Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu - Januari 19, 2022

Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu - Januari 19, 2022

We uko kwenye kirefu Cha DCI mpaka sasa,au hujaona shahidi akisema hakuona jinai yoyote kwenye vifaa alivyoextract data na kama angeona basi angereport!
Unaamini hivyo?! kweli?
 
POTA (2002)
An Act to provide for comprehensive measures of dealing with terrorism, to prevent and to co-operate with other states in the suppression of terrorism and to provide for related matters.

(2) A person commits terror act if, with terrorist intention, does an act or ommission which-
(a) may seriously damage a country or an international organization; or
(b) is intended or can reasonably be regarded as having been intended to seriously intimidate a population; unduly compel a Government or perform or abstain from performing any act; seriously destabilise or destroy the fundamental political, constitutional, economic or social structures of country or an international organization; or otherwise influence such Government, or international organization; or
(c) involves or causes, as the case may be-
(1) attacks upon a person's life which may cause death; attacks upon the physical integrity of a person; kidnapping of a person.

(3) An act shall also constitute terrorism within the scope of this Act if it is an act or threat of action which involves serious bodily harm to a person; involves serious damage to property; endangers a person's life; creates a serious risk to the health or of the public or a section of the public; involves the use of or explosives;
Hivyo vifungu ulivyonukuu vinahusikaje na shauri lililopo mbele ya Jaji?
 
..shahidi anatakiwa awe mkweli, na aonekane anasema ukweli wakati wote.

..kitendo cha shahidi kukataa kujibu maswali ambayo ni obvious tunajenga picha kwamba ana kiburi, anaidharau mahakama, na sio mkweli 100%.

..Hakuna Inspekta wa Polisi asiyejua kirefu cha DCI, sasa kwanini huyu Inspekta wa leo ananiambia mahakama kuwa hajui? Kwanini anaidanganya mahakama?
Umeona jaji aki react- kwa sababu anaona ni swali la kijinga ambalo it is not worth wasting time on it. Yaani umuulize jaji kama anajua kusoma na kuandika halafu akujibu swali hilo?!
Kwa hiyo shahidi wa leo mnaemuita ana kiburi ni malaika kwa mahakama kwa sababu kaokoa mda wa mahakama kwa kukataa kujibu maswali yanayopoteza mda wa mahakama
 
Umeona jaji aki react- kwa sababu anaona ni swali la kijinga ambalo it is not worth wasting time on it. Yaani umuulize jaji kama anajua kuosoma na kuandika halafu akujibu swali hilo?!
Kwa hiyo shahidi wa leo mnaemuita ana kiburi ni malaika kwa mahakama kwa sababu kaokoa mda wa mahakama kwa kukataa kujibu maswali yanayopoteza nmda wa mahakama

..unaweza kuwa sahihi.

..Jaji anaweza kuona ni swali la kipuuzi.

..Na Jaji anaweza kuona shahidi sio mkweli 100%.

..Hatuwezi kujua mtizamo wa Jaji mpaka pale hukumu itakaposomwa.
 
..unaweza kuwa sahihi.

..Jaji anaweza kuona ni swali la kipuuzi.

..Na Jaji anaweza kuona shahidi sio mkweli 100%.

..Hatuwezi kujua mtizamo wa Jaji mpaka pale hukumu itakaposomwa.
Hilo ndilo la maana. Na upande wa mashitaka wakifanikiwa kuingiza vielelezo vyao- HALF DONE. Na kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa isipokuwa mapingamizi mawali hivi nadhani yaliyoletwa na Mh. Kibatala na wenzake na kufanikiwa. Na hata hivyo upande wa mashitaka ulipata au ulikuwa na mwanya wa kuyaleta kwa njia nyingine.
 
Leo kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Mh Mbowe upande wa utetezi kupitia Wakili Kibatala wameuliza maswali matatu muhimu ambayo Jamhuri ikiyajibu hayo Mbowe na Wenzake ni lazima watatiwa hatiani.

1. Swali la kwanza, je information iliyokuwa extracted kwenye simu inaonesha njama za kumdhuru Sabaya au zinaonesha tu jina la Sabaya?

2. Swali la pili, je information iliyokuwa extracted kwenye simu inaonesha mipango ya ugaidi ikipangwa na watuhumiwa? Kama kuvunja madaraja, kukata miti nk.

3. Swali la tatu, Je information ya miamala inaonesha ya kwamba pesa hizo zililenga kutumika kwenye ugaidi au kutumika kufadhili ugaidi?

Haya maswali matatu yakidhibitishwa na upande wa mashtaka, basi kesi imeisha na yasipodhibitishwa basi itakuwa ngumu kiwatia hatiani Mh Mbowe na Wenzake.
GOOD OBSERVATION
Ila huu sio ushahidi peke yake. Nikurudishe nyuma kwenye ushahidi wa Kaaya. Kaaya alimuunga Mbowe, Adamoo na Sabaya, adamoo alikabidhiwa kazi ya kushughurika na Sabaya na akasema hiyo ni kazi ndogo sana kwake. K wa hiyo kama na kwenye mawasiliano ya simu ya Mbowe yumo- kazi kwisha
 
..Je, mpaka sasa hivi, ushahidi uliotolewa, unafikia vigezo vilivyoelezwa hapo juu?
Hati ya mashitaka inasema kuwa na mipango ya na nia ya kufanya vitendo vya kigaidi. Bahati mbaya nyie mmeaminisha muuliza na mnauliza magogo yako wapi? Vituo gani vililipuliwa? Laki 600, 000 inaweza kufanya ugaidi? sawa lakini kosa na kuw na nia ya kutaka kufanya ugaidi?
 
