eliasmisinzo
JF-Expert Member
- Aug 13, 2021
- 1,259
- 1,321
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa sana ushahidi wake kwa kweli! Kwenye uchunguzi hakuna jinai yoyote iliyoonekana yet wapuuzi wanafungua kesi.Shahidi wa Leo ni wa upande gani?Mbona Naona kama vile ni wa upande wa utetezi?Maana kasema kwenye uchunguzi wake hakuona jinai kwenye hizo simu!
Sasa ameletwa na upande wa mashtaka kuja kufanyaje?
Bashite bwana unapunguzia mawazo kwenye kesi ya mboweNOPE
umeipata!?Mwenye link ya update ya jana,tafadhali namba anirushie,kwani yaliyojili jana niliyatafuta bila mafanikio
Wanaomshtaki ndiyo wanafahamu,hawajakuambia?Kwani Mbowe anashitaiwa kwa kosa gani?
HakunaKayajibuje?
Hati ya mashitaka inasema kuwa na mipango ya na nia ya kufanya vitendo vya kigaidi. Bahati mbaya nyie mmeaminisha muuliza na mnauliza magogo yako wapi? Vituo gani vililipuliwa? Laki 600, 000 inaweza kufanya ugaidi? sawa lakini kosa na kuw na nia ya kutaka kufanya ugaidi?
Huyu huwa anapata bando Kutoka Lumumba ili atetee mashitaka feki. Cha ajabu haoni nguvu ya mashitaka, Sasa anaishia UBABAISHAJI tu.Huoni aibu kuandika huu upuuzi?? Au hata huwahurumii Wazazi wako ambao waliacha kula wakakupeleka shule?
GOOD OBSERVATION
Ila huu sio ushahidi peke yake. Nikurudishe nyuma kwenye ushahidi wa Kaaya. Kaaya alimuunga Mbowe, Adamoo na Sabaya, adamoo alikabidhiwa kazi ya kushughurika na Sabaya na akasema hiyo ni kazi ndogo sana kwake. K wa hiyo kama na kwenye mawasiliano ya simu ya Mbowe yumo- kazi kwisha
Kesi ya Yesu ilikuwa ya kubambika Kama hii, PILATO alipokosa ushahidi, akawauliza wabambika kesi: Sioni kosa, ila Kuna desturi ya kumwachia mmoja, nimwachie Nani, Yesu au Baraba? Wabambika kesi(CCM),Mwachie Baraba(ambaye alikuwa jambazi).Wakati mwingine mjinga unamjibu kijinga
Rejea Yesu na Pilato
Pilato- wewe ni mwana wa Mungu
Yesu- WEWE WASEMA
wana mashahidi 28 bado 18 ngoja tuone wnavyoenda ila so far so goodNi kweli usemavyo. Lakini inatakiwa prosecution waje na sms angalau moja ya kudhibitisha kuwa Kuna maelekezo ya kumdhuru Sabaya yapo.
Sasa huyo shahidi aliyeulizwa amejubu nini? Au ni nani atakayekuja na haya majibu iwapo forensic expert hajayajibu...!!
wana mashahidi 28 bado 18 ngoja tuone wnavyoenda ila so far so good
Tusubiri- we are just half way. Ila utetezi walipewa kila kitu kwenye committal - wanajua kinachokuja mbele yao ila wameamua kudhalilisha mashahidi badala ya kushughurika na ushahidi dhidi yao.Mimi na wewe tusubiri, maana huyu shahidi ndio alikuwa the sucker punch kwenye hii kesi. Kama hatapatikana was kuyajibu haya maswali basi sidhani Kama Kuna kesi ya kujibu hapo. Hata confession ya kina lingwenya itakuja kuonekana haina nguvu kwasababu wanakirije kosa ambalo halipo?
CCM hushinda kwa kura bandia zikisikamiwa na Polisi na TISS.Kwani nimekosea- CHADEMA ILIWAHI KUSHINDA WAPI?
Je baada ya kuunganisha ushahidi wa tigo na airtell pamoja na msg alizohack amepata mazungumzo yoyote yenye viasharia vya kufanya uhalifu kupitia fedha hizo zilizotumwa kwa njia ya simu alizochunguza ??🤣🤣😂Nina mashaka na uelewa wako
Bado atakuja mtu atakaye chunguza computa za watoto wa Mbowe maana Mbowe alijiona mjanja ila msemo wa Kiswahili- NDEGE MJAJA HUNASWA NA TUNDU BOVU.
- kazi ya shahidi ilikuwa kuunga mkono ushahidi wa wataalam wa Tigo na Airtel na amefanya hivyo
- kazi ya shahidi ilikuwa kuwaunga pamoja urio na Mbowe na wenzako na kwa kufanya hivyo anaunga mkono ushahidi wa shahidi anaitwa Kaaya
- kazi ya shahidi ilikuwa kuunga mkono ushahidi wa Kingai ambaye aliwakamamata baadhi ya watuhumiwa na simu
Tundu bovu ndio hawa polisi mnao wadhihaki mkisau mlisoma wote; wao wako kazini nyie mnatembeza bahasha na kushinda mahakamani.
