comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Ndugu kama hujaelewa husilazimishe acha sio pumzi hiyo kusema utakufa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu kama hujaelewa husilazimishe acha sio pumzi hiyo kusema utakufa.
Kamanda wa Polisi hajui kirefu cha DCI mpaka akumbushwe na bosi wake! Hajui vyeo vya jeshi la polisi! Ndiyo maana muda wote anakwenda chooni kujikumbusha kwenye kikaratasi alichowekewa.
Kibatala: Kwa uchunguzi wako wewe ungekuta taarifa za kupanga uhalifu, ungeacha kuandika kwenye report yako kwa sababu haujaambiwa kwenye terms of reference?
Shahidi: Mimi ni Askari Polisi, kama ningekuta meseji za kupanga uhalifu ningeweka kwenye report yangu..
Hakuna kesi Tena hapa
Hongera Jeshi la polisi kwa kwenda na wakati wa kidigital- watu kama Mbowe wamesumbua sana nchi hii sasa wanashikwa kirahisi
Accelerate Justice
From the field to the lab and the courtroom… solve cases faster.
CELLEBRITE
Mbona wapo wengi wanasimu kali sana lakini hawajui kuzitumia zaidi ya kupiga! Hata huko Cellebrite wanaweza kuwa wanatumia kiwango cha chini sana cha programu kwani kuna baadhi ya mambo amesema hayajui.Jeshi la polisi mnaowaita wajinga wako na CELLEBRITE
Make Your Investigations Smarter, Faster and More Efficient
Cellebrite's end-to-end Digital Intelligence Investigative Platform and Services are trusted by over 6,700 federal, state and local public safety agencies and enterprises in over 140 countries and is used in millions of cases each year.
Shahidi anajibu swali halafu anasema halielewi swali alilojibu!Salaam Wakuu,
Leo tarehe 10/01/2022 kesi ya Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe inaendelea.
Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.
=======
Kufahamu ilipoishia, soma hapa:Yaliyojiri mahakamani kwenye Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Kesi imeahirishwa hadi 19/01/2022
Jaji ameingia, kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa.
Jaji: Shahidi Nakukumbusha Upo Chini ya Kiapo Bado na Wakili wa Mshtakiwa Namba Mbili Ilikuwa Unaendelea, Karibu
Mallya: Mheshimiwa Jaji naomba nikumbushwe niliishia wapi
Jaji: Uliishia Wakati anakusomea Kielelezo H
Mallya: Shahidi tusomee hii ni Tarehe
Shahidi: Imeandikwa 05 August 2020
Mallya: Kuna Entry imeandikwa Owner of Article, Kwenye PF Je imeandikwa Jina gani?
Shahidi: Nashindwa Kusemea Sana Mheshimiwa Jaji sababu Siyo Mimi Niliyeandaa
Jaji: Hujaambiwa Uisemee Umeambiwa Usome
Shahidi: Imeandikwa Mohammed Abdallah Ling'wenya.. Lakini sijaandaa mimi
Mallya: Kwa Hiyo nani kaleta Mahakamani
Shahidi: Ni Mimi
Mallya: Kwa hiyo tuiondoe Mahakamani?
Shahidi: Hapana
MALLYA: Soma Sasa
Shahidi: Mwisho Imeandikwa DOYI
Mallya: Kutoka Tarehe 05 August 2020 Mpaka Tarehe Uliyo letewa Kwenye Ofisi yako Kuna Interval ya Siku Ngapi
Shahidi: Kuna Interval Ya Siku 08
Mallya: Na wewe Ulifanyia Kazi Tarehe Ngapi
Shahidi: Mwezi Wa July 2021
Mallya: Tarehe Ngapi
Shahidi: Sikumbuki Tarehe
Mallya: Kutoka Muda Umeletewa Mpaka Unafanya Uchunguzi Kuna Muda gani
Shahidi: Angalau Miezi 10
Mallya: aliyekuletea hiyo Item "H" alikwambia alikamata katika Physical Condition gani
Shahidi: Hakuniambia
Mallya: Alikwambia alikuwa Amehifadhi Siku gani
Shahidi: Hakuniambia
Mallya: alikwambia Kwamba aliondoa au Kutumbukiza Physically Kitu gani
Shahidi: Hakuna Kitu kama hicho Unachosema, kuwa alitoa chochote, Utaratibu Wa Kutunza Kielelezo Unajulikana, Kwa Utaratibu Wa Polisi Kielelezo Umapo Ki Seize unapaswa Umantain Kilivyo
Mallya: aliyekuletea alikwambia alifuata Utaratibu au Haku fuata Utaratibu huo
Shahidi: Ni Askari Polisi ni Imani yangu alifuata
Mallya: Mheshimiwa Jaji naomba ajibu Swali Langu
Shahidi: Mheshimiwa Jaji swali linahitaji Maelezo,
Jaji: Nani sasa, Maelezo ya Wakili au Ya Kwako?
Shahidi: Mimi Naamini Kuwa Utaratibu ulifuatwa
Jaji: Swali lake Halipo Huko kama Utaratibu ulifuatwa au Lah Bali Je alikueleza
Shahidi: Mheshimiwa Jaji hakunieleza
Mallya: Ndiyo Jibu ndiyo Nilikuwa nayafuata
Mallya: Kwenye Kielelezo H Kuna Physical Damage inaonekana hapa, Kuna gaps, Je Macho yangu ya naona sawasawa
Shahidi: Condition Siwezi Kuzungumzia hapa
Mallya: Hilo Sijakuuliza, Nauliza Kuna Damage hapa Inaonekana, Je Kinachoonekana ni nini
Shahidi: Kinachoonekana ni Simu
Mallya: Siulizi simu hapa Mahakamani, usilete mahakamani michezo yako..
Mallya: Unachokiona ni Kitu gani
Shahidi: Ninachokiona ni Simu Mheshimiwa Jaji
Mallya: Ngoja Nichukue Simu F tulinganishe na H, Zote Umeleta Wewe, Swali langu hii yenye haya Ma gaps unahitaji?
Shahidi: Mhe Jaji Hizi ni simu Mbili tofauti, Siyo lazima zifanane..
Wakili wa Serikali: Mhe Jaji Wakili amebakia Muda Mrefu na Majibu yameshatolewa, Swali lake limeshajibiwa
Mallya: Mheshimiwa Jaji Swali langu halijajibiwa bado
Jaji: Muulize swali tena
Mallya: Kwenye Kielelezo H Kuna Ma' gaps, Je kitaalamu Unayaitaje?
Shahidi: Miye siwezi Kuongelea chochote
Mallya: Hii difference ya Kuwa hii ina button Kwenye simu na hii haina, unasemaje?
Shahidi: Mheshimiwa Jaji siwezi Kuzungumzia kuhusu tofauti
Mallya: Kwenye Riport yako Kwenye Kielelezo F Je aina Positive Results..?
Shahidi: Ndiyo Ilikuwa na Positive Results
Mallya: Kuna Simu Ulizo letewa ukakuta Hazina Positive Results Kama Ulivyoletewa kwenye Terms of reference
Shahidi: Ndiyo
Mallya: Kwa Mujibu wa Sheria Askari Polisi anaruhusiwa Kukamata simu.?
Shahidi: ndiyo Kwa Mujibu wa Sheria
Mallya: Kama Askari Polisi anataka Kujiridhisha Juu ya Kitu anachotafuta analeta Forensic?
Shahidi: Ndiyo
Mallya: Unafahamu Simu ni Personal Property ya Mtu?
Shahidi: Inaweza Kuwa Simu ya Ofisi
Mallya: Yapo Mazingira Mtu anaweza Kuwa na Simu Kama Mali yake Binafsi.?
Shahidi: Kama amenunua ni Mali yake Binafsi
Mallya: Je Yule ambaye amekamata kama Hajakuta Kitu anatakiwa kumrudishia Simu yake..?
