Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo na hoja au kioja kawaida yako?Sasa unalia au unalalamika ?
Lissu atapata mahudhurio hafifu kama yale ya Mbagala au madogo zaidiHuenda Leo mgombea mpendwa tundu lisu akawa chato anakotokea mpinzani wake anaesuasua bwana Jpm jiwe
Swali wanachato wakijitokeza maelfu kwa maelfu kumlaki mgombea huyo anaeongoza kwenye kura za maoni ,Jpm atakuwa kwenye hali gani?
Tutarajie kwanzia hapo upepo utabadilika kabisa
Ndio sababu ya magufuli kulazimisha ubunge enzi zake akiwa mbunge ?Chato haijawahi kuwa ngome ya CCM miaka nenda rudi, alaf utambue kuwa chato ni ngome ya Chadema angalia kata zinanyakuliwa na chama gani?
Kwa chato sitashangaa Lisu kupata mapokezi makubwa
Unadhani MUNGU ni baba yako?Lissu ni mpango wa Mungu
Hapana, anataka awe shemeji yako.Huyo alivaa kofia ya pama hapo kwenye picha ndo anataka Urais?
Hapa chato anaongoza saa ngapi mkuu?Meneja wa kampeni wa Chadema ni kiboko sijawahi kuona
CCM wameanza kutafutana uchawi haaaaaaha
JioniC
Hapa chato anaongoza saa ngapi mkuu?
👌Jioni
Magufuli hajawahi shindana yeye kupita bila kupingwa, anajua chato hawamkubaliNdio sababu ya magufuli kulazimisha ubunge enzi zake akiwa mbunge ?
endelea kubaki hapahapaErythrocyte sipati mapicha picha ya kutisha huko. Kulikoni?
Takwimu kura za maoni lissu anaongoza 56%Eti anapewa Asilimia kubwa kuwa Rais! Mkuu pamoja na kisomo chako na uelewa wako unaweza kuzungumza upotolo kama huu?
Hata kama una huba na mahaba uwe serious kidogo basi.
Lowassa alishinda..hakutangazwa ila sasa Lissu mkimfanyia hivyo ana nongwa..ndio Maana Magu akiwa Singida alijichekesha nitampa kakazi kadogo..Mkuu sanduku la kura ndio huamua yote, wanaomlalamikia JPM wapo lakini wanafahamika kwa makundi.
Lowasa aliungwa mkono kuliko Mrema, kuliko Tundu Lissu leo.
Kwa sasa ndo ccm inaongoza kutugawa, ukimsikiliza magufull ubaguziNilichogundua hoja za vyama vingi vya upinzania vimekaa kutugawa Watanzania, nadhani, CCM itaendelea kubaki imara muda wote na watanzania wataipigia kura.