Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakua hawana akili hawawezi kuwaelewa. Naelekea Magomeni now, in case of anything......tutakua pamoja insha'AllahPolisi hebu tumieni hekima kidogo ili kuimarisha taswira nzuri ya Mama Samia Suluhu Hassan kitaifa na kimataifa.
Msitumie nguvu kuzuia maandamano, bali imarisheni ulinzi ili maandamano yafanyike kwa amani.
Dunia nzima Leo macho yako Tanzania. Hii ndio nafasi pekee ambapo Polisi wetu wanaweza kuionyesha dunia kwamba Tanzania hakika ni kisiwa cha amani na utulivu.
Ni Wapumbavu mnooooo, wako na reasoning capacity ndogo sanaHuku nimekutana nayo inapiga dolia, na mbele wapo mamwela na virungu & mabunduki.
Shemeji yenu niko nae hapa tukiuawa tuzikwe kaburi moja tafadhaliniTuache na namba ya shemeji tutakuwa tunamsalimia Sisi wanaharakati wenzio
Amina, InshallahKwakua hawana akili hawawezi kuwaelewa. Naelekea Magomeni now, in case of anything......tutakua pamoja insha'Allah
Dr matopeSimba yavuna million 15 za Mama kwa kuikaanga timu bingwa ya Libya
[emoji23][emoji23]Magufuli anaongoza malaika mbingini,siku mkiacha bangi mtaelewa umuhinu wa Magu.Sasa atapiga picha kama hayuko eneo la tukio? Mama ameamua kuiga uhayawani wa Magufuli, haujui kuwa magufuli alikuwa shetani toka tumboni kwa mama yake. Ngoja tuone mwisho wake.
Niingie mara ngapi?Ingia barabarani tukuone 🐼
Kwani sasa hivi unaitwa nani?Wakiandamana niite mbwa
ahaha kumbe nae muoga sio?😁😀😀😀😀😀! Mpigie simu Mbowe! Naye kala kona!
Mbwa weeSalaam
Hapa gomz mwisho wanapotengeneza stand ya mwendokasi.
Imepaki chuma moja mpyaa ( Mercedes-Benz) spesho kwa ajili ya kutawanya wanao sema wataandana leo.
Najua kila upande wana point zao na msingi kuandamana/kuzuia maandamano , Kwangu mimi naona ndugu zangu tufanye kazi tu kwa uwaminifu na kufuata sheria za nchi. Mapungufu yapo kwa serikali ila fikiria sana familia yako kabla hujaandamana.
Najua mtanitukana sana kwenye comment ila habari ndio hiyo.
Nawasilisha.
Maandamano nchi hii wanayaweza waislam tuNakumbuka enzi za maandamano ya ijumaa saa kama hizi bara bara tupu