Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Mikutano ya Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Dodoma na Singida

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Mikutano ya Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Dodoma na Singida

Kwa nilicho kishuhudia leo kwenye seminar ya wasimamizi wa vituo vya uchaguzi ni dhahiri CCM wanashirikiana na TISS kuiba kura
DSO/RSO wanasema
1.Marufuku mawakala kuingia na simu
2.Marufuku wasimamizi wasaidizi kuingia na simu
3.Marufuku kalani mwongozaji kuingia na simu
4.Marufuku wakala kuingia na kalam yake
5.Marufuku wakala kuondoka na karatasi ya matokeo

Wapinzani tumeshapigwa tayari!Yaani nimekuta kwanini niliumia kwenye hiyo seminar Ilikuwa kidogo tu nirushe ngumi
Huu uchaguzi umeshatekwa nyara na TISS
 
Mbona kila siku Singida ?

Hawaamini ndungu zake wa singida ? Anajua watamfyekelea mbali

Hapa vijana tuna la kujifunza, Usaliti ni laana kwa Taifa
Hizi tuhuma tushazizoea, tafuta tuhuma mpya,

Lissu anasema Uhuru Haki na Maendeleo ya watu, nyie mgombea wenu anatuahidi nin ili tulinganishe?
 
Wakuu kwa sasa ni suala la muda tu kwa Nchi yetu kupata Rais Mpya kutoka kwenye chama kipya , naandika haya kwa kujiamini kabisa baada ya Tathmini ya uhakika , njia pekee ya kumshinda Lissu kwenye uchaguzi huu ni kuiba kura tu .

Nirudi kwenye mada , Leo Tundu Lissu ataendelea na mikutano kadhaa na hasa kwenye maeneo ambayo hakufanikiwa kuyapitia ya Dodoma na Singida ( anafukia mashimo ) , kama kawaida yetu tutawaletea kila kinachojiri pote atakapopita .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika .

" TANZANIA MPYA OYEE , RAIS MPYA OYEEEE "

View attachment 1611262

========
Kanyaga twende baba. Mungu akulinde na kukutangulia.
 
Kwani kuna wilaya hajaenda Tanzania hii?

Tahadhari
Kuna mtu moyo unakaribia kukata moto huko manyara hivyo hospital za celian ,KCMC na BMkapa ziwe stand by
Hakwenda Musoma vijijini yote, bunda vijijini,butiama, ni sehemu nyingi hajaenda.

Labda ndiyo ratiba iko hivyo.
 
Abarikiwe TL. Tujitokeze kwa wingi Jumatano 28 Okt 2020 tumpigie TL kura zetu.

Sijasikia TL akieleza watu jinsi ya watu kumpigia kura 28 Okt 2020. Hajaeleza wapi picha na jina lake vimewekwa kwenye karatasi ya kupiga kura.
Wote tunajua. Ni mtu wa mwisho. Ni mapumziko.
 
Tanzania haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi
Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Hizi tuhuma tushazizoea, tafuta tuhuma mpya,

Lissu anasema Uhuru Haki na Maendeleo ya watu, nyie mgombea wenu anatuahidi nin ili tulinganishe?
 
Wakuu kwa sasa ni suala la muda tu kwa Nchi yetu kupata Rais Mpya kutoka kwenye chama kipya , naandika haya kwa kujiamini kabisa baada ya Tathmini ya uhakika , njia pekee ya kumshinda Lissu kwenye uchaguzi huu ni kuiba kura tu .

Nirudi kwenye mada , Leo Tundu Lissu ataendelea na mikutano kadhaa na hasa kwenye maeneo ambayo hakufanikiwa kuyapitia ya Dodoma na Singida ( anafukia mashimo ) , kama kawaida yetu tutawaletea kila kinachojiri pote atakapopita .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika .

" TANZANIA MPYA OYEE , RAIS MPYA OYEEEE "

View attachment 1611262

========
Kama kawaida yenu haitusaidii wengine. Mnatuwekea picha za mafuriko tu badala ya kutuwekea hotuba za urefu wake. Hatutaki kuona mafuriko tu manake hayo tunayaona hata kwa Wagombea wengine. Tunataka hotuba anazohutubia kwenye mikutano hiyo. You Look so emotional guys! Be of logic please!
 
Haiwezekani kwenda majimbo yote ya Tanzania. Aliyeweka miezi 2 ya kampeni ameweka muda huo kwa manufaa ya CCM. CCM imehodhi vyombo vya habari. Hawa wengine haruhusiwi kutangazwa. Huu siyo mfumo wa uchaguzi. Ni mfumo wa kuhalalisha udhalimu wa CCM tu. Hakuna kingine. Uchaguzi huu, mawakala hawaruhusiwi kutoka na nakala ya matokeo ya uchaguzi! Jiulize, wakitoka na matokeo itamuumiza nani?
Hakwenda Musoma vijijini yote, bunda vijijini,butiama, ni sehemu nyingi hajaenda.

Labda ndiyo ratiba iko hivyo.
 
Haiwezekani kwenda majimbo yote ya Tanzania. Aliyeweka miezi 2 ya kampeni ameweka muda huo kwa manufaa ya CCM. CCM imehodhi vyombo vya habari. Hawa wengine haruhusiwi kutangazwa. Huu siyo mfumo wa uchaguzi. Ni mfumo wa kuhalalisha udhalimu wa CCM tu. Hakuna kingine. Uchaguzi huu, mawakala hawaruhusiwi kutoka na nakala ya matokeo ya uchaguzi! Jiulize, wakitoka na matokeo itamuumiza nani?
Hawataki watoke na ushahidi, maana mawakala watapewa matokeo fake na yatatangazwa mengine, nakala hawana unabisha vipi?!
 
Kwa nilicho kishuhudia leo kwenye seminar ya wasimamizi wa vituo vya uchaguzi ni dhahiri CCM wanashirikiana na TISS kuiba kura
DSO/RSO wanasema
1.Marufuku mawakala kuingia na simu
2.Marufuku wasimamizi wasaidizi kuingia na simu
3.Marufuku kalani mwongozaji kuingia na simu
4.Marufuku wakala kuingia na kalam yake
5.Marufuku wakala kuondoka na karatasi ya matokeo

Wapinzani tumeshapigwa tayari!Yaani nimekuta kwanini niliumia kwenye hiyo seminar Ilikuwa kidogo tu nirushe ngumi
Mwanahabari Huru , Salary Slip Erythrocyte take note of these serious maneuvers! Tumekwisha...
 
Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
hakikisha mnampigia kura Lissu,, elfu saba chukua ila kura zote kwa Lissu
 
Back
Top Bottom