Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kwakuwa ni wapigaji mahiripicha zimepigwa kiufundi mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakuwa ni wapigaji mahiripicha zimepigwa kiufundi mno
Leta updates za kushikana uchawi huko CCM!! Naona hadi mzee kakodi majeshi kwa mseveni leo
Hahahahaha wape mambo hao hawajielewiMnajitahidi kupotosha! Iringa na minazi wapi na wapi?
Kila siku nasema Lisu atatia aibu kuliko wagimbea wote waliowahi kugimbea chadema!
Chadema hii ya Lisu ndio mmefikia hatua ya kuokoteza vipicha namna hii?
Ona huyu kamanda enzi hizo kabla wenye chadema yao hawajaamua kuiuza, kisha niambie Lisu anaingia mara ngapi hapo? [emoji116][emoji116] View attachment 1568575
Wewe hukuwa Moro mkuu?CCM haijawahi kufutikq Iringa tangu mfumo wa vyama vingi uanze, upinzani umekuwa ukichukuwa Jimbo la Iringa mjini pekee, majimbo yote yaliyobaki hayajawahi kuchukuliwa na upinzani.
Hata hivyo niwapongeze IT wa chadema kwa jinsi wanavyojitahidi kuhariri picha kabla hawajazituma mtandaoni.
Vipi mbona jana hatujapata picha kutoka Morogogoro .
Mbona wewe huleti picha ya hao watu waliokuwepo?Mkutano wa morogoro watu walikuwa chini ya miambili jioni mnaedit mnaleta watu tofauti na mkutano
Mh, ngoja aje! Kwanini ubalozi and not any other post in case?Nisamehe Sana Mkuu Wala sikua na Nia mbaya......nilitaka tu nijue Pumzi yake ya masaa 32 mfululizo kupost MAZURI ya mh.Lissu aliipata kupitia vitu vp?😁😁
Nimemuombea awe Balozi Wetu Ikiwa Mwamba ataingia ikulu😂😂
Mnakodi mabeberu kuwapigia kampeni sasa
Duuh akiiona picha hii sijui kama atakubali ipo siku atabaki kuwa raia
Kumbe umeona..Watu wapo hapo kwenye mkutano watu ni wachache sana hawafiki miambili
Mkuu ili fuso unalipenda sana. Kwa Sugu mbeya ukasema ni ilo, Mwanza ni ilo,Iringa ni ilo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ss ccm tupige zetu ili tuwazidi kwa ujanja. Kwani wazidi kwa mapichapicha yenye kutazamika yaani ni zaidi ya Mabango yaliyobandikwa kila konaPicha zinapigwa kiujanja ujanja sana kampeni za Chadema
video hii hapaDr Slaa alongside
Chadema ni kipindi cha Slaa na Lowasa sasa hivi hakuna kitu
Hongera ziwaendee kitengo cha editing na uchakachuaji cha Chademavideo hii hapa
msigwa alipata ubunge kwa mgawanyiko wa ccm uliotokana na lowassa
Mwaka huu hata yeye Msigwa anajua kuwa hapiti
ndio maana Bashiru anawambia uvccm imejaa vilazamsigwa alipata ubunge kwa mgawanyiko wa ccm uliotokana na lowassa
Mwaka huu hata yeye Msigwa anajua kuwa hapiti