Ibilisi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,465
- 5,578
Huyo alivaa kofia ya pama hapo kwenye picha ndo anataka Urais?
Hahaahah!!! Watu mna majibu hatari!Hapana, anataka awe shemeji yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo alivaa kofia ya pama hapo kwenye picha ndo anataka Urais?
Hahaahah!!! Watu mna majibu hatari!Hapana, anataka awe shemeji yako.
Lissu akammalizie pale pale kijijini kwao Mhutu yuleHuenda Leo mgombea mpendwa tundu lisu akawa chato anakotokea mpinzani wake anaesuasua bwana Jpm jiwe
Swali wanachato wakijitokeza maelfu kwa maelfu kumlaki mgombea huyo anaeongoza kwenye kura za maoni ,Jpm atakuwa kwenye hali gani?
Tutarajie kwanzia hapo upepo utabadilika kabisa
Huna akiliEti anapewa Asilimia kubwa kuwa Rais! Mkuu pamoja na kisomo chako na uelewa wako unaweza kuzungumza upotolo kama huu?
Hata kama una huba na mahaba uwe serious kidogo basi.
Na wewe uwe unajipa muda wa kusoma mada na kuielewa kabla ya kuchangia. Mtoa post kaanza na neno "Huenda" maana yake hakuwa na uhakika.Lissu hatakuwa chato leo, muwe mnajipa muda wa kutafiti kabla ya kupost
Huenda Leo mgombea mpendwa tundu lisu akawa chato anakotokea mpinzani wake anaesuasua bwana Jpm jiwe
Swali wanachato wakijitokeza maelfu kwa maelfu kumlaki mgombea huyo anaeongoza kwenye kura za maoni ,Jpm atakuwa kwenye hali gani?
Tutarajie kwanzia hapo upepo utabadilika kabisa
[/QUOT
Magufuli ulienda singida lakini hakufanya mkutano wilaya ya ikungi anakotoka mheshimiwa aliishia kusimama na kusema kuwa "atampa kazi tundu" watu wake wamuambie aache kugombeaLabda itakuwa sare Kwa Sare, maana pale singida Napo Magufuli alimdhihirishia Lisu kwamba, anachukiwa Hadi na wanyumbani mwake
...of the United republic of social media -URSMLisu the president
Hawezi hutubia Chato, Ila ana ngozi ngumu ngoja tuoneAsisahau kwenda na gamboshi
Hivi lile TAWI la CRDB vipi.? Nasikia Manager kahamishwa no deposit...hahahahahahaBora akawaeleze ule uwanja wa ndege ni geresha tu hauna maana hata moja.
we endelea na ugunduzi wakoNilichogundua hoja za vyama vingi vya upinzania vimekaa kutugawa Watanzania, nadhani, CCM itaendelea kubaki imara muda wote na watanzania wataipigia kura.
Na siku zote ugunduzi ndio unaowapa watu imani, na imani huzaa imani, hivyo taraji ushindi wa kishindo wa CCM.we endelea na ugunduzi wako
CCM ni hatari sanaUkweli watanzania wamechoka CCM. Ili ukubwliane na maneno yangu subiri TL akiwa mkoa wa Geita alilizaliwa JPM utaona atakavyoungwa mkono.
Aibu tupuNdiyo, na mume wake ni DAS wa Mvomero anaitwa Hofman Sanga. Halafu kuna mbigiri zinasema tujiajiri!
Yaani kwa miaka hii 5 hata kama asingekuwa Lissu, yeyote mbadala angeweza chaguliwaEti anapewa Asilimia kubwa kuwa Rais! Mkuu pamoja na kisomo chako na uelewa wako unaweza kuzungumza upotolo kama huu?
Hata kama una huba na mahaba uwe serious kidogo basi.
UKampeni za Lissu zinafanyika kwa kificho sana kama shughuli za ukeketaji, no live coverage, picha lazima zipite maabara
We subiri tukomboe wana wa nchi hii wapate uhuru, wapate haki, wapate maendeleo, vyombo vya habari viwe huru, hayo maneno itakosa pakuyasemea.Kampeni za Lissu zinafanyika kwa kificho sana kama shughulFFfffi za ukeketaji, no live coverage, picha lazima zipite maabara
Magufuli ulienda singida lakini hakufanya mkutano wilaya ya ikungi anakotoka mheshimiwa aliishia kusimama na kusema kuwa "atampa kazi tundu" watu wake wamuambie aache kugombea