Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu - Januari 19, 2022

Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu - Januari 19, 2022

Mkuu shida ya akina Kibatala wanadhani polisi kuna wajinga wajinga tu- safari hii imekula kwao
They are surely going to be surprised in the end, kama maswali yenyewe ndiyo haya. Nilitegemea maswali substance. Sasa anadhani kwa kuuliza juu ya DCI anaweza kumdiskrediti shahidi? Impossible!

So far, naona shahidi yuko kwenye uelekeo sahihi kabisa; he's maintained his position so perfectly. WE NEED SUBSTANCE! Si upuuzi, upuuzi na kupotezewa muda!
 
Naona kwa Mallya tu anaruka viunzi, bado hajakutana na Kibatala, huyu jamaa hii match ya leo kazi anayo [emoji23]
Ameshaingia kwenye Anga za wakili Msomi sana,Peter Kibatala ameshamkamata inavyo paswa,hafurukuti tena.
 
They are surely going to be surprised in the end, kama maswali yenyewe ndiyo haya. Nilitegemea maswali substance. Sasa anadhani kwa kuuliza juu ya DCI anaweza kumdiskrediti shahidi? Impossible!

So far, naona shahidi yuko kwenye uelekeo sahihi kabisa; he's maintained his position so perfectly. WE NEED SUBSTANCE! Si upuuzi, upuuzi na kupotezewa muda!
Ndiyo maana kwenye UPDATE zao wana OMIT vital detail- Kama jana maneno yote aliyosoma shahidi baada ya vielelezo kukubaliwa na kupokelewa hayamo kwenye UPDATE zao. Wanadhani kama wakizitoa na kwenye rekodi za jaji zinafutika
 
Ameshaingia kwenye Anga za wakili Msomi sana,Peter Kibatala ameshamkamata inavyo paswa,hafurukuti tena.

Accelerate Justice​

From the field to the lab and the courtroom… solve cases faster.

CELLEBRITE imemmaliza Mbowe ndiyo maana Mh. Kibatala ameamua kuuliza kirefu cha DCI-Daima Chadema Inashindwa
 
Ndiyo maana kwenye UPDATE zao wana OMIT vital detail- Kama jana maneno yote aliyosoma shahidi baada ya vielelezo kukubaliwa na kupokelewa hayamo kwenye UPDATE zao. Wanadhani kama wakizitoa na
 
Ndiyo maana kwenye UPDATE zao wana OMIT vital detail- Kama jana maneno yote aliyosoma shahidi baada ya vielelezo kukubaliwa na kupokelewa hayamo kwenye UPDATE zao. Wanadhani kama wakizitoa na kwenye rekodi za jaji zinafutika
Naona wanapenda sana sensationalism kuliko substance, wanadhani mahakama ni jukwaa la siasa .
 

Accelerate Justice​

From the field to the lab and the courtroom… solve cases faster.

CELLEBRITE imemmaliza Mbowe ndiyo maana Mh. Kibatala ameamua kuuliza kirefu cha DCI-Daima Chadema Inashindwa
Tafsiri halisi ya zero brain
 
Wakati mwingine mjinga unamjibu kijinga
Rejea Yesu na Pilato
Pilato- wewe ni mwana wa Mungu
Yesu- WEWE WASEMA
Comte..nadhani sio kila mahali unajibu kijinga...Yesu alivyojibu kijinga mwisho wa siku hukumu ilikula kwake....kazi ya hawa kina Kibatala ni kumfanya jaji aone kuna doubt katika ushahidi wa mashahidi...na kama watafanikiwa ndio ushindi wenyewe sasa kwa majibu kama anayotoa huyo Inspector ana create doubts katika ushahidi wake...kumbuka.... if a suspect has to be convicted, then the conviction should be beyond reasonable doubts!...few reasonable doubts zinapindua kesi...
 
They are surely going to be surprised in the end, kama maswali yenyewe ndiyo haya. Nilitegemea maswali substance. Sasa anadhani kwa kuuliza juu ya DCI anaweza kumdiskrediti shahidi? Impossible!

So far, naona shahidi yuko kwenye uelekeo sahihi kabisa; he's maintained his position so perfectly. WE NEED SUBSTANCE! Si upuuzi, upuuzi na kupotezewa muda!
Hivi kati ya Serikali + Policcm vs akina Kibatala! Ni upande gani unao poteza muda mpaka muda huu?

Badala ya kutuletea ushahidi wa kuwahusisha watuhumiwa dhidi ya huo ugaidi na uhujumu uchumi, mnatuletea mnatuletea mashahidi wa kuelezea CV zao, na bla bla nyingine!

Hata huyo Jaji si atakuwa ni mjinga wa kiwango cha mwisho kuwatia hatiani watu wasio na uhusiano na makosa waliyo shtakiwa nayo!
 
Kwani nimekosea- CHADEMA ILIWAHI KUSHINDA WAPI?
Ujinga wako uko hapa "hujui n nn maana ya Cross examination na n kitu gani hasa Wakili anatakiwa kufanya anapokua anafanya haya maswala"


Ushahid wa leo ni ushahidi mfu , ushahidi usiokua na madhara yeyote , haujaonyesha popote kosa lolote kutendeka wala kukusudia kutendeka

Ushahidi uliokua mzito ni ule wa jezi za JWTZ. Tokea shtaka lianze na zilikataliwa , vingine vyote ujinga mtupu
 
Comte..nadhani sio kila mahali unajibu kijinga...Yesu alivyojibu kijinga mwisho wa siku hukumu ilikula kwake....kazi ya hawa kina Kibatala ni kumfanya jaji aone kuna doubt katika ushahidi wa mashahidi...na kama watafanikiwa ndio ushindi wenyewe sasa kwa majibu kama anayotoa huyo Inspector ana create doubts katika ushahidi wake...kumbuka.... if a suspect has to be convicted, then the conviction should be beyond reasonable doubts!...few reasonable doubts zinapindua kesi...
Huyo jamaa n zero brain

Hajui jukumu la cross examination ni pamoja na kum- contradict shahidi .. hana idea kabisa , yeye anaona shahidi analambishwa mchanga anadhan watu wanapoteza mda [emoji23][emoji23]
 
Comte..nadhani sio kila mahali unajibu kijinga...Yesu alivyojibu kijinga mwisho wa siku hukumu ilikula kwake....kazi ya hawa kina Kibatala ni kumfanya jaji aone kuna doubt katika ushahidi wa mashahidi...na kama watafanikiwa ndio ushindi wenyewe sasa kwa majibu kama anayotoa huyo Inspector ana create doubts katika ushahidi wake...kumbuka.... if a suspect has to be convicted, then the conviction should be beyond reasonable doubts!...few reasonable doubts zinapindua kesi...
Huyo unayemuelewesha ni mbumbumbu kabisa yaani.
 
Back
Top Bottom