econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kayajibuje?
Amejibu kuwa hafahamu kwani haikuwa kazi yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kayajibuje?
itakuwa kabambikiziwa kesi na vilazaKwa hiyo mkuu shahidi asipojua kirefu cha DCI Mbowe anakuwa hana kesi ya kujibu tena?
Jeshi la Polisi sio mazwazwa, tatizo wanapewa majukum ambayo msingi wake Ni riwaya za kutunga alafu wakapambane Mahakamani, hata ingekuwa Ni wewe usingeweza.Hilo jeshi Lina mazwazwa wengi
Huu ushauri ungempa Mh. Kibatala na jopo lake ingesaidia sanaWakuu,
Huyo jamaa comte kwanini mnamu entertain?
Sioni umuhimu wowote wa kupoteza muda na kuanza kumjibu...
Shahidi wa Leo ni wa upande gani?Mbona Naona kama vile ni wa upande wa utetezi?Maana kasema kwenye uchunguzi wake hakuona jinai kwenye hizo simu!Huu ushauri ungempa Mh. Kibatala na jopo lake ingesaidia sana
Ujinga wako uko hapa "hujui n nn maana ya Cross examination na n kitu gani hasa Wakili anatakiwa kufanya anapokua anafanya haya maswala"
Ushahid wa leo ni ushahidi mfu , ushahidi usiokua na madhara yeyote , haujaonyesha popote kosa lolote kutendeka wala kukusudia kutendeka
Ushahidi uliokua mzito ni ule wa jezi za JWTZ. Tokea shtaka lianze na zilikataliwa , vingine vyote ujinga mtupu
Shahidi wa Leo ni wa upande gani?Mbona Naona kama vile ni wa upande wa utetezi?Maana kasema kwenye uchunguzi wake hakuona jinai kwenye hizo simu!
Sasa ameletwa na upande wa mashtaka kuja kufanyaje?
Shahidi kasema hakuona jinai yoyote katika simu alizoombwa aextract data!mbona shahidi waleo amejibu yote kama alivyoulizwa? shahidi wakesho ataulizwa kutokana na atakavyotoa ushahidi wake''
Sijakuelewa,nilichoandika na ulichojibu haviendani!Jaji anaandika Kidogo.
Jaji: Shauri linahailishwa hadi Kesho 20.1.2022, Shahidi ataendelea Kutoa ushahidi wake
Upande wa Jamhuri naelekezwa kuja na shahidi mwingine
Washtakiwa wataendelea kuwa rumande chini ya magereza mpaka kesho asubuhi saa 3 kamili
Jaji anatoka
POTA (2002)..kama waliopanga kulipua ilitakiwa wakutwe na vilipuzi.
..kama walipanga kukata miti na kuziba barabara walitakiwa wakutwe na mapanga, ashoka, au misumeno...
Accelerate Justice
From the field to the lab and the courtroom… solve cases faster.
CELLEBRITE imemmaliza Mbowe ndiyo maana Mh. Kibatala ameamua kuuliza kirefu cha DCI-Daima Chadema Inashindwa
POTA (2002)
An Act to provide for comprehensive measures of dealing with terrorism, to prevent and to co-operate with other states in the suppression of terrorism and to provide for related matters.
(2) A person commits terror act if, with terrorist intention, does an act or ommission which-
(a) may seriously damage a country or an international organization; or
(b) is intended or can reasonably be regarded as having been intended to seriously intimidate a population; unduly compel a Government or perform or abstain from performing any act; seriously destabilise or destroy the fundamental political, constitutional, economic or social structures of country or an international organization; or otherwise influence such Government, or international organization; or
(c) involves or causes, as the case may be-
(1) attacks upon a person's life which may cause death; attacks upon the physical integrity of a person; kidnapping of a person.
(3) An act shall also constitute terrorism within the scope of this Act if it is an act or threat of action which involves serious bodily harm to a person; involves serious damage to property; endangers a person's life; creates a serious risk to the health or of the public or a section of the public; involves the use of or explosives;
tena alipobanwa zaidi kama anaweza kuona harafu asiseme, akasisitiza yeye kama police angeona kuna dalili zozote asingesita kuwasilisha mahakamani''Shahidi kasema hakuona jinai yoyote katika simu alizoombwa aextract data!
Hahahahahahh CELLEBRITE imerahisha kazi ya kumnasa Mbowe- ACHA KUCHEZA NA DOLA.Sijakuelewa,nilichoandika na ulichojibu haviendani!
Mzee wa "Celebrite" unakwama wapi???
naona kama kukukamatwa kuwa wshitakiwa -KUMEPREVENT..Je, mpaka sasa hivi, ushahidi uliotolewa, unafikia vigezo vilivyoelezwa hapo juu?
Ni kwa sababu haya ushahidi anaotoa alishinikizwa na wakubwa.Ukichukua tahadhari kupita kiasi kwenye maneno unayoongea mahakamani Ni lazima uonekane hujui kitu (boya) hata Kama unajua na kuonekana huaminiki hata Kama ulipaswa uonekane unaaminika.
******
Kibatala: angalia Maneno ya DCI Katika hiyo Barua. Unafahamu Kirefu chake?
Shahidi: nimesahau kidogo
Kibatala: Mimi nikikwambia kwamba kirefu cha hayo maneno uliyoandika wewe kwenye barua yako ni DIRECTOR OF CRIMINAL INVESTIGATION?
Shahidi: Sijui mpaka Nipate Mwongozo Wa Wakubwa zangu
Kibatala: Juu pia maneno ya DFSI kuwa ni DIRECTORATE OF FORENSIC SCIENCE INVESTIGATION?
Shahidi: Sifahamu mpaka Nikumbushwe na wakubwa zangu
Kibatala: Na Bado wewe Unasema ni inspector wa Jeshi la polisi
Shahidi: Ndiyo