Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi nipo na bango langu mfukoni hapa Mapipa mje tuungane MAPIGO NA MWENDO ndo kauli mbiu
 
Uhuru wa Tanzania ulipatikana kwa kudai kwa maneno na sio vita ..... amesikika shabiki mmoja kindakindaki akisema
 
Niki join dot 2019 - 2020 na sasa 2024 ninaona ni kama vile kuna mpambano wa chini kwa chini baina ya Mwanafunzi v/s Mwalimu.
Kipindi kile Mwalimu na Delilah walikuwa wakiwatumia sana Wapinzani, Evalisti Chahali, Kigogo Kigogo, Mange Kimambi page na wanaharakati fulani fulani kumpiga vita Uncle na mwisho wa siku Mwalimu na Delilah wakaibuka washindi,

Na sasa naona kama vile vita ya Mwanafunzi na Mwalimu, nani kuibua mshindi???
Je baada ya maandamano kufeli au kufanyika, Mwalimu atakuja na mbinu ipi nyingine kupambana na mwanafunzi wake?
Born to Town v/s Mkojani Fc
 
Nipo kwenye daladala watz wanaogopeshana kuuwawa
 
Barbara ipi, na je tunaaza kunywa Supu au wali maharage?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…