Wakati mwingine akili inakurudia, mara inapotea! Hueleweki...kinachozingatiwa mahakamani ni USHAHIDI usio na mashaka.
..hizo Software hazisaidii chochote kama hakuna ushahidi unaowa-link watuhumiwa na jinai / ugaidi.
..mpaka sasa hivi hajatokea shahidi anayewa-link watuhumiwa na mashtaka yaliyoko mbele yao.
..Ndio maana hata maswali ya mawakili yanaonekana hayana uzito au maana. Ni hili unaweza kuliona kwa mawakili wa upande wa mashtaka na upande wa utetezi.
..Polisi hawajapeleka ushahidi mzito. Hivyo wanafanya kazi ya waendesha mashtaka kuwa ngumu.
..Utetezi nao wana wakati mgumu, kwasababu mashtaka dhidi ya wateja wao ni mabaya na ya hatari. Lakini ushahidi so far hauonekani. Kwa hiyo wako in limbo.
..Shahidi wa leo sioni hata ana maana gani ktk kesi hii. Sijaona akitaja jambo lolote linalowaunganisha washtakiwa na tuhuma zilizoko mbele yao.
..Shahidi anazungumzia simu za watuhumiwa na Software zinazotumika ktk uchunguzi. Nilitegemea aende hatua moja zaidi kusema amebaini kitu gani kinachowaunganisha watuhumiwa na njama za ugaidi.
..At least yule Mama toka Airtel alizungumzia miamala. Sasa ni jukumu la upande wa mashtaka ku prove pasipo na shaka kwa miamala ilitumika ktk njama za ugaidi.
Nakushauri usome sheria ya ugaidi- nimeiweka in one of my post kwenye post hii- kesi iko clear na ushahidi to the point vinginevyo kesi isingefika huku. SIKIA serikali ina maguvu makubwa sana - ikitaka kuweka Mbowe ndani hata bila kesi inaweza- kutakuwa na kelele sawa lakini atakuwa yuko huko. Hivi unajua sheria ya kuweka watu kizuizini ipo na haijafutwa ila kwa sababu viongozi wetu ni waungwana hawaitumii- kama ile sheria ya kunyonga- ipo ila hakuna anayeyonyongwa...mimi sio Polisi au mwanasheria lakini naona hayo mashtaka yako too general.
..watu wana mipango mingi, sasa mipango ya kufanya ugaidi ikoje? Vigezo vyake ni vipi?
..nikiweka vigezo ninavyovifikiria mimi sioni mipango ya kigaidi, na sioni upande wa mashtaka ukijitahidi kufikia kanuni ya " beyond reasonable doubt."
..kuhusu kipengele cha nia, hicho nacho kinathibitishwa vipi?
..Unaweza kweli kuthibitisha nia ya kuweka magogo barabarani bila kumkuta mtuhumiwa na magogo? Hayo magogo yalikuwa yatoke wapi? Walipanga kuyanunua, au kukata wenyewe?
NB.
..kama Mbowe alikuwa na mipango au nia ya ugaidi kwanini hakutumia vijana au wanachama wa Chadema?
..Kwa kawaida magaidi huwa hawakodiwi. Magaidi huwa ni watu waliokuwa indoctrinated.
..Na kuweka magogo barabarani sidhani kama kunahitaji makomandoo.
atakuja mtu wa sauti mtashangaa ila hamwezi kumkana Mbowe NAJUA mtasimama naye mpaka mwisho maana nyie ni kupeJe baada ya kuunganisha ushahidi wa tigo na airtell pamoja na msg alizohack amepata mazungumzo yoyote yenye viasharia vya kufanya uhalifu kupitia fedha hizo zilizotumwa kwa njia ya simu alizochunguza ??🤣🤣😂
View attachment 2088500
Huyu Hacker amelivua nguo jeshi la polisi na CCM kwa ujumla
In my opinion, mpaka sasa serikali imeshindwa kuleta ushahidi wa kutosha. Inakuwaje mpaka shahidi wa10 anashindwa Kuja na ushahidi wa kujitodheleza? Kitendo cha shahidi wa kwanza kujikanyaga tayari ilikuwa ni walakini mkubwa.Mimi na wewe tusubiri, maana huyu shahidi ndio alikuwa the sucker punch kwenye hii kesi. Kama hatapatikana was kuyajibu haya maswali basi sidhani Kama Kuna kesi ya kujibu hapo. Hata confession ya kina lingwenya itakuja kuonekana haina nguvu kwasababu wanakirije kosa ambalo halipo?