Hati ya mashitaka inasema kuwa na mipango ya na nia ya kufanya vitendo vya kigaidi. Bahati mbaya nyie mmeaminisha muuliza na mnauliza magogo yako wapi? Vituo gani vililipuliwa? Laki 600, 000 inaweza kufanya ugaidi? sawa lakini kosa na kuw na nia ya kutaka kufanya ugaidi?
Acha kujitoa ufahamu dada
 
Nina mashaka na uelewa wako
  1. kazi ya shahidi ilikuwa kuunga mkono ushahidi wa wataalam wa Tigo na Airtel na amefanya hivyo
  2. kazi ya shahidi ilikuwa kuwaunga pamoja urio na Mbowe na wenzako na kwa kufanya hivyo anaunga mkono ushahidi wa shahidi anaitwa Kaaya
  3. kazi ya shahidi ilikuwa kuunga mkono ushahidi wa Kingai ambaye aliwakamamata baadhi ya watuhumiwa na simu
Bado atakuja mtu atakaye chunguza computa za watoto wa Mbowe maana Mbowe alijiona mjanja ila msemo wa Kiswahili- NDEGE MJAJA HUNASWA NA TUNDU BOVU.
Tundu bovu ndio hawa polisi mnao wadhihaki mkisau mlisoma wote; wao wako kazini nyie mnatembeza bahasha na kushinda mahakamani.
Shahidi kawapiga na kitu kizito Leo!Hakuona jinai yoyote kwenye vifaa alivyoambiwa achunguze!
 
Leo kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Mh Mbowe upande wa utetezi kupitia Wakili Kibatala wameuliza maswali matatu muhimu ambayo Jamhuri ikiyajibu hayo Mbowe na Wenzake ni lazima watatiwa hatiani.

1. Swali la kwanza, je information iliyokuwa extracted kwenye simu inaonesha njama za kumdhuru Sabaya au zinaonesha tu jina la Sabaya?

2. Swali la pili, je information iliyokuwa extracted kwenye simu inaonesha mipango ya ugaidi ikipangwa na watuhumiwa? Kama kuvunja madaraja, kukata miti nk.

3. Swali la tatu, Je information ya miamala inaonesha ya kwamba pesa hizo zililenga kutumika kwenye ugaidi au kutumika kufadhili ugaidi?

Haya maswali matatu yakidhibitishwa na upande wa mashtaka, basi kesi imeisha na yasipodhibitishwa basi itakuwa ngumu kiwatia hatiani Mh Mbowe na Wenzake.
Sasa huyo shahidi aliyeulizwa amejubu nini? Au ni nani atakayekuja na haya majibu iwapo forensic expert hajayajibu...!!
 
Sasa huyo shahidi aliyeulizwa amejubu nini? Au ni nani atakayekuja na haya majibu iwapo forensic expert hajayajibu...!!
Shahidi Kaaya alishajibu hilo swali huyu kama ameonyesha jina Sabaya limo kwenye mawsiliano yao - kuna shida hapo.
 
Kibatala: Kwa uchunguzi wako wewe ungekuta taarifa za kupanga uhalifu, ungeacha kuandika kwenye report yako kwa sababu haujaambiwa kwenye terms of reference?

Shahidi: Mimi ni Askari Polisi, kama ningekuta meseji za kupanga uhalifu ningeweka kwenye report yangu.

Kama hakukuta uhalifu wa aina yoyote kuna haja gani ya kuendelea na hii kesi?
 
Leo kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Mh Mbowe upande wa utetezi kupitia Wakili Kibatala wameuliza maswali matatu muhimu ambayo Jamhuri ikiyajibu hayo Mbowe na Wenzake ni lazima watatiwa hatiani.

1. Swali la kwanza, je information iliyokuwa extracted kwenye simu inaonesha njama za kumdhuru Sabaya au zinaonesha tu jina la Sabaya?

2. Swali la pili, je information iliyokuwa extracted kwenye simu inaonesha mipango ya ugaidi ikipangwa na watuhumiwa? Kama kuvunja madaraja, kukata miti nk.

3. Swali la tatu, Je information ya miamala inaonesha ya kwamba pesa hizo zililenga kutumika kwenye ugaidi au kutumika kufadhili ugaidi?

Haya maswali matatu yakidhibitishwa na upande wa mashtaka, basi kesi imeisha na yasipodhibitishwa basi itakuwa ngumu kiwatia hatiani Mh Mbowe na Wenzake.
Yathibitishwe na nani wakati aliyetegemewa kuyathibitisha hakuweza kufanya hivyo. In short shahidi wa leo kwa zaidi ya 60% amehitimisha shauri. Case closed; ni kutaka kuumiza watu bila sababu za msingi. Mungu atawalipia inshallah.
 
Back
Top Bottom