Shahidi: Sifahamu
Mallya: Unafahamu Kwenye Simu ya Mtu Binafsi ambayo kanunua Kwa Pesa Yake, Inaweza Kuwa na Taarifa zake Binafsi?
Shahidi: Simu ya Mtu anaweza Kuweka Taarifa ambazo anahisi anaweza Kuhifadhi
Mallya: Kuna uwezekano Kuwa Mtu akahifadhi Taarifa au Nyaraka ya Utetezi kwenye Simu?
Shahidi: Sifahamu
Mallya: Taarifa Uliyompelekea huyo aliyekuomba Umfanyie Uchunguzi, Je akipokea Kwa Mkono au Kwa Email?
Shahidi akipokea Kwa Mkono
Mallya: Je alisoma hiyo Taarifa Yako ya Uchunguzi
Shahidi: Naamini alisoma
Mallya: Mheshimiwa Jaji naomba Kielelezo namba 23 Samahani
Mallya: Shahidi Interest yangu Katika Riport Yako ni Ukurasa Wa Sita Unapozumgumzia Kuhusu Kielelezo A, B, C, D
Shahidi: Vielelezo Tajwa A, B, C, D hazina Taarifa Zenye Maudhui
Mallya: Kwenye Hicho Kielelezo namba C ulikuta ni Cha Nani
Shahidi: Ni Cha Khalfani Bwire
Mallya: Kwa hiyo Katika simu ya Khalfani Bwire hukukuta Jambo Lolote?
Shahidi: Ndiyo
Mallya: Ulifanya Uchunguzi Wako Lini
Shahidi: July 2021
Mallya: Ulikuja Kutoa Ushahidi wako lini
Shahidi: Juzi January 2022
Mallya: Kuna Interval ya Muda gani kati ya Wewe Kufanyia Uchunguzi Mpaka Kutoa Ushahidi
Shahidi: Usio Pungia Miezi Mitano
Mallya: Hiyo Content ambayo ulikuta negative Results upo wapi
Shahidi: Sikuona Haja ya Kuweka Kwa sababu sikukuta Kitu
Mallya: Bwana Bwire alikuwa anataka Negative Results ambayo Ingekuja Mahakamani Kuonyesha Kuwa Hakuna Maswala ya Ugaidi
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Nilipewa Terms of Reference, Kwa Hiyo Kama Haipo siwezi Kutoa
Mallya: Shahidi Umesha wahi Kupima Malaria
Shahidi: Hilo swali Limeingiaje hapa
Mallya: Kwa Sababu Wewe ni Mtu wa Laboratory na Malaria inapimwa Laboratory?
Shahidi: Sioni likihusiana
Mallya: Kwa Sababu Wewe ni Mtu wa Laboratory na Malaria inapimwa Laboratory
Shahidi: Sioni likihusiana
Mallya: Lina husiana Kwa Sababu Malaria Ukipimwa Wakikuta Negative Results wanakupa Majibu Yako
Shahidi: Kuna Baadhi ya Simu Zina Taarifa zaidi ya GB 20 huwezi Ku Print zote
Mallya: Je ulitoa taarifa Kwamba hukukuta kwa sababu ni Kubwa
Shahidi: Kwa sababu ni Out of Context
Mallya: Ulishajibu Kuwa Hukuona Haja
Shahidi: Siku Jibu hivyo
Jaji: Hapo Ndipo Mr. Malya Unapotuchanganya, Ni wapi Tutaona Huku uliza
Mallya: Nilikuwa namkumbusha Majibu Yake
Jaji: Basi Kama Unaulizwa Swali Hakuna Haja ya Kuongea Yote hayo
Mallya: Shahidi Nilisikia Unasema Mnatumia Legitimate Software Ku Updates yenu, Je Ulizungumzia Mnapewaje
Shahidi: Hapana Sikuzungumzia
Mallya: Mheshimiwa Jaji Naomba Barua ya Airtel na Ya Tigo
Mallya: Nakuonyesha Kielelezo P15 na Interest yangu ni Mtu aliyepewa hii Barua
Shahidi: Barua hii Imeelekezwa Kwa Kamishina wa Uchunguzi wa Kisayansi
Mallya: wewe sasa hivi ni Inspector Wa Polisi, Je Mwaka 2021 uliwahi Kuwa Kamishina wa Polisi
Shahidi: Mimi Sijawahi Kuwa Kamishina
Mallya: Kwenye hii Barua wapi Umekuwa Adressed.?
Shahidi: imekuwa Adressed Kwa Kamishina wa Uchunguzi Wa Kisayansi
Mallya: Naomba na ya Tigo
Mallya: Umesema Ofisini Kwenu Mkubwa wa Command ni Nani
Shahidi: Anaitwa CP SHABANI
Mallya: Kuna Departments Ngapi katika Forensic Beaural
Shahidi: Tuna Units Mbalimbali Ka Cyber crime ambayo Natoka Mimi, Toxicology, DNA, Pathology, Fingerprints, Ballistic, Documents, Crime scenes
Mallya: Kwa Mahesabu yangu ni Nane, Kwa Kiswahili zinaitwaje?
Shahidi: Kamisheni ya Uchunguzi Wa Kisayansi
Mallya: Zote hizi Ukubwa Wake Kwa Maana ya Commanding Ofisa wake ni CP SHABANI.?
Shahidi: Ndiyo
Mallya: Naomba uniseme Adress ambayo Tigo Wameitumia
Shahidi: UCHUNGUZI WA KISAYANSI
S. L. P 9094
DAR ES SALAAM
TANZANIA
Malya: naomba Mwenzangu Wakili Faraji Mangula aendelee
Mangula: Shahidi Pole na kuuguq Kichwa Siku ya Kwanza
Mangula: Ni sahihi ulisema Kuwa umesema Advanced Diploma ya Computer Science
Shahidi: Ndiyo
Mangula: Wakati Unaongozwa na Wakili Wa Serikali, Ulielezea Kuwa Baada ya Masomo Ulipata Award gani
Shahidi: Nilisema nilikuwa napata Certificate
Mangula: Wakati Unafanya Uchunguzi Ulisema Ulikuwa una cheo Gani
Shahidi: Mkaguzi Msaidizi
Mangula: kwa sasa Una cheo Gani
Shahidi: Inspector
Mangula: Wakati Mawakili Wanakuongoza Hapa Mahakamani, Je ulisema Kuwa Ulipata Mafunzo gani Mpaka Ukapanda Cheo
Shahidi: Unakuwa Awarded siyo Kwa Kwenda Kozi
Mangula: Cheo chako umekipata wakati awamu ya 5 au ya 6?
Shahidi: Sijaelewa logic ya swali lako
Jaji: Swali la nani alikuwa Rais, unataka kujenga nini
Mangula: Mhe Jaji kuna premise nataka kutengeneza
Jaji: hiyo premises ndiyo utengeneze kupitia Rais aliye madarakani?
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Mahakama Ilisha wahi Kutoa Maelekezo Juu ya Kutaja Majina ya Watu ambao Hawapo Mahakamani
Jaji: nilitoa Maelezo Kuhusiana na Kutaja Majina ya Watu ambao Hawapo Mahakamani, lakini pia nataka Kujiuliza Kuhusu Kuuliza Maswali ya Rais wa Awamu ya Tano au Lah
Sasa Unachotaka hapo ni nini.?
Mangula: Ngoja Niulize Kwa Namna Nyingine
Mangula Naomba Kielelezo Namba 23,Shahidi Naomba Usome Kwa Sauti Kichwa Cha Habari cha Hicho Kielelezo
Shahidi Kamisheni ya Uchunguzi Wa Kisayansi, ya Makosa ya Kimtandao Chini ya Sheria ya Mtandao namba 14
Mangula: Je ni kifungu Kipi ambacho umekitumia?
