Hilo tunalifanya kwa vitendo bila uzembeTumuunge mkono kwa kuwashawishi na ndg na rafiki zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo tunalifanya kwa vitendo bila uzembeTumuunge mkono kwa kuwashawishi na ndg na rafiki zetu
Mungu amtangulie aliyemfanya kuwa shujaa wetu!! Go Lissu!!! Mwaka wa mageuzi na mabadiriko ni 2020View attachment 1568325
Mgombea Urais wa Chadema anafanya kampeni kata kwa kata. Usikose kuyasikia madini ya Lissu, leo kata ya Isman.
Tanzania ni mojaHuyo masai?!
Ccm haipendwi isimani tangu enzi za Chama kimoja baada ya kuwanyang’anya watu mashamba kuhamasisha Sera za kimaskini za kijamaa!! Umasikini wa Isimani chanzo kikuu ni CCMHuwezi kuitenganisha CCM na Ismani tangia ene za Dr Kleruu na Mamwindi!
Sidhani wanyalu wataelewa hilo!Tanzania ni moja
Unalielewa jimbo la Isimani kijiografia?Ccm haipendwi isimani tangu enzi za Chama kimoja baada ya kuwanyang’anya watu mashamba kuhamasisha Sera za kimaskini za kijamaa!! Umasikini wa Isimani chanzo kikuu ni CCM
Nalielewa sana!! Una swali lingine?Unalielewa jimbo la Isimani kijiografia?
Wataelewa sana!!Sidhani wanyalu wataelewa hilo!
Mungu amlinde na kumtangulia mja wake Tundu Antiphas Lissu. Amfanye kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025!
Teh teh mnachonifurahisha mataga kwenye nyuzi zenu mnakuwaga wenyewe tu ila za CDM mnakuja pia. Hakika Lissu ni mpango wa Mungu.Kwahiyo ameshapiga kampeni morogoro amemaliza anaenda iringa
Au tunachagua Sehemu ambazo tutapata walau watu wachache wa kuhutubia
Kwahiyo ameshapiga kampeni morogoro amemaliza anaenda iringa
Au tunachagua Sehemu ambazo tutapata walau watu wachache wa kuhutubia
Ole sosopi atapata kura kata gani?...... Anachangamsha baraza tu katika eneo la Richard Kasesela!Nalielewa sana!! Una swali lingine?
Endelea kuishi kwa kukariri!! Mnafikiri watanzania ni wajinga eeh???Ole sosopi atapata kura kata gani?...... Anachangamsha baraza tu katika eneo la Richard Kasesela!
Huo muziki ulimshinda Chiku Abwao atauweza huyo dogo mfugaji!Endelea kuishi kwa kukariri!! Mnafikiri watanzania ni wajinga eeh???
Songa mbele Kamanda ushindi ni dhahiri.Wapiga kura tunakuelewa na tupo pamoja nawe.“Leo Jumapili Septemba 13: Mgombea Urais wetu, Tundu LISSU [ @TunduALissu ]atafanya mikutano na kuzungumza na wananchi na wapiga kura wa Ismani, Kalenga na Iringa Mjini”. - JJ Mnyika.
Atawanadi wagombea Ubunge na Udiwani wetu wa #CHADEMA
View attachment 1568357
#ChaguaLissu
#ChaguaCHADEMA