Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mikoa ya Kagera na Geita

Umeanza kuvurugwa na wewe kama Mgombea wako, Kwenye heading unatuambia Kigoma na Geita huku kwenye maelezo unatuandikia Kagera na Geita. Huko Kigoma kumewavuruga, mikutano yote mnafanyia uchocholoni.

Sehemu peke mtakayopata watu ni Bukoba na Mara. Huko kwingine tulizeni mzuka.
 
Maneno iko hapo kwenye mkutano mkuu maalum Chuttle
 
Ndiyo, na mume wake ni RAS wa Mvomero anaitwa Hofman Sanga. Halafu kuna mbigiri zinasema tujiajiri!
MVOMERO KUNA RAS.?Lowassa alisema elimu!elimu!Halafu huo ni ujinga, kutuletea taarifa kama hizo.Mbona LISSU marehemu dada yake alikuwa viti maalaum Chadema?Mbaya zaidi ,nyumba ndogo za MBOWE ni viti maalum.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…