Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mikoa ya Kagera na Geita

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mikoa ya Kagera na Geita

Huenda Leo mgombea mpendwa tundu lisu akawa chato anakotokea mpinzani wake anaesuasua bwana Jpm jiwe
Swali wanachato wakijitokeza maelfu kwa maelfu kumlaki mgombea huyo anaeongoza kwenye kura za maoni ,Jpm atakuwa kwenye hali gani?
Tutarajie kwanzia hapo upepo utabadilika kabisa
Lissu akammalizie pale pale kijijini kwao Mhutu yule
 
Eti "anasuasua"yani nimecheka kwa nguvu mpaka wamenishangaa.akya mama loketo na watu wake wanakazi sana mwaka huu.
 
Labda itakuwa sare Kwa Sare, maana pale singida Napo Magufuli alimdhihirishia Lisu kwamba, anachukiwa Hadi na wanyumbani mwake

Huenda Leo mgombea mpendwa tundu lisu akawa chato anakotokea mpinzani wake anaesuasua bwana Jpm jiwe
Swali wanachato wakijitokeza maelfu kwa maelfu kumlaki mgombea huyo anaeongoza kwenye kura za maoni ,Jpm atakuwa kwenye hali gani?
Tutarajie kwanzia hapo upepo utabadilika kabisa
[/QUOT
 
Labda itakuwa sare Kwa Sare, maana pale singida Napo Magufuli alimdhihirishia Lisu kwamba, anachukiwa Hadi na wanyumbani mwake
Magufuli ulienda singida lakini hakufanya mkutano wilaya ya ikungi anakotoka mheshimiwa aliishia kusimama na kusema kuwa "atampa kazi tundu" watu wake wamuambie aache kugombea
 
Kampeni za Lissu zinafanyika kwa kificho sana kama shughuli za ukeketaji, no live coverage, picha lazima zipite maabara
U
Kampeni za Lissu zinafanyika kwa kificho sana kama shughulFFfffi za ukeketaji, no live coverage, picha lazima zipite maabara
We subiri tukomboe wana wa nchi hii wapate uhuru, wapate haki, wapate maendeleo, vyombo vya habari viwe huru, hayo maneno itakosa pakuyasemea.
 
Back
Top Bottom