Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Iringa

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Iringa

Kipindi cha Dr Slaha ilikuwa heshima sana kushabikia CHADEMA, na ilikuwa aibu kuizungumzia CCM. Sasa hivi ni aibu sana mara 1000 kuishabikia CHADEMA. CHADEMA wamekuwa wanaharakati, sio chama cha siasa. Kipindi kile ilikuwa raha kusikiliza sera zao, lkn leo sera ni matusi, kashifa, kejeri, vurugu, nk. Kimsingi Lissu ameharibu chama. Wapenda amani hawawezi kukipigia kura CHADEMA. Najua mtapinga lakini ndo ukweli na ukweli utabaki kuwa ukweli.
 
Leo Mchungaji Msigwa akishirikiana na viongozi wa Kanda ya Nyasa anazindua safari yake ndefu ya kampeni kwenye eneo lake la kujidai la Mwembetogwa .

Ikumbukwe kwamba Msigwa ndiye aliyeivunjilia mbali ccm Iringa na kuhitimisha utumwa wa wananchi baada ya kuwakataza kupokea rushwa ya Ulanzi (pombe ya kienyeji) iliyotumika na ccm kwa miaka mingi kupotosha na kuwapumbaza wananchi .

Stendi mpya ya Ighumbilo ni moja ya jambo ambalo Mh Msigwa na Halmashauri iliyokuwa chini ya Mstahiki Kimbe wamelifanya Iringa na kutengeneza fursa chungu mzima .

View attachment 1568406
Hii stendi ya Igumbiro iliyojengwa na Asas wa CCM?!
 
Yule mwiningine yuko Chattle anatafakari alikosea wapi!!!
Kataratibu viongozi wakaambie kaache kashfa kwenye pesa yake nimekasikia Mara kadhaa kakisema mgombea wachama cha mbowe mimi sikijuwi chakilichp sajiliwa kinaitwa chama chambowe kamayupo mgombea wachama kwajina Hilo mnifumbue macho kamataratibu hawezi kukutamka mgombea wa chadema bora aushone msajili kemea hili
 
Katika nchi hii yenye uhaba wa ajira kwa vijana walioelimika na kuelimika eti mtu mmoja tu awe mbunge kwa miaka 20. Hivi kweli tunakuwa tumelogwa au vipi?vijana wenzangu tutafakar hawa wazee wamekula mema ya nchi kwa miaka mingi na maendeleo hatuyaoni,,!Je vijana tumelogwa nanani??

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app

Hii ni hoja ya msingi. Hizi ndo hoja za kujadili, sio matusi na kejeri. Kiongozi nakushauri hoja hii ipelekwe kwnye platform sahihi. Hapa itaharibiwa vby mno. Lkn hata isipoharibiwa, huwezi kupata matarajio yako humu. Lkn nakupongeza kwa kukumbushia hoja hii.
 
Wakati Lissu akiifuta CCM Iringa watu wapo busy eti bomba la mafuta miaka mitano kila siku ni unzinduzi wa bomba la mafuta tu.

Miaka 5 imeisha hakuna kinachoendelea leo ndio uwaambie watu eti bomba la mafuta.

Lissu kamatia hapo hapo mpaka akimbie aende huyu
IMG_20200913_140420.jpg
IMG_20200913_140324.jpg
IMG_20200913_140321.jpg
IMG_20200913_140316.jpg
 
Back
Top Bottom