the say
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,772
- 3,360
Kwani mpaka mumuongelee Magu, si muongee ilani ya chama.... Mkimwongea Magu mnampaisha sanaHawafai hawa,yaani Magufuli akisemwa tu wanakata,halafu picha zao wala hawazungushi Camera.Camera imebase kwenye jukwaa tu.Tunataka tuone na Nyomi bwana.Magufuli siyo malaika bwana ,akisemwa mnataka matangazo.SHAME ON YOU TBCMAGUFULI.