Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu katika viwanja vya Zakheim Mbagala, TBC Wafukuzwa

Kila siku nilipigwa risasi!
Hiyo ndiyo Sera??.Hata ungepigwa risasi 2000,haiwezi kuwafanya waTZ wakupe kura za huruma.Bongo lala kabisa.
Eti ndo nguli wa sheria huyo!Labda sheria pori.
 
Ndio Mkuu, naona kaanza kuhamasisha watu kuvuruga amani ya nchi kisa kuenguliwa kwa Wagombea.

TBC wamekata baada ya kuona Mbowe kaanza kuongelea suala la kuligawa Taifa.

Kwani kuenguliwa wagombea ni jambo dogo hilo kumktaza mtu kuhombea ambayo ni haki yake kikatiba
 
Chadema sitisheni kuoneshwa live na tbccm mwanzo mwisho wanakata hotuba ..ilinibidi nizime TV Kwa hasira
 
Hapa tunaingizwa chaka sina hata gwasi mfukoni unaleta habari ya kuandamana halafu tena unataka na mchango
 
Ameahidi hakuna kujitoa kwenye uchaguzi,haki itadaiwa kwa kila njia. Amejitolea kutafuta haki kwa wote kama Watanzania walivyojitolea kutetea uhai wake. Kuwa kwake hai,Mungu ana makusudi naye....
hiii Safi sanaaa dah jamaa ANAAKILI SANA
 
Salaam Mkuu,

leo Ijumaa tarehe 28 Agosti 2020 Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kinafanya uzinduzi wa kampeni za urais wa Tanzania zinazofanyika, Uwanja wa Zakhiem, Mbagala jijini Dar es Salaam....
Kwa mara ya Kwanza naomba niongee lugha chafu na viongozi wa Chadema ni marofa na ni wapumbavu kabisa na wanachotaka watakipata na Tanzania itabaki salama salimini
Muda utasema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…