comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Ngoma sare- halafu unajisifuAchana nae Mpuuzi sana huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoma sare- halafu unajisifuAchana nae Mpuuzi sana huyu
They are surely going to be surprised in the end, kama maswali yenyewe ndiyo haya. Nilitegemea maswali substance. Sasa anadhani kwa kuuliza juu ya DCI anaweza kumdiskrediti shahidi? Impossible!Mkuu shida ya akina Kibatala wanadhani polisi kuna wajinga wajinga tu- safari hii imekula kwao
We lofa,Kibatala ameraise qn kutoka kwenye barua ya DCI.MH. KIBATALA ALITAKA DCI IPI?
DCI
DCI- Drum Corps International ·
DCI Group
DCI - Dental Council of India
https://en.wikipedia.org/wiki/DCI
DCI- Drum Corps International -
- Drum Corps International (
View attachment 2088048
Sina haja na malumbano. Ungetaka tujadiliane sawa. OK. swali lake anatarajia kupata nini kusaidia kesi ya Mteja wake?We lofa,Kibatala ameraise qn kutoka kwenye barua ya DCI.
Ameshaingia kwenye Anga za wakili Msomi sana,Peter Kibatala ameshamkamata inavyo paswa,hafurukuti tena.Naona kwa Mallya tu anaruka viunzi, bado hajakutana na Kibatala, huyu jamaa hii match ya leo kazi anayo [emoji23]
Ndiyo maana kwenye UPDATE zao wana OMIT vital detail- Kama jana maneno yote aliyosoma shahidi baada ya vielelezo kukubaliwa na kupokelewa hayamo kwenye UPDATE zao. Wanadhani kama wakizitoa na kwenye rekodi za jaji zinafutikaThey are surely going to be surprised in the end, kama maswali yenyewe ndiyo haya. Nilitegemea maswali substance. Sasa anadhani kwa kuuliza juu ya DCI anaweza kumdiskrediti shahidi? Impossible!
So far, naona shahidi yuko kwenye uelekeo sahihi kabisa; he's maintained his position so perfectly. WE NEED SUBSTANCE! Si upuuzi, upuuzi na kupotezewa muda!
Mleta UPDATE bado ana HARIRI atulishe matango pori vizuri- TUSUBIRI TU ila jue wengine wapo kwingineHeeeee bado tu kurudi!
Ndiyo maana kwenye UPDATE zao wana OMIT vital detail- Kama jana maneno yote aliyosoma shahidi baada ya vielelezo kukubaliwa na kupokelewa hayamo kwenye UPDATE zao. Wanadhani kama wakizitoa na
Naona wanapenda sana sensationalism kuliko substance, wanadhani mahakama ni jukwaa la siasa .Ndiyo maana kwenye UPDATE zao wana OMIT vital detail- Kama jana maneno yote aliyosoma shahidi baada ya vielelezo kukubaliwa na kupokelewa hayamo kwenye UPDATE zao. Wanadhani kama wakizitoa na kwenye rekodi za jaji zinafutika
Vipi tarehe yakesi inasomeka leo ni tarehe 10/ 1/ 2022?NOPE
Tafsiri halisi ya zero brainAccelerate Justice
From the field to the lab and the courtroom… solve cases faster.
CELLEBRITE imemmaliza Mbowe ndiyo maana Mh. Kibatala ameamua kuuliza kirefu cha DCI-Daima Chadema Inashindwa
Hakika- ni waumini waNaona wanapenda sana sensationalism kuliko substance, wanadhani mahakama ni jukwaa la siasa .
Kwani nimekosea- CHADEMA ILIWAHI KUSHINDA WAPI?Tafsiri halisi ya zero brain
Comte..nadhani sio kila mahali unajibu kijinga...Yesu alivyojibu kijinga mwisho wa siku hukumu ilikula kwake....kazi ya hawa kina Kibatala ni kumfanya jaji aone kuna doubt katika ushahidi wa mashahidi...na kama watafanikiwa ndio ushindi wenyewe sasa kwa majibu kama anayotoa huyo Inspector ana create doubts katika ushahidi wake...kumbuka.... if a suspect has to be convicted, then the conviction should be beyond reasonable doubts!...few reasonable doubts zinapindua kesi...Wakati mwingine mjinga unamjibu kijinga
Rejea Yesu na Pilato
Pilato- wewe ni mwana wa Mungu
Yesu- WEWE WASEMA
Hivi kati ya Serikali + Policcm vs akina Kibatala! Ni upande gani unao poteza muda mpaka muda huu?They are surely going to be surprised in the end, kama maswali yenyewe ndiyo haya. Nilitegemea maswali substance. Sasa anadhani kwa kuuliza juu ya DCI anaweza kumdiskrediti shahidi? Impossible!
So far, naona shahidi yuko kwenye uelekeo sahihi kabisa; he's maintained his position so perfectly. WE NEED SUBSTANCE! Si upuuzi, upuuzi na kupotezewa muda!
Ujinga wako uko hapa "hujui n nn maana ya Cross examination na n kitu gani hasa Wakili anatakiwa kufanya anapokua anafanya haya maswala"Kwani nimekosea- CHADEMA ILIWAHI KUSHINDA WAPI?
Huyo jamaa n zero brainComte..nadhani sio kila mahali unajibu kijinga...Yesu alivyojibu kijinga mwisho wa siku hukumu ilikula kwake....kazi ya hawa kina Kibatala ni kumfanya jaji aone kuna doubt katika ushahidi wa mashahidi...na kama watafanikiwa ndio ushindi wenyewe sasa kwa majibu kama anayotoa huyo Inspector ana create doubts katika ushahidi wake...kumbuka.... if a suspect has to be convicted, then the conviction should be beyond reasonable doubts!...few reasonable doubts zinapindua kesi...
Huyo unayemuelewesha ni mbumbumbu kabisa yaani.Comte..nadhani sio kila mahali unajibu kijinga...Yesu alivyojibu kijinga mwisho wa siku hukumu ilikula kwake....kazi ya hawa kina Kibatala ni kumfanya jaji aone kuna doubt katika ushahidi wa mashahidi...na kama watafanikiwa ndio ushindi wenyewe sasa kwa majibu kama anayotoa huyo Inspector ana create doubts katika ushahidi wake...kumbuka.... if a suspect has to be convicted, then the conviction should be beyond reasonable doubts!...few reasonable doubts zinapindua kesi...