Anapumzika, utafiti umefanyika km Uchaguzi utafanyika kesho tayari Rais Magufuli anashinda kwa 89% na km Uchaguzi ukifanyika October atashinda kwa 97%
sasa Mbona presha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapumzika, utafiti umefanyika km Uchaguzi utafanyika kesho tayari Rais Magufuli anashinda kwa 89% na km Uchaguzi ukifanyika October atashinda kwa 97%
Hii stendi ya Igumbiro iliyojengwa na Asas wa CCM?!Leo Mchungaji Msigwa akishirikiana na viongozi wa Kanda ya Nyasa anazindua safari yake ndefu ya kampeni kwenye eneo lake la kujidai la Mwembetogwa .
Ikumbukwe kwamba Msigwa ndiye aliyeivunjilia mbali ccm Iringa na kuhitimisha utumwa wa wananchi baada ya kuwakataza kupokea rushwa ya Ulanzi (pombe ya kienyeji) iliyotumika na ccm kwa miaka mingi kupotosha na kuwapumbaza wananchi .
Stendi mpya ya Ighumbilo ni moja ya jambo ambalo Mh Msigwa na Halmashauri iliyokuwa chini ya Mstahiki Kimbe wamelifanya Iringa na kutengeneza fursa chungu mzima .
View attachment 1568406
Kataratibu viongozi wakaambie kaache kashfa kwenye pesa yake nimekasikia Mara kadhaa kakisema mgombea wachama cha mbowe mimi sikijuwi chakilichp sajiliwa kinaitwa chama chambowe kamayupo mgombea wachama kwajina Hilo mnifumbue macho kamataratibu hawezi kukutamka mgombea wa chadema bora aushone msajili kemea hiliYule mwiningine yuko Chattle anatafakari alikosea wapi!!!
naongelea 2015Kwani Msigwa alianza ubunge 2015 ?
Asas ajenge kama nani ?Hii stendi ya Igumbiro iliyojengwa na Asas wa CCM?!
Kama 2010 alipata ubunge wakati lowassa yuko ccm unaona ajabu gani akipata 2015 ?naongelea 2015
Mshauri mkuu wa CCM mkoani.Asas ajenge kama nani ?
Msigwa alipata ubunge tangu 2010 we changudoamsigwa alipata ubunge kwa mgawanyiko wa ccm uliotokana na lowassa
Mwaka huu hata yeye Msigwa anajua kuwa hapiti
Katika nchi hii yenye uhaba wa ajira kwa vijana walioelimika na kuelimika eti mtu mmoja tu awe mbunge kwa miaka 20. Hivi kweli tunakuwa tumelogwa au vipi?vijana wenzangu tutafakar hawa wazee wamekula mema ya nchi kwa miaka mingi na maendeleo hatuyaoni,,!Je vijana tumelogwa nanani??
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Dr Slaa alongsideKama 2010 alipata ubunge wakati lowassa yuko ccm unaona ajabu gani akipata 2015 ?
Usishangae wakazindua tena kampeniWakati Lissu akiifuta CCM Iringa watu wapo busy eti bomba la mafuta miaka mitano kila siku ni unzinduzi wa bomba la mafuta tu.
Miaka 5 imeisha hakuna kinachoendelea leo ndio uwaambie watu eti bomba la mafuta.
Lissu kamatia hapo hapo mpaka akimbie aende huyu View attachment 1568548View attachment 1568549View attachment 1568550View attachment 1568551
Huu utamaduni ulianzia CUF, baadaye imekuwa kawaida kwa CCM sasa Chadema nao wameingia! Mungu apishie mbali lkn nadhani polisi wawe na ujasiri wa kuzuia hili, inaweza kutokea ajali na badala ya kampeni tukaanza maombolezo.
Muda huu Iringa.. Usifikiri watu wote ni wajinga Kama wewe kupigania buku 7 daily.
Tundu lissu nilimuona dodoma akihutubia watu wasiozidi 150,kwa mshangao wangu humu zikatoka picha ana bonge la nyomiZimeunganishwa halafu wanaziedit