Hello GT,
Kuna wakati napata taabu Sana kuona jinsi vijana wetu wanakosa hoja, za kupinga, kukosoa au kujibu na kufanya majadiliano yenye Tija.
Mfano: Lissu katoa hoja ya bima ya afya bure kwa taifa Zima Kuna vijana wanasupport na Kuna wanaopinga lakini wengi wanaopinga wanaishia kusema Lissu hawi Rais. Hoja sio kuwa au kutokuwa, hoja he sera hiyo inatekelezeka? Vijana wanashindwa kuhoja
Mfano wa pili: Magufuli amesema ataongeza Ndege na hata kujenga Reli Hadi Mwanza. Vijana hawapingi kwa hoja Bali maneno maneno yasiyo na facts and figures. Tujifunze kujenga hoja na tufikie conclussion
Kuna wakati napata taabu Sana kuona jinsi vijana wetu wanakosa hoja, za kupinga, kukosoa au kujibu na kufanya majadiliano yenye Tija.
Mfano: Lissu katoa hoja ya bima ya afya bure kwa taifa Zima Kuna vijana wanasupport na Kuna wanaopinga lakini wengi wanaopinga wanaishia kusema Lissu hawi Rais. Hoja sio kuwa au kutokuwa, hoja he sera hiyo inatekelezeka? Vijana wanashindwa kuhoja
Mfano wa pili: Magufuli amesema ataongeza Ndege na hata kujenga Reli Hadi Mwanza. Vijana hawapingi kwa hoja Bali maneno maneno yasiyo na facts and figures. Tujifunze kujenga hoja na tufikie conclussion