2020, nilikua na ofisa wa serikali, nikafanikiwa kumshawishi kuchagua Lisu, mbunge na diwani wa CHADEMA! Taasisi anayo fanya kazi,ya kilimo na mifugo, hawajalipwa mwaka Huu! Jamaa akaniambia badala ya kuwekeza kwenye kilimo na ufugaji ambako kuna ajira za Watanzania wengi, wananunua ndege, ambazo wasafiri ni wachache wenye maisha mazuri!
Nashauri kama ulivyo sema mkuu, tufanye kampaini ya kutafuta kura popote! Na popote tuwaondoe watu hofu na imani potofu, kwamba hata tufanyeje ccm itashinda tu!
 
Mkuu sanduku la kura ndio huamua yote, wanaomlalamikia JPM wapo lakini wanafahamika kwa makundi.
Lowasa aliungwa mkono kuliko Mrema, kuliko Tundu Lissu leo.
Siasa haina kanuni. Lolote linaweza kutokea. Kilicho wazi ni kuwa CCM na wagombea wake wanategemea usaidizi kutoka Tume ya uchaguzi na vyombo vya usalama ikiwemo mahakama.
 
Eti anapewa Asilimia kubwa kuwa Rais! Mkuu pamoja na kisomo chako na uelewa wako unaweza kuzungumza upotolo kama huu?
Hata kama una huba na mahaba uwe serious kidogo basi.
Tatizo lililopo sio elimu.hata ukiweka miwani watu wataipigia kura miwani na kuichagua ,maisha yamekuwa magumu sana.wananchi hawataki tena CCM.
 
Siasa haina kanuni. Lolote linaweza kutokea. Kilicho wazi ni kuwa CCM na wagombea wake wanategemea usaidizi kutoka Tume ya uchaguzi na vyombo vya usalama ikiwemo mahakama.
Safari hii hatutamwachia Mungu , wakiiba patachimbika na ni lazima warudishe
 
Back
Top Bottom