Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Noted Mkuu shukrani mingi sanaNdiyo, na mume wake ni DAS wa Mvomero anaitwa Hofman Sanga. Halafu kuna mbigiri zinasema tujiajiri!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noted Mkuu shukrani mingi sanaNdiyo, na mume wake ni DAS wa Mvomero anaitwa Hofman Sanga. Halafu kuna mbigiri zinasema tujiajiri!
akuambiwa?Nimeambiwa chato kuna chadema wengi hatariiii
anayesumbuka hupataLissu anajisumbua tu nawaambia
UNAFIKIRI KUMSAPOTI TUNDU LISSU NDIO KUWA NA AKILI?Huna akili
Anza kwanza kwa kuwakomboa makamanda uchwara wa ufipa toka kwenye makucha ya Mbowe kama unawezaU
We subiri tukomboe wana wa nchi hii wapate uhuru, wapate haki, wapate maendeleo, vyombo vya habari viwe huru, hayo maneno itakosa pakuyasemea.
Kwa hiyo Ruth John magufuli ni DAS Morogoro, na mume wake ni Mr Hoffman Sanga Naye ni DAS mvomero?Ndiyo, na mume wake ni DAS wa Mvomero anaitwa Hofman Sanga. Halafu kuna mbigiri zinasema tujiajiri!
Samaki hana rivasi, ni mbele kwa mbele!Mbaguzi sana...Lisu mbele kwa mbele
Sawa.endelea kubaki hapahapa
Ruth John Magufuli ni DAS Morogoro, na mume wake Mr. Hoffman Sanga naye ni DAS Mvomero. CCM bwana mpwa wake Doto James ,Katibu Mkuu Wizara ya fedha.Nasubiri mkutano wa Lisu akiwa Chato.
Ndio Magu atajua kuwa WATANZANIA SIO WAJINGA.
haya mambo yakishamba sana, JPM sio jini ni mtu na anao ndugu na jamaa, ulitaka wakakae chato wasubiri mboga kutoka Ikulu? hawa ni watu sawa na watu wengine wana maisha yao wana kazi zao wana biashara zao, wacha mambo yakishambaRuth John magufuli ni DAS Morogoro, na mume wake Mr Hoffman Sanga Naye ni DAS mvomero. CCM bwana.mpwa wake doto james,katibu mkuuu wizara ya fedha.
anayesumbuka hupata
Wengine mnawaambia wakajiajiri. October 28,mtakula mlikopeleka mboga.haya mambo yakishamba sana, JPM sio jini ni mtu na anao ndugu na jamaa, ulitaka wakakae chato wasubiri mboga kutoka Ikulu? hawa ni watu sawa na watu wengine wana maisha yao wana kazi zao wana biashara zao, wacha mambo yakishamba
... Alafu kuna mbigiri zinasema tujiajiri!
Mtapanua sana magoli kudadeki !haya mambo yakishamba sana, JPM sio jini ni mtu na anao ndugu na jamaa, ulitaka wakakae chato wasubiri mboga kutoka Ikulu? hawa ni watu sawa na watu wengine wana maisha yao wana kazi zao wana biashara zao, wacha mambo yakishamba
Hii nchi inamengi sanaaLeo nipo Chato na nasikia DAS wetu wa Moro Bi Ruth John yupo likizo basi lazima nikamtembelee nimpe hongera maana nimesoma paper yake yupo vizuri
View attachment 1575849
Ni mtunzaji mzuri wa misitu
Sema CCM inamengi Sana.Hii nchi inamengi sanaa
Wamna cha spana huyu wakufunga kudu tuPiga spana Lissu..
Kwahiyo nawe ulikuwa nyumba kubwa ya Mbowe yaani mke mkubwaMVOMERO KUNA RAS.?Lowassa alisema elimu!elimu!Halafu huo ni ujinga, kutuletea taarifa kama hizo.Mbona LISSU marehemu dada yake alikuwa viti maalaum Chadema?Mbaya zaidi ,nyumba ndogo za MBOWE ni viti maalum.