Shahidi: Mimi siyo Mtaalamu wa sheria, Ila nilifanya kwa sheria ya mtandao
Mangula: Mwambie Mheshimiwa Jaji sasa ni kifungu kipi ulitumia
Shahidi: Mheshimiwa sikutumia kifungu
Mangula: Nikikupa hiyo sheria, unaweza Kunitajia kifungu ulichotumia
Shahidi: Mimi sina UFAHAMU WA MAMBO YA KISHERIA
Mangula: Kwa hiyo nyie Ofisini kwenye mnafanya bila ufahamu wa Sheria
Shahidi: Nishasema mheshimiwa SINA UFAHAMU WA SHERIA
Mangula: Fungua sasa Ndani, Ieleze Mahakama ni Kielelezo Kipi Ulichofanyia Kazi Ukagundua Kuna Makosa ya Ugaidi Uliyaona, Ni wapi Umeandika hivyo..
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Jibu linahitaji Maelezo, Mimi nililetewa tu Kufanya Uchunguzi.
Mangula: Kwa hiyo wewe hujui Kuwa Kuna Ugaidi au Hakuna Ugaidi kwenye hicho Kielelezo?
Shahidi: Sahihi
Mangula: bado unataka Mahakama ichukue Kielelezo Hiki Kama Kielelezo Cha Umuhimu?
Shahidi: Nimesema ni Kazi ya Mpelelezi
Mangula: Umesomeshwa na Serikali?
Shahidi: Ni Sahihi
Mangula: Na Umelipiwa Masomo Kwa Kodi ya Watanzania
Shahidi: Sahihi
Mangula: wewe Umesomea Udukuzi
Shahidi: Nimesomea Ethical Hacking
Mangula: Ulisema Mwanzo Kuwa Vifaa Vyako Vya Uchunguzi Vina Uadilifu
Shahidi: Ndiyo
Mangula: Na Kila Unachotaka Kwenye hiyo Simu, Mambo wako Unakuonyesha
Shahidi: Yes
Mangula: Kama Kuna video inakuomyesha.?
Shahidi: Inaonyesha Vile Vitu ambavyo Inaweza Ku Extract Kwenye Kielelezo
Mangula: Inakupa kila Kitu ambacho Kipo Kwenye simu?
Shahidi: Kimyaaaaaaaaaa
Mangula: Mheshimiwa Jaji Naomba Extraction Report
Mangula: Katika huo Mambo unaosema Ulikuwa upo Sawa Kukupa Kila Kitu, Ukisoma Kielelezo Cha Kwanza hicho namba 25
Mwambie Mheshimiwa Jaji kwenye hicho Kifaa Ulichofanyia Uchunguzi Kulikuwa na Content gani
Shahidi: Kukikuwa na Proxy Ya Chat ya WhatsApp
Mangula: Kulikuwa na Picha Kwa Maana Images
Shahidi: Picha Hakuna, Zipo Profile Picture
Mangula: ambazo ni za nani
Shahidi: Sijui za nani
Mangula: Katika hivyo Vielelezo ambavyo Vimepokelewa Mahakamani, Palikuwa na Mazungmzo ya Simu kati ya Watuhumiwa
Shahidi: Hakuna ila kwenye Kielelezo namba 26 zipo
Mangula: apewe Namba 26,,tuchagulie Mazungmzo Marefu Kuliko yote
Shahidi: Kuna Mazungmzo ya Dakika 9
Mangula: Bila Shaka Ndipo walikuwa wanapanga Ugaidi, Haya Mwambie Mheshimiwa Jaji Walizungumza nini hawa Watuhumiwa
Shahidi: Kuna Call Logs tu
Mangula: zile Sauti zipo wapi
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Kama Mahakama Yako itaniruhusu Kwa sababu za Ki Usalama nisijibu Hilo swali
Mangula: Swali langu ni Juu ya Watuhumiwa Ukiwa Mchunguzi wa Hizo Simu, Nauliza Mazungmzo ya Watuhumiwa Wale Wanne, Narudia Swali Sauti zao Watuhumiwa Zipo wapi ndugu shahidi?
Shahidi: Sababu za Kiusalama huwezi Kuzungumzia suala la Sauti
Mangula: Shahidi Nimesikia unasema Kuwa huwezi Kuzungumzia Kwa sababu ya Kiusalama, Je Sheria gani inakuzuia Usizungumzie hilo Suala?
Shahidi: Sijataja Sheria
Mangula: haya Sasa Mwambie Mheshimiwa Jaji, Sauti za Watuhumiwa Zipo wapi????
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Hazikuwa zinahitajika katika Terms Of Reference
Mangula: Ni sahihi nikisema Kuwa Katika Extraction Uliyo fanya, Kuna Vitu Uliviondoa sababu hazikuhitajika?
Shahidi: Swali linahitaji Maelezo, Mwanzoni Nilisema Kuwa Tunafanya Kwa Hatua tatu, Aquisation, Analysis na Extraction
Mangula: Kwa hiyo ni sahihi Kuwa Kwenye Mtambo Kuna Baadhi Ya Taarifa Hukutoa Sababu Hazikuhitajika?
Shahidi Wa Jamhuri: Kimya
Mangula: Kwa Mujibu Wa Kielelezo Namba 22, Mwambie Mheshimiwa Jaji Vitu gani Viliombwa Kwa ajili ya kufanyia Uchunguzi
Shahidi: Kwa Mujibu wa Barua yako Yenye Reference........
Mangula: Hoja ya Barua Ilikuwa unahitaji Ufanyie nini
Shahidi: Pamoja na Taarifa Hii Nakuletea Uchunguzi Niliofanya .... Mimi Inspector Innocent Ndowo
Mangula: Ni wapi Walikutaka Wewe Usitoe Sauti za Watuhumiwa?
Shahidi: Mimi nilifuata Terms of reference
Mangula: Nikisema Kuwa Wewe Inspector Ndowo na Viongozi Wako wa Polisi Kwa Makusudi Mliamua kuficha Baadhi ya Taarifa katika
Kesi hii kwa Maslahi yenu Itakuwa sahihi au siyo Sahihi Ukizingatia Kuna Taarifa Hazipo hapa?
Shahidi: Siyo Sahihi, Hatufanyi Kazi kwa interest zetu
Mangula: Fungua Kielelezo H, na Umwambie Mheshimiwa Jaji IMEI namba ya hicho Kielelezo Ni namba Ngapi Kwa Mujibu wa PF 145
Shahidi: Kwa Mujibu wa PF Hakuna IMEI namba
Mangula: Soma huo Mstari Wa Pili Kwa Sauti Umeandikwaje
Shahidi: Simu TECNO IMEI imefutika
Mangula: Wakati Unaongozwa Kwenye Ushahidi Ulisema nani aliyefuta hizo IMEI namba
Shahidi: Si Kuulizwa hilo swali
Mangula: Wewe unafahamu aliye futa hiyo IMEI namba
Shahidi: Simfahamu
Mangula: Katika hicho Kikaratasi Umeeleza IMEI namba Imefutwa Wapi.?
Shahidi: Sikusema
Mangula: ukiacha Kielelezo namba 35 ambacho kimechezewa na Watu wasiojulikana , Ni Kielelezo Kipi Kingine Mlichochezea
Shahidi: Hakuna Kielelezo Kilichochezewa
Mangula: Fungua Kielelezo namba 23, Mheshimiwa Jaji Namuonyesha Kielelezo namba 23
Mangula: Nataka Majibu ya Riport Yako ya Uchunguzi
Mangula: Mwambie Mheshimiwa Jaji ni wapi Katika Report Yako ya Uchunguzi Umeandika IMEI namba Imefutika
Shahidi: Hakuna Mahala Nilipo andika
Mangula: Nilisikia Unasema Ulichukua simu Ukiweka Katika Mtambo Wa Uchunguzi, Ule Mtambo utakuonyesha Kuwa Simu ni Original au Feki
Shahidi: Mtambo hauonyeshi Kuwa Simu ni Feki au Original
Mangula: Kitu gani Kinaonyesha kuwa Simu ni Feki au Original
Shahidi: Kitu nilichosema Kuna Kama zile Simu za Kichina, Mtambo una Operate kwa OS
Mangula: Kwa hiyo nini Kina onyesha ni FEKI Au ORIGINAL?
