Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu mikoa ya Kigoma na Kagera

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu mikoa ya Kigoma na Kagera

I swear before God and Man! Kuna usiku niliota kitu cha namna hii.

Usiku wa majuzi wiki iliyopita niliota Lissu kambwaga Magufuli kwenye uchaguzi huu wa 2020.
Kazi iliyobaki kwa Lissu ni kulinda ushindi wake na ndilo jukumu la watanzania.


Kuna ndoto za aina 3:-

1--- Ndoto inayoakisi matukio au fikra zilizomo akilini kabla mtu hujalala.
2--- Ndoto zitokanazo na mparaganyiko (derangement) ya fikra kutokana na sababu mbalimbali.
3---Ndoto zitokazo moja kwa moja mbinguni, (prophetic dream).

Kama ndoto yako ni hii ya aina ya 3, basi Tundu lissu atashinda.
 
I swear before God and Man! Kuna usiku niliota kitu cha namna hii.

Usiku wa majuzi wiki iliyopita niliota Lissu kambwaga Magufuli kwenye uchaguzi huu wa 2020.
Kazi iliyobaki kwa Lissu ni kulinda ushindi wake na ndilo jukumu la watanzania.
BAVICHA hahahaha Kumbe Mnatuandikia Mambo ya Ndoto hapa He like Siku uliota Inamabegi ya Hela ukaamka huna hata kumi mbona huwaambii watu
 
Magu unaulizwa na Lissu unacho cheti cha kuzaliwa cha Tanzania?Tufunge midomo sisi wanafiki kionyeshe hadharani..
 
Nikiona kijana mwenzangu yupo CCM namdharau sana
Ukiona mtu ana bwabwaja kutetea hawa MAJANGIRI WA CCM ujue ni mnufaika wa biashara fulani HARAMU. Mtu mwenye akili timamu atajisikia AIBU KUBWA SANA kushabikia hii Serikali ya WATEKA NYARA.
 

Attachments

  • Lumumba Buku 7.jpg
    Lumumba Buku 7.jpg
    20.8 KB · Views: 2
Kuna ndoto za aina 3:-

1--- Ndoto inayoakisi matukio au fikra zilizomo akilini kabla mtu hujalala.
2--- Ndoto zitokanazo na mparaganyiko (derangement) ya fikra kutokana na sababu mbalimbali.
3---Ndoto zitokazo moja kwa moja mbinguni, (prophetic dream).

Kama ndoto yako ni hii ya aina ya 3, basi Tundu lissu atashinda.
Mkuu nimekuelewa vizuri sana jinsi ulivyoainisha. Pia zipo nyingine ambazo ni njia ya ubongo kulinda mwili usiku. Yaani ikitokea mtu kalala vibaya akawa anaumiza kiungo chochote cha mwili ataota ndoto ya kutisha itakayomwamsha kwa lengo la kulala tena kwa ufasaha.

Hii aina ya tatu ya ndoto uliyoainisha ndo iliyonitokea. Ndoto za namna hii zinakuja clearly, full HD....zinadili na matukio makubwa yaliyo mbeleni, si za mara kwa mara na hudumu kwenye kumbukumbu za muda mrefu.

Binafsi hakuna tukio lolote hasi au chanya lililowahi kunitokea kwa kunivamia, mara nyingi huwa yanatangulia kwenye ndoto clearly au kwa twist kidogo lkn rahisi kuifasiri.
 
Magu tuonyeshe cheti chako cha kuzaliwa..tukipake carbon kama cha zamani..tuumbue wanafiki kionyeshe kama Obama
 
Hivi Magu amewahi kumshinda Nani kwenye uchaguzi ulio huru? Maana Lowasa alimshinda mbaaali sana ila Lubuva alaaniwe huko aliko akamtangaza jiwe
Sasahivi watakao tusaliti, tulenao sahani moja! situnaishi nao mitaani! kwani wao Hawana miili yenye damu na nyama?? Hata wachawi huwa wanakufa au kufiwa, nao huwa wanahisi maumivu Kama wengine! Mwaka huu ni zamu ya wachawi kulia!
 
BAVICHA hahahaha Kumbe Mnatuandikia Mambo ya Ndoto hapa He like Siku uliota Inamabegi ya Hela ukaamka huna hata kumi mbona huwaambii watu
Mkuu ndoto zimekuwa njia ya kutuhabarisha juu ya mambo yasiyo kuwa bayana kwa wakati husika. Msimamo wako una nafasi yake maana hata Biblia inasema kuamini ndoto ni upumbavu.....Lakini kwenye Biblia hiyo hiyo Ndoto zimetumika kama njia ya kuwapa watu ujumbe kwanzia agano la kale hadi agano jipya.

Tangu nikiwa mtoto mdogo ndoto zimeongoza maisha yangu kwa kiasi kikubwa....nimekuwa na ujuzi fulani juu ya kutafsiri ndoto, ninajua ipi ya kupuuza na ipi ya kuzingatia kulingana na jinsi ndoto ilivyonijia.
Halafu kuniita BAVICHA unakosea sana, hutoamini Kama ungejua chama nilichorithishwa na wazee wangu.
 
Kwanini picha za chadema zote ni zile zilizoeditiwa?
 
Pandisha hii, Hii ni Kasulu mwanaume keshaingia huko

View attachment 1575142
Mkuu,hawa wananchi mbona wanaonyesha nyuso za furaha wanapomshangilia Mh. Lissu tofauti na wale wa yule bwana?
Kuna jambo linaenda kutokea kupitia kwa hawa wenye nchi waliodharauliwa na waliopewa dhamana ya kuwaongoza.
Kwa tunaojua kusoma nyuso za watu,furaha hii waliyonayo hawa wenye nchi kwa kweli ni kuonyesha kuwa wana hakika wamepata mkombozi wa kuwatoa kifungoni.
 
Kwanini picha za chadema zote ni zile zilizoeditiwa?
Siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati, niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga". Dkt.Magufuli
 
Siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati, niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga". Dkt.Magufuli
Hilo ndio jibu la kwanini picha za kampeni za chadema zinaeditiwa?
 
Ukiona mtu ana bwabwaja kutetea hawa MAJANGIRI WA CCM ujue ni mnufaika wa biashara fulani HARAMU. Mtu mwenye akili timamu atajisikia AIBU KUBWA SANA kushabikia hii Serikali ya WATEKA NYARA.
Kina mwinjaku.
 
Back
Top Bottom