Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Iringa

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Iringa

Lissu hata akishinda haitasaidia, CCM karibu wabunge 50 wamepitishwa na NEC bila ridhaa ya wananchi hivyo hata kuwa na nguvu yoyote
 
Nadhani atakuwa kapita bila kupingwa 😆😆
Ngoja niwawekee MATAGA picha ya Lowassa akihutubia mwaka 2015 kama wanavyotaka tufanye 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅
20200913_180917.jpg

CC YEHODAYA Kawe Alumni jingalao Wakudadavuwa karibuni mufurahie
 
Lissu hata akishinda haitasaidia, CCM karibu wabunge 50 wamepitishwa na NEC bila ridhaa ya wananchi hivyo hata kuwa na nguvu yoyote
Wabunge wenyewe wa Ccm wanao piga makofi tu
Lisu akiwa raisi ccm wote wanahamia chadema wabunge wa Ccm ni njaa tu na kulinda maslahi yao hawana faida yoyote kwetu
 
Leo Mchungaji Msigwa akishirikiana na viongozi wa Kanda ya Nyasa anazindua safari yake ndefu ya kampeni kwenye eneo lake la kujidai la Mwembetogwa .

Ikumbukwe kwamba Msigwa ndiye aliyeivunjilia mbali ccm Iringa na kuhitimisha utumwa wa wananchi baada ya kuwakataza kupokea rushwa ya Ulanzi (pombe ya kienyeji) iliyotumika na ccm kwa miaka mingi kupotosha na kuwapumbaza wananchi .

Stendi mpya ya Ighumbilo ni moja ya jambo ambalo Mh Msigwa na Halmashauri iliyokuwa chini ya Mstahiki Kimbe wamelifanya Iringa na kutengeneza fursa chungu mzima.


View attachment 1568406

========
UPDATES
Hali ya Mwembetogwa ndio hii mnayoiona

View attachment 1568406View attachment 1568794View attachment 1568795
View attachment 1568828View attachment 1568829View attachment 1568830View attachment 1568831View attachment 1568832View attachment 1568833
Kama picha ndio kura za wananchi Chadema ingekuwa imeshashinda.
 
Back
Top Bottom