Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu mkoani Iringa & Njombe, atoa pole kwa Vifo 10, Kwanini Chato ni agenda ya Uchaguzi

Yaani wewe nashauri urudi kwanza darasani ukajifunze Kuandika kiswahili: Sina uhakika kama Umeona ulichokiandika?!!! Kibalaka, mabebelu, awezi, lais, ata, labda ulikuwa Unaandika kilugha chenu, hakuna kiswahili hapo!!?
Umempa zake huyo malaya, anaejiita Jane Lowasa, huwa anapenda kuleta shobo kumbe hata kuandika hajui maskini. Na hapo ndo unamkuta ni shabiki waheda wa green party

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Lisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa Rais!

Watanzania tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!

Watanzania wepi sema wewe unamsemea nani kura ni siri ya mtu bwana usimpangie mwengine jisemee wewe binafsi
 
Lisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa Rais!

Watanzania tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!
Wananchi wa wapi unawasemea wameamua? Labda wananchi wako hapo gheto kwako mnaposhinda mkidanganyana,
 
Reactions: BAK
Lissu ni kibalaka wa mabebelu. Awezi kuwa Rais ata iweje.
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa Upumbavu wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi ni mbuzi jike
 
Reactions: BAK
Ni yeye Lissu 2020 Watanzania tunasema unatosha, bye bye Magu
 
Lisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa Rais!

Watanzania tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!
Kwahiyo hao wanaokusanyika, wanaotaka kumpigia kura wao sio watanzania?
 
Picha inaonanesha anajiamini sio huyu
View attachment 1569402

kama anasali
Kwa hiyo kusali ni kutojiamini siyo. Makamanda mtatuonesha mengi mwaka huu. Nasubiri kuona mwelekeo wa post zenu hapa kuanzia Novemba. Sijui mtaanza na lipi, tume huru au katiba! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Hivi kweli kwenye msafara wa huyo mgombea mwingine watu wanaruhusiwa mumkaribia hivi?
 
Kwa hiyo kusali ni kutojiamini siyo. Makamanda mtatuonesha mengi mwaka huu. Nasubiri kuona mwelekeo wa post zenu hapa kuanzia Novemba. Sijui mtaanza na lipi, tume huru au katiba! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vyote na wewe kama una akili timamu unajua hivyo
 
Ilikuwa jana kwa uwazi na mafumbo fumbo, mgombea Urais wa CCM ndugu John Pombe Magufuli akiwa Chato kijijini kwake, alimshambulia Tundu Lissu juu ya ujenzi wa CHATO INTERNATIONAL AIRPORT na ununuzi wa ndege maarufu kama "ndege za Magufuli"

Leo akizungumza na maelfu ya wananchi wa Mbarali, Tundu Lissu akioneshwa wazi kukasirishwa na mipasho ya mgombea huyu wa CCM, naye kwa kutumia lugha ya ukali kidogo aliamua kuzichana chana hoja zake kwa facts na vifungu vya sheria...

Ni ngumu kumeza lakini imesemwa. Mfuatilie mwenyewe kwenye video hii hapa
Your browser is not able to display this video.
 
Zanzibar ndio Wamenikosha Kwaleo

Nanukuu Magufuli Mkono Unakuwasha Unataka Kuua Sasa Anza Na mm Nahuyu Siro kama anataka Kuja Pemba Wapemba Tunamkaribisha

Aje Na Ndoo Beseni Godoro Sufuria Mwiko Bakuli Aamie Kabisa Nasema This Time Tutaingia Barabarani Nami Nikiwemo
Sawa sawaaaaaaa. (Seif Shariff Voice)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…