Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Iringa

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Iringa

Hapo vipi
JamiiForums-1835274036.jpg
 
Muda huu Iringa.. Usifikiri watu wote ni wajinga Kama wewe kupigania buku 7 daily. View attachment 1568562View attachment 1568563
Mnajitahidi kupotosha! Iringa na minazi wapi na wapi?

Kila siku nasema Lisu atatia aibu kuliko wagimbea wote waliowahi kugimbea chadema!

Chadema hii ya Lisu ndio mmefikia hatua ya kuokoteza vipicha namna hii?

Ona huyu kamanda enzi hizo kabla wenye chadema yao hawajaamua kuiuza, kisha niambie Lisu anaingia mara ngapi hapo? [emoji116][emoji116]
20200814_164053.jpg
 
Mnajitahidi kupotosha! Iringa na minazi wapi na wapi?

Kila siku nasema Lisu atatia aibu kuliko wagimbea wote waliowahi kugimbea chadema!

Chadema hii ya Lisu ndio mmefikia hatua ya kuokoteza vipicha namna hii?

Ona huyu kamanda enzi hizo kabla wenye chadema yao hawajaamua kuiuza, kisha niambie Lisu anaingia mara ngapi hapo? [emoji116][emoji116] View attachment 1568575
Leta updates za kushikana uchawi huko CCM!! Naona hadi mzee kakodi majeshi kwa mseveni leo
 
Wakati Lissu akiifuta CCM Iringa watu wapo busy eti bomba la mafuta miaka mitano kila siku ni unzinduzi wa bomba la mafuta tu.

Miaka 5 imeisha hakuna kinachoendelea leo ndio uwaambie watu eti bomba la mafuta.

Lissu kamatia hapo hapo mpaka akimbie aende huyu View attachment 1568548View attachment 1568549View attachment 1568550View attachment 1568551
Sasa hivi watakuja na bomba la kusafishia zaga,kutoka dom mpka bandari ya hindi.ccm awamu hii imejaa wajinga 99%
 
CCM haijawahi kufutikq Iringa tangu mfumo wa vyama vingi uanze, upinzani umekuwa ukichukuwa Jimbo la Iringa mjini pekee, majimbo yote yaliyobaki hayajawahi kuchukuliwa na upinzani.


Hata hivyo niwapongeze IT wa chadema kwa jinsi wanavyojitahidi kuhariri picha kabla hawajazituma mtandaoni.

Vipi mbona jana hatujapata picha kutoka Morogogoro .
 
Back
Top Bottom