Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kapige wewe bila ujanja-ujanjaPicha zinapigwa kiujanja ujanja sana kampeni za Chadema
Asante sana Mungu kwa kutuletea Tundu Antiphas Lissu!!Wakati Lissu akiifuta CCM Iringa watu wapo busy eti bomba la mafuta miaka mitano kila siku ni unzinduzi wa bomba la mafuta tu.
Miaka 5 imeisha hakuna kinachoendelea leo ndio uwaambie watu eti bomba la mafuta.
Lissu kamatia hapo hapo mpaka akimbie aende huyu View attachment 1568548View attachment 1568549View attachment 1568550View attachment 1568551
Ungechukua video ukatuletea. Hizi zako ni porojo tu za kuweweseka na Lissu!Tundu lissu nilimuona dodoma akihutubia watu wasiozidi 150,kwa mshangao wangu humu zikatoka picha ana bonge la nyomi
Utahangaika sana na picha zako hizi za 2015 kampeni ya Lowasa
Siwezi kupoteza muda kwenda kuwasikiliza Wasaliti wa Nchi
Kwani nyie nani kawazuia kupiga kiufundi.picha zimepigwa kiufundi mno
Mnajitahidi kupotosha! Iringa na minazi wapi na wapi?Muda huu Iringa.. Usifikiri watu wote ni wajinga Kama wewe kupigania buku 7 daily. View attachment 1568562View attachment 1568563
CCM na beberu.WASALITI CCM View attachment 1568574
Jamaa naona unawashwa Sana na hii picha kaisafishe basi uwe unalala nayo kitandani,fisiemu buku 7 wee
Au wanazindua tena jengo la Tume ya Uchaguzi Dodoma.Usishangae wakazindua tena kampeni
Leta updates za kushikana uchawi huko CCM!! Naona hadi mzee kakodi majeshi kwa mseveni leoMnajitahidi kupotosha! Iringa na minazi wapi na wapi?
Kila siku nasema Lisu atatia aibu kuliko wagimbea wote waliowahi kugimbea chadema!
Chadema hii ya Lisu ndio mmefikia hatua ya kuokoteza vipicha namna hii?
Ona huyu kamanda enzi hizo kabla wenye chadema yao hawajaamua kuiuza, kisha niambie Lisu anaingia mara ngapi hapo? [emoji116][emoji116] View attachment 1568575
Sasa hivi watakuja na bomba la kusafishia zaga,kutoka dom mpka bandari ya hindi.ccm awamu hii imejaa wajinga 99%Wakati Lissu akiifuta CCM Iringa watu wapo busy eti bomba la mafuta miaka mitano kila siku ni unzinduzi wa bomba la mafuta tu.
Miaka 5 imeisha hakuna kinachoendelea leo ndio uwaambie watu eti bomba la mafuta.
Lissu kamatia hapo hapo mpaka akimbie aende huyu View attachment 1568548View attachment 1568549View attachment 1568550View attachment 1568551
😀😀😀😀Watu wapo hapo kwenye mkutano watu ni wachache sana hawafiki miambili
Kilaza wa Lumumba katika ubora wako!!