Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Iringa

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Iringa

Leta updates za kushikana uchawi huko CCM!! Naona hadi mzee kakodi majeshi kwa mseveni leo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mnatia aibu sana mkuu! Hivi mnafikiri kila mtu hapa ni mbumbumbu?

Yani jamaa kaokota picha sijui wapi huko alafu ndio anasema eti Lisu Iringa,!

Lisu mwaka huu atapata aibu ambayo hakuitegemea.

Mambo haya ya kufoji picha tumezoea kuyaona huko ccm, lakini siku hizi mambo yamekuwa kinyume chake
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mnatia aibu sana mkuu! Hivi mnafikiri kila mtu hapa ni mbumbumbu?

Yani jamaa kaokota picha sijui wapi huko alafu ndio anasema eti Lisu Iringa,!

Lisu mwaka huu atapata aibu ambayo hakuitegemea.

Mambo haya ya kufoji picha tumezoea kuyaona huko ccm, lakini siku hizi mambo yamekuwa kinyume chake
Kama si za kweli si ulete picha au video za kweli????
Tumesema leteni updates za kushikana uchawi huko Lumumba sio kuzindua mradi mmoja mara nne
 
CCM haijawahi kufutikq Iringa tangu mfumo wa vyama vingi uanze, upinzani umekuwa ukichukuwa Jimbo la Iringa mjini pekee, majimbo yote yaliyobaki hayajawahi kuchukuliwa na upinzani.


Hata hivyo niwapongeze IT wa chadema kwa jinsi wanavyojitahidi kuhariri picha kabla hawajazituma mtandaoni.

Vipi mbona jana hatujapata picha kutoka Morogogoro .
Morogoro picha zipo za kutosha tatizo ni wewe mpumbavu utlfuatilii chochote
IMG_20200911_212606.jpg
IMG_20200911_190446.jpg
 
Acha kumsema vibaya mdogo wangu
Nisamehe Sana Mkuu Wala sikua na Nia mbaya......nilitaka tu nijue Pumzi yake ya masaa 32 mfululizo kupost MAZURI ya mh.Lissu aliipata kupitia vitu vp?😁😁

Nimemuombea awe Balozi Wetu Ikiwa Mwamba ataingia ikulu😂😂
 
Back
Top Bottom