Shahidi: Nilichosema naomba Unisikie Vizuri, Mtambo una Option ya Kufanya Kazi hata Kwa kutumia Chip
Mangula: Mheshimiwa Jaji naomba NIISHIE Hapo
Shahidi: Samahani Mheshimiwa Jaji NAOMBA KWENDA WASHROOM (CHOONI)....
Shahidi anatoka na kuelekea katika vyoo vya nje..
Mahakama Ipo kimya inasubiri arejee kizimbani.
Shahidi amerejea kizimbani kutokea kwa fasii ya chooni.
Kihwelo: Shahidi Nilisikia Unazungumzia Kuhusu Celebrite Physical analyser Je ni Software Au.?
Shahidi: Ni software
Kiwhelo: nani alifanya Development ya Software
Shahidi: Celebrite Wenyewe
Kiwhelo: Nilisikia Umesomea Kuhusu Penetration Test
Shahidi: Ndiyo
Kihwelo: Je Penetration Testing, Ni sawa na Fazzing
Shahidi: Sifahamu
Kiwhelo: Je Wakati Unafundishwa Kuhusu Penetration Testing, Walikufundisha Kuhusu Mashambulizi ya Hali ya Juu ya Kimtandao (High Tech Cyber Attack)
Shahidi: Sijafundishwa hiyo
Kiwhelo: kwakuwa Ujafundisshwa kuhusu Mashambulizi ya Hali ya Juu ya Kimtandao, Ni sahihi Celebrite Ingeweza Kuingiliwa
Shahidi: Haiwezi Kuingiliwa
Kiwhelo: pale Ofisini kwenu ni nani Network Provider
shahidi: ni TTCL
Kiwhelo: Ni sahihi Kuwa Network Services Provider anaweza Kuingilia Data Zako
Shahidi: Hawezi
Kiwhelo: Nyinyi Kama Jeshi la Polisi Mnatumia Nini Kujilinda na Mashambulizi ya Hali ya Juu ya Kimtandao
Shahidi: Naomba nisijibu sababu za Kimtandao
Kiwhelo: Nilisikia Kuwa unazungumzia kuhusu DECORDING
Shahidi: Ndiyo
Kiwhelo: Shahidi Pegasus Technology ni Moja ya Technology mnayotumia?
Shahidi: Mheshimiwa Jaji naomba Nisijibu Sababu za Kiusalama
Kiwhelo: Mheshimiwa Jaji naomba anijibu sababu Baadae Nitataka kujua Intergrity ya Technology Wanayotumia
Jaji: Shahidi ame raise suala la Security, Au mnasemaje Upande wa Serikali?
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shahidi amesha Sema kuwa awezi Kusema Sababu za Kiusalama, Sisi tunaona Sababu hizo ni Valid, lakini siyo kutulazimisha
Kiwhelo: Mheshimiwa Jaji Shahidi Wakati Shahidi anataka Ushahidi Wake Jana Alitaja Hapa Kuhusu Microsoft na Celebrite, alitaja hizo Mbili Maana yake ameshataja
Jaji: Sasa Shahidi Kaja na suala la Security kwa hii Uliyotaja
Kiwhelo: Basi Ngoja Niendelee na Kingine, Shahidi Wakati Una Extract Data Kwenye Celebrite Ulihifadhi Kwenye nini
Shahidi: Nili hifadhi Kwenye Computer
Kiwhelo: Vipi kuhusiana na Usalama wa computer yenyewe
Shahidi: Kimya
Kiwhelo: Uliandika Taarifa ya Simu Nne..?
Shahidi: Simu zote Nane
Kiwhelo: Siku ya Tarehe 09 July 2020 Uliingia Saa ngapi
Shahidi: Niliingia Saa 1 na Nusu Asubuhi
Kiwhelo: na Ulitoka Muda gani
Shahidi: Unatoka Muda wowote, hupangiwi kwa Sababu tunafanya Kazi Masaa 24
Kiwhelo: Mwambie Mheshimiwa Jaji ulikuwa unaandika summary kisha unafuata extraction
Shahidi: Siyo sahihi
Kiwhelo: Soma hapo kwenye report yako
Shahidi: Inaanza na summary kisha extraction
Kiwhelo: Kwa hiyo imeanza na summary
Shahidi: Ni sawa, imeanza na Summary
Kiwhelo: Tuzungumze Kidogo Kuhusu Kampuni ya CELEBRITE Ukasema Kuwa Ni Moja ya Kampuni inayodevelop Software
Je unafahamu Celebrite Ni Kampuni Ya Kijasusi wa Kidigitali ya Nchi Israel
Shahidi: Hapana Sifahamu
Kiwhelo: Je Unafahamu Kuwa Hiyo Kampuni inahusishwa na Unyanyasaji wa Waandishi Wa Habari na Wana Harakati Duniani
Shahidi: Sifahamu
Kiwhelo: na Je Unafahamu Kuwa Celebrite Mashine Inaweza Kuingiliwa.?
Shahidi: Haiwezi Kuingiliwa
Kiwhelo: Je Nitakuwa Sahihi Nikisema Kuwa Celebrite Mashine Inaweza Kuingiliwa na Kubadili Taarifa Zilizotamgukia na zilizopo
Shahidi: Hapana Siyo Sahihi
Kiwhelo: Mheshimiwa Jaji naomba nimkabidhi Shahidi Nyaraka asome Kuhusiana na Celebrite
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji naomba wakili azuiwe Kusoma hiyo Nyaraka
Kiwhelo: Mheshimiwa Jaji Kwa ajili ya Muda nitaomba Kuachana na hiyo
Naomba nipatiwe P23 na P35
Naomba Sasa Nimkabidhi Shahidi
Kiwhelo: naomba Unisomee description hapo Juu
Shahidi: Imeanza Neno Station, Date 05 August 2020, CF imeandikwa. Simu Imeandikwa Tecno IMEI imefutika, Ilipatikana Maungoni (Mwilini)
Kiwhelo: Mwambie Mheshimiwa Jaji Wewe Umetoa wapi Namba kwa Mujibu wa IMEI namba ambayo Imefutika
Shahidi: Inawezekana Physically Isionekane ila akuna Namna unaweza Kuona, au Kwenye Barua
Kiwhelo: hiyo Barua Ipo Hapa Mahakamani
Shahidi: Haipo Mahakamani
Kiwhelo: Ulizungumzia Kuwa IMEI namba ulitoa Kwenye Barua.?
Shahidi: Nili zungumza Kwa Ujumla
Adv. @FrederickWakili
: Mheshimiwa Jaji nimeishia hapo na naomba kurudisha vielelezo
Anasimama Wakili Msomi Peter Kibatala.
Kibatala: Inspector Ndowo Mambo Vipi
Shahidi: Salama
Kibatala: Siku ya Kwanza Uliomba Kusitisha Ushahidi Kwa sababu uliumwa
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: na Ulipitia Hospitali.?
Shahidi: Nilienda Ofisini, nikarudisha Vielelezo
Kibatala: Kwa hiyo Baada ya Kutoka Hapa Hukwenda Hospitali Moja kwa Moja
Shahidi: Si kwenda Hospitali Moja Kwa Moja
Kibatala: Ulisema Kichwa Kilikuwa Kinafanya nini Vile
Shahidi: Kilikuwa Kinaniuma Kadri nilivyokuwa natoa Ushahidi
Kibatala: Na Kwa hiyo Ofisi Yako Ilikuwa wapi Vile
Shahidi: Posta
Kibatala: na Baada ya Hapo Ukaenda Hospitali Wapi
Shahidi: Kilwa Road
Kibatala: Twende Kwingine, Shahidi Je Uliwahi Kufanyiwa Training na Watu wa CELEBRITE
Shahidi: Yes Wawakilishi Wao
Kibatala: Unakumbuka Kozi Mbalimbali Ulizo taja Siku ya Kwanza Ukiwa unataja Mafunzo mbalimbali uliyopata.
