Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani sijui mtakufa kimyakimya sijui mtafanyaje baada ya jpm kuapishwa naona mtakuwa hiviiiiiJiandae kisaikolojia
Hao hao wafugaji na vijiji jiranisi mnasemaga hakuna watu chato ila punda na mifugo,hao watu maelfu watatoka wapi???
Nepotism in offing.Ndiyo, na mume wake ni DAS wa Mvomero anaitwa Hofman Sanga. Halafu kuna mbigiri zinasema tujiajiri!
Duuh kumbe Lissu ameamua kwenda kwenye ngome ya jiwe? Ngoja tuone mamboa yatakavyokuaHuenda Leo mgombea mpendwa tundu lisu akawa chato anakotokea mpinzani wake anaesuasua bwana Jpm jiwe
Swali wanachato wakijitokeza maelfu kwa maelfu kumlaki mgombea huyo anaeongoza kwenye kura za maoni ,Jpm atakuwa kwenye hali gani?
Tutarajie kwanzia hapo upepo utabadilika kabisa
Leo ni leo msema kesho ni mwongoUkweli watanzania wamechoka CCM. Ili ukubwliane na maneno yangu subiri TL akiwa mkoa wa Geita alilizaliwa JPM utaona atakavyoungwa mkono.
Wewe umekeketwa kwa siri??!Kampeni za Lissu zinafanyika kwa kificho sana kama shughuli za ukeketaji, no live coverage, picha lazima zipite maabara
ujielewi wewe...Kampeni za Lissu zinafanyika kwa kificho sana kama shughuli za ukeketaji, no live coverage, picha lazima zipite maabara
Kumbe The Hague, The Netherlands siyo sehemu geni kwenye hiyo familia???Leo nipo Chato na nasikia DAS wetu wa Moro Bi Ruth John yupo likizo basi lazima nikamtembelee nimpe hongera maana nimesoma paper yake yupo vizuri
View attachment 1575849
Ni mtunzaji mzuri wa misitu
Nadhani leo wananchi wa chato watapigwa stop woote. Sipati picha the unknown watakuwa wamemwagwa leo hukoHuenda Leo mgombea mpendwa tundu lisu akawa chato anakotokea mpinzani wake anaesuasua bwana Jpm jiwe
Swali wanachato wakijitokeza maelfu kwa maelfu kumlaki mgombea huyo anaeongoza kwenye kura za maoni ,Jpm atakuwa kwenye hali gani?
Tutarajie kwanzia hapo upepo utabadilika kabisa
Leo ni leo msema kesho ni mwongoDuuh kumbe Lissu ameamua kwenda kwenye ngome ya jiwe? Ngoja tuone mamboa yatakavyokua
Duuh kumbe Lissu ameamua kwenda kwenye ngome ya jiwe? Ngoja tuone mamboa yatakavyokua
Umeanza kuvurugwa na wewe kama Mgombea wako, Kwenye heading unatuambia Kigoma na Geita huku kwenye maelezo unatuandikia Kagera na Geita. Huko Kigoma kumewavuruga, mikutano yote mnafanyia uchocholoni.
Sehemu peke mtakayopata watu ni Bukoba na Mara. Huko kwingine tulizeni mzuka.
Kabisa mkuu, ccm lazima wazimieLeo ni leo msema kesho ni mwongo
RAIS WA CHAMA CHA SOKA AU MANZESEWakuu natanguliza salamu na baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye mada, kama mnavyojua Kampeni zinaendelea na leo tena Mh Lissu ambaye anapewa asilimia kubwa kutwaa urais wa nchi atakuwa kwenye mikoa ya Kagera na Geita, katika kanda hii kunatarajiwa kupigwa mkutano maalum wa kipekee kwenye jimbo la Chato...
The real is becoming..!!!Huenda Leo mgombea mpendwa tundu lisu akawa chato anakotokea mpinzani wake anaesuasua bwana Jpm jiwe
Swali wanachato wakijitokeza maelfu kwa maelfu kumlaki mgombea huyo anaeongoza kwenye kura za maoni ,Jpm atakuwa kwenye hali gani?
Tutarajie kwanzia hapo upepo utabadilika kabisa