Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwakua hawana akili hawawezi kuwaelewa. Naelekea Magomeni now, in case of anything......tutakua pamoja insha'Allah
 
Maandamano ya kuanzishwa na chama cha siasa ni ngumu sana kufanikiwa.
Wanasiasa mara nyingi hawaaminiki. Huwa hawawajibiki kwa wananchi isipokuwa hadi maslahi yao yaguswe.
Chadema walibug sana kukataa maandamano yaliyoratibiwa na kina Mwabukusi pamoja na Dr Slaa kuhusu mkataba wa kuuza bandari.
Walionesha ubinafsi wa kiwango cha rami.
 
Sasa atapiga picha kama hayuko eneo la tukio? Mama ameamua kuiga uhayawani wa Magufuli, haujui kuwa magufuli alikuwa shetani toka tumboni kwa mama yake. Ngoja tuone mwisho wake.
[emoji23][emoji23]Magufuli anaongoza malaika mbingini,siku mkiacha bangi mtaelewa umuhinu wa Magu.
 
ety mjini hali ipoje kunaingilika ua mmeogopa kuandamana embu tujuzeni naona kimya up now no new feedback no picha no news mnatukata stimu
 
Mbwa wee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…