Kibatala: Je kwa Kumbukumbu yako Ulitaja Mafunzo Yaliyo endeshwa na Celebrite au Wawakilishi wao
Shahidi: Jibu Lina hitaji Maelezo, Nilitaja Kozi Mbalimbali na Baadhi walitoka Nairobi.
Kibatala: Maelezo Ambayo Umeyatoa, Kuna Mahali Umesema Kuna watu Walitoka Nairobi Kuja Kuku train Kuhusu Celebrite.%?
Shahidi: Nilipata Kozi Mbalimbali, sikudadavua
Jaji: Swali Lake Ulisema Kuwa Kuna Wataalamu Kutoka Nairobi Kuja Kuku Fundisha Kuhusiana na Celebrite.
Shahidi: Sikutaja Mheshimiwa
Kibatala: Katika Maelezo yako, Ulisema Ulienda Training Mahala Mbalimbali, Je Ulisema Kuwa ulienda Israeli.?
Shahidi: Israel Sikutaja
Kibatala: Unafahamu Kuwa Makao Makuu ya CELEBRITE Yapo Nchini Israel
Shahidi: Nafahamu Yapo Israel
Kibatala: Je Unafahamu Kuwa Israel Kwa Wivu na Technology yao Hawaja Outsource kwa Mtu Kuhusiana na Training wala Technology?
Shahidi: Hapana Sifahamu
Kibatala: Unafahamu Kuwa Nairobi Hakuna Wakala Wa CELEBRITE?
Shahidi: Hapana Sifahamu
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Wakili anataka Misamiati Migumu ya Technology shahidi anaweza asijue ni nini Kinaongelewa.
Kibatala: Mheshimiwa Jaji hakuna hoja hapo, Mbona shahidi anajibu, Eti ndugu shahidi, ni kweli huelewi Kitu?
Shahidi: Ndiyo sielewi
Kibatala Kwanini sasa ulikuwa unajibu?
Shahidi wa Jamhuri: Kimya
Kibatala: unafahamu sababu ya Wivu Wa Technology, Israel Hawana Mwakilishi wa CELEBRITE Duniani katika Nchi yoyote
Shahidi: Yupo Nairobi
Kibatala: Anaitwa Nani
Shahidi: SAM
Kibatala: Unafahamu Kuwa Technology ya Pegasus ni Technology ya Israel Pia
Shahidi: Hapana Sifahamu
Kibatala: una Cornfirm kwetu bila kwenda kwenye details kuwa Jeshi la Polisi mnatumia pegasus?
Shahidi: Naomba nisijibu hilo swali kwa sababu za Kiusalama
Kibatala: Baadae Nitakuja hapo na nitakutaka kwa lazima ujibu hilo swali, kwa sasa ngoja niende kwingine.
Kibatala: Ni sahihi Kwamba Celebrite unatumia Software Mbili UFET na physical analyser?
Shahidi: Ndiyo ni baadhi ya product za kwake
Kibatala: UFEN kazi yake I naingia katika Simu au Computer kisha Inatengeneza Back up
Shahidi: Inategemea na level ya Extraction Unayofanya
Kibatala: Ni sahihi Kuwa katika kazi Uliyo kuwa unafanya unaunganisha Simu Kwa Kutumia Cable kisha Celebrite inachofanya Kwa kutumia UFEN Kutengeneza Back up
Shahidi: Sahihi
Kibatala: Ni sahihi Kuwa physical analyser Inafanya kazi Kwa Ku arrange Taarifa In Chronological Order
Shahidi: Sahihi ila inategemea Level
Kibatala: Jaji akimaliza Ku Rekodi Mwambie Kuwa Kazi ya Physical Analyser Kama Software Ni kuyapanga Mafaili Kwa Mchunguzi ili Ku Make Sense na hiyo Process inaitwa PASSING
Shahidi: Naomba nijibu kwa Maelezo Kuwa Physical analyser, Inafanya kazi 3 ila Kwa Ujumla Ndiyo PASSING
Kibatala: Katika Report Yako Kuna Item Ya PASSING
Shahidi: Kama Software Include hizo Taarifa zake, Basi itaonekana
Kibatala: Basically Physical analyser haina Jipya Zaidi ya kupanga Mafaili
Shahidi: Hapana Physical analyser ni zaidi ya hapo
Kibatala: Tofauti Yake nini, Kama Unaingia Kwenye simu yangu ya Telegram na kisha unapamga Mafaili
Shahidi: Ni zaidi ya hapo kwa sababu ina Uwezo Kuwa Kufanya Back Up Kwa Vitu Vilivyofutwa
Kibatala: Physical ANALYSER inaweza za KubadiliSha Chochote
Shahidi: Hapana
Kibatala Physical analyser Ina extract
Shahidi: Hapana
Kibatala: unapokuwa na Kifaa kama Simu Kutoka Kwa DCI Nini Kilianza Kati ya kutumia UFEN Kufanya Extraction au Physical Analyser Kupamga kazi yako
Shahidi: Nilianza Kutumia UFEN
Kibatala: Wewe Umeletewa 8 applications phones, Je zile Data zilizokuwa katika Hizo phones, Je ni Software gani zilikuwezesha Kuingia Kwenye simu na Kusoma Meseji
Shahidi: Ni Physical analyser
Kibatala: Sasa Mbona Mwanzo Ulikataa, Wacha sasa Ikae Hivyo
Kibatala: Jana Ulizungumzia Kuwa huwezi Ku impose Vitu Vyako Kutoka Nje,
Shahidi: Ndiyo WRITE BLOCK
Kibatala: Unafahamu Kuhusu Software ya CELEBRITE Kuhusu Soft Write Block?
Shahidi: Hiyo sifahamu kwa kweli
Kibatala: Ni kweli au siyo Kweli Kuwa Celebrite Soft Write Block Ndiyo inayomzuia Mtu Kuingilia Mashine ya CELEBRITE
Shahidi: Hiyo sifahamu
Shahidi: Na Bado Ukitaka Kutuaminisha Kuwa Mashine zenu zina Intergrity?
Shahidi: Ndiyo Sijataja
Kibatala: Je ulitaja Jana software zaidi ya Mbili
Shahidi: Sikutaja
Kibatala: Ulizungumzia Forensic Cables,
Shahidi: Sawasawa
Kibatala: Ni Cables kama za USB tuh au Kuna tofauti
Shahidi: Ni Tofauti Kabisa
Kibatala: Inasifa gani Kitaalamu ambayo ni zaidi za USB
Shahidi: Ni Cable Zenye namba pembeni
Kibatala: Je Hapa Umetaja Namba za Cables
Shahidi: Hapana
Kibatala: Hizi Simu ambazo wewe Ulifanyia Extraction, Makers ni Tofauti
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Jana Nilisikia Unasema wewe siyo Mpelelezi ni Mchunguzi?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Ni wapi au Kwenye Instrument ipi Inatofautisha Mpelelezi na Mchunguzi?
Shahidi: Ukija Ofisini Utajua
Kibatala: Mpaka Nije Ofisini kwenu, Vipi PGO Inatambua?
Shahidi: Sijui
Kibatala: PGO ya 8 Sehemu Ndogo ya 4 inasema Kuwa Ofisi Ya DCI inagawanywa katika Divisheni Nne, Mmoja wapo ndiyo hiyo ya Forensic Beaural
Shahidi: Sijui ni PGO gani
Kibatala: zote mbili
Shahidi: Mimi ninachojua Forensic Beaural ni Imtependent Beaural
Kibatala: na Ndiyo Maana ni Kuuliza Unapata wapi Mgawanyo huo
Shahidi: Ukienda Ofisini Makao Makuu ya Jeshi la Polisi au Dodoma
Kibatala: Mhe Jaji naomba Kielelezo 6,7,
Kibatala: angalia Maneno ya DCI Katika hiyo Barua. Unafahamu Kirefu chake?
