Kwisha habariInaonekana hawajajiandaa, what will be plan B. Ni kama nimesikia Katibu Mkuu akisema waweke kando Sera na Ilani ya chama ili wafanye kitu kingine.
Wamemkatia mbowe Tena !!!
Agrirrrrrrrrr
Siangaliii Tena tbc
Wakuu Hakuna link inayorusha live Kama you tube nk ?
Chadema wanafeli Sana !!
Wamemkatia mbowe Tena !!!
Agrirrrrrrrrr
Siangaliii Tena tbc
Wakuu Hakuna link inayorusha live Kama you tube nk ?
Chadema wanafeli Sana !!
Nenda YouTube search Mwanahalisi TVWamemkatia Mbowe Tena !!!
Agrirrrrrrrrr
Siangaliii Tena tbc
Wakuu Hakuna link inayorusha live Kama you tube nk ?
Chadema wanafeli Sana !!
Acheni matusi.Wamemkatia Mbowe Tena!
Agrirrrrrrrrr
Siangaliii Tena tbc
Wakuu Hakuna link inayorusha live Kama you tube nk ?
Chadema wanafeli Sana !!
Shukran boss
Ndio Mkuu, naona kaanza kuhamasisha watu kuvuruga amani ya nchi kisa kuenguliwa kwa Wagombea.Umeona kumbe unamsikiliza vizuri Mbowe hapo?
Duuuh kweli hakuna nyomi aisee naona Hapo vijana Hadi wanapata Nafasi ya kuchati kwa smartphone bila hata shida kabisaa.
Nafikiri hapa CDM tutajifunza kitu kutoka kwa Watanzania.
Hapana mkuu TBC hawafel hata kidogo chombo Cha habari Cha Taifa hakiwezi kurusha matamko ya Chuki na vurugu namna hiyo hata siku moja, CHADEMA hawana stahe hizi sio siasa bali chuki tu na kuhamasisha vurugu tupu.Tbc wanafel, ila CHADEMA wanafel zaidi.
Eti waweke kando swala la ilani, so what???
Nipe link!Sababu ya kijinga hii, kwani Nani amekwambia tbc pekee ndo wanaorekodi tukio Zima mbona Mimi naangalia channel za YouTube sioni hata hiyo nyomi.
Shida Ni nin?
Jipe faraja.Wamemkatia mbowe Tena !!!
Agrirrrrrrrrr
Siangaliii Tena tbc
Wakuu Hakuna link inayorusha live Kama you tube nk ?
Chadema wanafeli Sana !!
Mbowe hata hajisitukii Kama wananchi wameshindwa tu jujitokeza kwa wingi kusikiliza ilani ya Chama wataweza kweli kujitokeza kujaribu kumwaga damu zao?TBC wamekata matangazo baada ya Mbowe kutangaza kuwa watakinukisha kuwa hawata nadi sera yoyote badala yake wanachi wawe tayari kupigania haki