Shahidi: nimesahau kidogo
Kibatala: Mimi nikikwambia kwamba kirefu cha hayo maneno uliyoandika wewe kwenye barua yako ni DIRECTOR OF CRIMINAL INVESTIGATION?
Shahidi: Sijui mpaka Nipate Mwongozo Wa Wakubwa zangu
Kibatala: Juu pia maneno ya DFSI kuwa ni DIRECTORATE OF FORENSIC SCIENCE INVESTIGATION?
Shahidi: Sifahamu mpaka Nikumbushwe na wakubwa zangu
Kibatala: Na Bado wewe Unasema ni inspector wa Jeshi la polisi
Shahidi: Ndiyo
Kibatala Mheshimiwa Jaji muda wetu wa kupumzika umefika, labda nipate mawazo kutoka kwa wenzetu nina maswali mengi bado
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Tu' break dakika 45
Wakili Peter Kibatala Saa Saba na Dakika 45
Jaji: Tuna break kwa dakika 45 tutarudi saa saba na dakika 45
Nimesoma na sioni nilikokosea- swali langu Kibatala ameshinda kesi ngapi?
Shahidi anajibu swali halafu anasema halielewi swali alilojibu!Salaam Wakuu,
Leo tarehe 10/01/2022 kesi ya Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe inaendelea.
Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.
=======
Kufahamu ilipoishia, soma hapa:Yaliyojiri mahakamani kwenye Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Kesi imeahirishwa hadi 19/01/2022
Jaji ameingia, kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa.
Jaji: Shahidi Nakukumbusha Upo Chini ya Kiapo Bado na Wakili wa Mshtakiwa Namba Mbili Ilikuwa Unaendelea, Karibu
Mallya: Mheshimiwa Jaji naomba nikumbushwe niliishia wapi
Jaji: Uliishia Wakati anakusomea Kielelezo H
Mallya: Shahidi tusomee hii ni Tarehe
Shahidi: Imeandikwa 05 August 2020
Mallya: Kuna Entry imeandikwa Owner of Article, Kwenye PF Je imeandikwa Jina gani?
Shahidi: Nashindwa Kusemea Sana Mheshimiwa Jaji sababu Siyo Mimi Niliyeandaa
Jaji: Hujaambiwa Uisemee Umeambiwa Usome
Shahidi: Imeandikwa Mohammed Abdallah Ling'wenya.. Lakini sijaandaa mimi
Mallya: Kwa Hiyo nani kaleta Mahakamani
Shahidi: Ni Mimi
Mallya: Kwa hiyo tuiondoe Mahakamani?
Shahidi: Hapana
MALLYA: Soma Sasa
Shahidi: Mwisho Imeandikwa DOYI
Mallya: Kutoka Tarehe 05 August 2020 Mpaka Tarehe Uliyo letewa Kwenye Ofisi yako Kuna Interval ya Siku Ngapi
Shahidi: Kuna Interval Ya Siku 08
Mallya: Na wewe Ulifanyia Kazi Tarehe Ngapi
Shahidi: Mwezi Wa July 2021
Mallya: Tarehe Ngapi
Shahidi: Sikumbuki Tarehe
Mallya: Kutoka Muda Umeletewa Mpaka Unafanya Uchunguzi Kuna Muda gani
Shahidi: Angalau Miezi 10
Mallya: aliyekuletea hiyo Item "H" alikwambia alikamata katika Physical Condition gani
Shahidi: Hakuniambia
Mallya: Alikwambia alikuwa Amehifadhi Siku gani
Shahidi: Hakuniambia
Mallya: alikwambia Kwamba aliondoa au Kutumbukiza Physically Kitu gani
Shahidi: Hakuna Kitu kama hicho Unachosema, kuwa alitoa chochote, Utaratibu Wa Kutunza Kielelezo Unajulikana, Kwa Utaratibu Wa Polisi Kielelezo Umapo Ki Seize unapaswa Umantain Kilivyo
Mallya: aliyekuletea alikwambia alifuata Utaratibu au Haku fuata Utaratibu huo
Shahidi: Ni Askari Polisi ni Imani yangu alifuata
Mallya: Mheshimiwa Jaji naomba ajibu Swali Langu
Shahidi: Mheshimiwa Jaji swali linahitaji Maelezo,
Jaji: Nani sasa, Maelezo ya Wakili au Ya Kwako?
Shahidi: Mimi Naamini Kuwa Utaratibu ulifuatwa
Jaji: Swali lake Halipo Huko kama Utaratibu ulifuatwa au Lah Bali Je alikueleza
Shahidi: Mheshimiwa Jaji hakunieleza
Mallya: Ndiyo Jibu ndiyo Nilikuwa nayafuata
Mallya: Kwenye Kielelezo H Kuna Physical Damage inaonekana hapa, Kuna gaps, Je Macho yangu ya naona sawasawa
Shahidi: Condition Siwezi Kuzungumzia hapa
Mallya: Hilo Sijakuuliza, Nauliza Kuna Damage hapa Inaonekana, Je Kinachoonekana ni nini
Shahidi: Kinachoonekana ni Simu
Mallya: Siulizi simu hapa Mahakamani, usilete mahakamani michezo yako..
Mallya: Unachokiona ni Kitu gani
Shahidi: Ninachokiona ni Simu Mheshimiwa Jaji
Mallya: Ngoja Nichukue Simu F tulinganishe na H, Zote Umeleta Wewe, Swali langu hii yenye haya Ma gaps unahitaji?
Shahidi: Mhe Jaji Hizi ni simu Mbili tofauti, Siyo lazima zifanane..
Wakili wa Serikali: Mhe Jaji Wakili amebakia Muda Mrefu na Majibu yameshatolewa, Swali lake limeshajibiwa
Mallya: Mheshimiwa Jaji Swali langu halijajibiwa bado
Jaji: Muulize swali tena
Mallya: Kwenye Kielelezo H Kuna Ma' gaps, Je kitaalamu Unayaitaje?
Shahidi: Miye siwezi Kuongelea chochote
Mallya: Hii difference ya Kuwa hii ina button Kwenye simu na hii haina, unasemaje?
Shahidi: Mheshimiwa Jaji siwezi Kuzungumzia kuhusu tofauti
Mallya: Kwenye Riport yako Kwenye Kielelezo F Je aina Positive Results..?
Shahidi: Ndiyo Ilikuwa na Positive Results
Mallya: Kuna Simu Ulizo letewa ukakuta Hazina Positive Results Kama Ulivyoletewa kwenye Terms of reference
Shahidi: Ndiyo
Mallya: Kwa Mujibu wa Sheria Askari Polisi anaruhusiwa Kukamata simu.?
Shahidi: ndiyo Kwa Mujibu wa Sheria
Mallya: Kama Askari Polisi anataka Kujiridhisha Juu ya Kitu anachotafuta analeta Forensic?
Shahidi: Ndiyo
Mallya: Unafahamu Simu ni Personal Property ya Mtu?
Shahidi: Inaweza Kuwa Simu ya Ofisi
Mallya: Yapo Mazingira Mtu anaweza Kuwa na Simu Kama Mali yake Binafsi.?
Shahidi: Kama amenunua ni Mali yake Binafsi
Mallya: Je Yule ambaye amekamata kama Hajakuta Kitu anatakiwa kumrudishia Simu yake..?
Shahidi: Sifahamu
Mallya: Unafahamu Kwenye Simu ya Mtu Binafsi ambayo kanunua Kwa Pesa Yake, Inaweza Kuwa na Taarifa zake Binafsi?
Shahidi: Simu ya Mtu anaweza Kuweka Taarifa ambazo anahisi anaweza Kuhifadhi
Mallya: Kuna uwezekano Kuwa Mtu akahifadhi Taarifa au Nyaraka ya Utetezi kwenye Simu?
Shahidi: Sifahamu
Mallya: Taarifa Uliyompelekea huyo aliyekuomba Umfanyie Uchunguzi, Je akipokea Kwa Mkono au Kwa Email?
Shahidi akipokea Kwa Mkono
Mallya: Je alisoma hiyo Taarifa Yako ya Uchunguzi
Shahidi: Naamini alisoma
Mallya: Mheshimiwa Jaji naomba Kielelezo namba 23 Samahani
Mallya: Shahidi Interest yangu Katika Riport Yako ni Ukurasa Wa Sita Unapozumgumzia Kuhusu Kielelezo A, B, C, D
Shahidi: Vielelezo Tajwa A, B, C, D hazina Taarifa Zenye Maudhui
Mallya: Kwenye Hicho Kielelezo namba C ulikuta ni Cha Nani
Shahidi: Ni Cha Khalfani Bwire
Mallya: Kwa hiyo Katika simu ya Khalfani Bwire hukukuta Jambo Lolote?
Shahidi: Ndiyo
Mallya: Ulifanya Uchunguzi Wako Lini
Shahidi: July 2021
Mallya: Ulikuja Kutoa Ushahidi wako lini
Shahidi: Juzi January 2022
Mallya: Kuna Interval ya Muda gani kati ya Wewe Kufanyia Uchunguzi Mpaka Kutoa Ushahidi
Shahidi: Usio Pungia Miezi Mitano
Mallya: Hiyo Content ambayo ulikuta negative Results upo wapi
Shahidi: Sikuona Haja ya Kuweka Kwa sababu sikukuta Kitu
Mallya: Bwana Bwire alikuwa anataka Negative Results ambayo Ingekuja Mahakamani Kuonyesha Kuwa Hakuna Maswala ya Ugaidi
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Nilipewa Terms of Reference, Kwa Hiyo Kama Haipo siwezi Kutoa
Mallya: Shahidi Umesha wahi Kupima Malaria
Shahidi: Hilo swali Limeingiaje hapa
Mallya: Kwa Sababu Wewe ni Mtu wa Laboratory na Malaria inapimwa Laboratory?
Shahidi: Sioni likihusiana
Mallya: Kwa Sababu Wewe ni Mtu wa Laboratory na Malaria inapimwa Laboratory
Shahidi: Sioni likihusiana
Mallya: Lina husiana Kwa Sababu Malaria Ukipimwa Wakikuta Negative Results wanakupa Majibu Yako
Shahidi: Kuna Baadhi ya Simu Zina Taarifa zaidi ya GB 20 huwezi Ku Print zote
Mallya: Je ulitoa taarifa Kwamba hukukuta kwa sababu ni Kubwa
Shahidi: Kwa sababu ni Out of Context
Mallya: Ulishajibu Kuwa Hukuona Haja
Shahidi: Siku Jibu hivyo
Jaji: Hapo Ndipo Mr. Malya Unapotuchanganya, Ni wapi Tutaona Huku uliza
Mallya: Nilikuwa namkumbusha Majibu Yake
Jaji: Basi Kama Unaulizwa Swali Hakuna Haja ya Kuongea Yote hayo
Mallya: Shahidi Nilisikia Unasema Mnatumia Legitimate Software Ku Updates yenu, Je Ulizungumzia Mnapewaje
Shahidi: Hapana Sikuzungumzia
Mallya: Mheshimiwa Jaji Naomba Barua ya Airtel na Ya Tigo
Mallya: Nakuonyesha Kielelezo P15 na Interest yangu ni Mtu aliyepewa hii Barua
Shahidi: Barua hii Imeelekezwa Kwa Kamishina wa Uchunguzi wa Kisayansi
Mallya: wewe sasa hivi ni Inspector Wa Polisi, Je Mwaka 2021 uliwahi Kuwa Kamishina wa Polisi
Shahidi: Mimi Sijawahi Kuwa Kamishina
Mallya: Kwenye hii Barua wapi Umekuwa Adressed.?
Shahidi: imekuwa Adressed Kwa Kamishina wa Uchunguzi Wa Kisayansi
Mallya: Naomba na ya Tigo
Mallya: Umesema Ofisini Kwenu Mkubwa wa Command ni Nani
Shahidi: Anaitwa CP SHABANI
Mallya: Kuna Departments Ngapi katika Forensic Beaural
Shahidi: Tuna Units Mbalimbali Ka Cyber crime ambayo Natoka Mimi, Toxicology, DNA, Pathology, Fingerprints, Ballistic, Documents, Crime scenes
Mallya: Kwa Mahesabu yangu ni Nane, Kwa Kiswahili zinaitwaje?
Shahidi: Kamisheni ya Uchunguzi Wa Kisayansi
Mallya: Zote hizi Ukubwa Wake Kwa Maana ya Commanding Ofisa wake ni CP SHABANI.?
Shahidi: Ndiyo
Mallya: Naomba uniseme Adress ambayo Tigo Wameitumia
Shahidi: UCHUNGUZI WA KISAYANSI
S. L. P 9094
DAR ES SALAAM
TANZANIA
Malya: naomba Mwenzangu Wakili Faraji Mangula aendelee
Mangula: Shahidi Pole na kuuguq Kichwa Siku ya Kwanza
Mangula: Ni sahihi ulisema Kuwa umesema Advanced Diploma ya Computer Science
Shahidi: Ndiyo
Mangula: Wakati Unaongozwa na Wakili Wa Serikali, Ulielezea Kuwa Baada ya Masomo Ulipata Award gani
Shahidi: Nilisema nilikuwa napata Certificate
Mangula: Wakati Unafanya Uchunguzi Ulisema Ulikuwa una cheo Gani
Shahidi: Mkaguzi Msaidizi
Mangula: kwa sasa Una cheo Gani
Shahidi: Inspector
Mangula: Wakati Mawakili Wanakuongoza Hapa Mahakamani, Je ulisema Kuwa Ulipata Mafunzo gani Mpaka Ukapanda Cheo
Shahidi: Unakuwa Awarded siyo Kwa Kwenda Kozi
Mangula: Cheo chako umekipata wakati awamu ya 5 au ya 6?
Shahidi: Sijaelewa logic ya swali lako
Jaji: Swali la nani alikuwa Rais, unataka kujenga nini
Mangula: Mhe Jaji kuna premise nataka kutengeneza
Jaji: hiyo premises ndiyo utengeneze kupitia Rais aliye madarakani?
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Mahakama Ilisha wahi Kutoa Maelekezo Juu ya Kutaja Majina ya Watu ambao Hawapo Mahakamani
Jaji: nilitoa Maelezo Kuhusiana na Kutaja Majina ya Watu ambao Hawapo Mahakamani, lakini pia nataka Kujiuliza Kuhusu Kuuliza Maswali ya Rais wa Awamu ya Tano au Lah
Sasa Unachotaka hapo ni nini.?
Mangula: Ngoja Niulize Kwa Namna Nyingine
Mangula Naomba Kielelezo Namba 23,Shahidi Naomba Usome Kwa Sauti Kichwa Cha Habari cha Hicho Kielelezo
Shahidi Kamisheni ya Uchunguzi Wa Kisayansi, ya Makosa ya Kimtandao Chini ya Sheria ya Mtandao namba 14
Mangula: Je ni kifungu Kipi ambacho umekitumia?
Shahidi: Mimi siyo Mtaalamu wa sheria, Ila nilifanya kwa sheria ya mtandao
Mangula: Mwambie Mheshimiwa Jaji sasa ni kifungu kipi ulitumia
Shahidi: Mheshimiwa sikutumia kifungu
Mangula: Nikikupa hiyo sheria, unaweza Kunitajia kifungu ulichotumia
Shahidi: Mimi sina UFAHAMU WA MAMBO YA KISHERIA
Mangula: Kwa hiyo nyie Ofisini kwenye mnafanya bila ufahamu wa Sheria
Shahidi: Nishasema mheshimiwa SINA UFAHAMU WA SHERIA
Mangula: Fungua sasa Ndani, Ieleze Mahakama ni Kielelezo Kipi Ulichofanyia Kazi Ukagundua Kuna Makosa ya Ugaidi Uliyaona, Ni wapi Umeandika hivyo..
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Jibu linahitaji Maelezo, Mimi nililetewa tu Kufanya Uchunguzi.
Mangula: Kwa hiyo wewe hujui Kuwa Kuna Ugaidi au Hakuna Ugaidi kwenye hicho Kielelezo?
Shahidi: Sahihi
Mangula: bado unataka Mahakama ichukue Kielelezo Hiki Kama Kielelezo Cha Umuhimu?
Shahidi: Nimesema ni Kazi ya Mpelelezi
Mangula: Umesomeshwa na Serikali?
Shahidi: Ni Sahihi
Mangula: Na Umelipiwa Masomo Kwa Kodi ya Watanzania
Shahidi: Sahihi
Mangula: wewe Umesomea Udukuzi
Shahidi: Nimesomea Ethical Hacking
Mangula: Ulisema Mwanzo Kuwa Vifaa Vyako Vya Uchunguzi Vina Uadilifu
Shahidi: Ndiyo
Mangula: Na Kila Unachotaka Kwenye hiyo Simu, Mambo wako Unakuonyesha
Shahidi: Yes
Mangula: Kama Kuna video inakuomyesha.?
Shahidi: Inaonyesha Vile Vitu ambavyo Inaweza Ku Extract Kwenye Kielelezo
Mangula: Inakupa kila Kitu ambacho Kipo Kwenye simu?
Shahidi: Kimyaaaaaaaaaa
Mangula: Mheshimiwa Jaji Naomba Extraction Report
Mangula: Katika huo Mambo unaosema Ulikuwa upo Sawa Kukupa Kila Kitu, Ukisoma Kielelezo Cha Kwanza hicho namba 25
Mwambie Mheshimiwa Jaji kwenye hicho Kifaa Ulichofanyia Uchunguzi Kulikuwa na Content gani
Shahidi: Kukikuwa na Proxy Ya Chat ya WhatsApp
Mangula: Kulikuwa na Picha Kwa Maana Images
Shahidi: Picha Hakuna, Zipo Profile Picture
Mangula: ambazo ni za nani
Shahidi: Sijui za nani
Mangula: Katika hivyo Vielelezo ambavyo Vimepokelewa Mahakamani, Palikuwa na Mazungmzo ya Simu kati ya Watuhumiwa
Shahidi: Hakuna ila kwenye Kielelezo namba 26 zipo
Mangula: apewe Namba 26,,tuchagulie Mazungmzo Marefu Kuliko yote
Shahidi: Kuna Mazungmzo ya Dakika 9
Mangula: Bila Shaka Ndipo walikuwa wanapanga Ugaidi, Haya Mwambie Mheshimiwa Jaji Walizungumza nini hawa Watuhumiwa
Shahidi: Kuna Call Logs tu
Mangula: zile Sauti zipo wapi
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Kama Mahakama Yako itaniruhusu Kwa sababu za Ki Usalama nisijibu Hilo swali
Mangula: Swali langu ni Juu ya Watuhumiwa Ukiwa Mchunguzi wa Hizo Simu, Nauliza Mazungmzo ya Watuhumiwa Wale Wanne, Narudia Swali Sauti zao Watuhumiwa Zipo wapi ndugu shahidi?
Shahidi: Sababu za Kiusalama huwezi Kuzungumzia suala la Sauti
Mangula: Shahidi Nimesikia unasema Kuwa huwezi Kuzungumzia Kwa sababu ya Kiusalama, Je Sheria gani inakuzuia Usizungumzie hilo Suala?
Shahidi: Sijataja Sheria
Mangula: haya Sasa Mwambie Mheshimiwa Jaji, Sauti za Watuhumiwa Zipo wapi????
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Hazikuwa zinahitajika katika Terms Of Reference
Mangula: Ni sahihi nikisema Kuwa Katika Extraction Uliyo fanya, Kuna Vitu Uliviondoa sababu hazikuhitajika?
Shahidi: Swali linahitaji Maelezo, Mwanzoni Nilisema Kuwa Tunafanya Kwa Hatua tatu, Aquisation, Analysis na Extraction
Mangula: Kwa hiyo ni sahihi Kuwa Kwenye Mtambo Kuna Baadhi Ya Taarifa Hukutoa Sababu Hazikuhitajika?
Shahidi Wa Jamhuri: Kimya
Mangula: Kwa Mujibu Wa Kielelezo Namba 22, Mwambie Mheshimiwa Jaji Vitu gani Viliombwa Kwa ajili ya kufanyia Uchunguzi
Shahidi: Kwa Mujibu wa Barua yako Yenye Reference........
Mangula: Hoja ya Barua Ilikuwa unahitaji Ufanyie nini
Shahidi: Pamoja na Taarifa Hii Nakuletea Uchunguzi Niliofanya .... Mimi Inspector Innocent Ndowo
Mangula: Ni wapi Walikutaka Wewe Usitoe Sauti za Watuhumiwa?
Shahidi: Mimi nilifuata Terms of reference
Mangula: Nikisema Kuwa Wewe Inspector Ndowo na Viongozi Wako wa Polisi Kwa Makusudi Mliamua kuficha Baadhi ya Taarifa katika
Kesi hii kwa Maslahi yenu Itakuwa sahihi au siyo Sahihi Ukizingatia Kuna Taarifa Hazipo hapa?
Shahidi: Siyo Sahihi, Hatufanyi Kazi kwa interest zetu
Mangula: Fungua Kielelezo H, na Umwambie Mheshimiwa Jaji IMEI namba ya hicho Kielelezo Ni namba Ngapi Kwa Mujibu wa PF 145
Shahidi: Kwa Mujibu wa PF Hakuna IMEI namba
Mangula: Soma huo Mstari Wa Pili Kwa Sauti Umeandikwaje
Shahidi: Simu TECNO IMEI imefutika
Mangula: Wakati Unaongozwa Kwenye Ushahidi Ulisema nani aliyefuta hizo IMEI namba
Shahidi: Si Kuulizwa hilo swali
Mangula: Wewe unafahamu aliye futa hiyo IMEI namba
Shahidi: Simfahamu
Mangula: Katika hicho Kikaratasi Umeeleza IMEI namba Imefutwa Wapi.?
Shahidi: Sikusema
Mangula: ukiacha Kielelezo namba 35 ambacho kimechezewa na Watu wasiojulikana , Ni Kielelezo Kipi Kingine Mlichochezea
Shahidi: Hakuna Kielelezo Kilichochezewa
Mangula: Fungua Kielelezo namba 23, Mheshimiwa Jaji Namuonyesha Kielelezo namba 23
Mangula: Nataka Majibu ya Riport Yako ya Uchunguzi
Mangula: Mwambie Mheshimiwa Jaji ni wapi Katika Report Yako ya Uchunguzi Umeandika IMEI namba Imefutika
Shahidi: Hakuna Mahala Nilipo andika
Mangula: Nilisikia Unasema Ulichukua simu Ukiweka Katika Mtambo Wa Uchunguzi, Ule Mtambo utakuonyesha Kuwa Simu ni Original au Feki
Shahidi: Mtambo hauonyeshi Kuwa Simu ni Feki au Original
Mangula: Kitu gani Kinaonyesha kuwa Simu ni Feki au Original
Shahidi: Kitu nilichosema Kuna Kama zile Simu za Kichina, Mtambo una Operate kwa OS
Mangula: Kwa hiyo nini Kina onyesha ni FEKI Au ORIGINAL?
Shahidi: Nilichosema naomba Unisikie Vizuri, Mtambo una Option ya Kufanya Kazi hata Kwa kutumia Chip
Mangula: Mheshimiwa Jaji naomba NIISHIE Hapo
Shahidi: Samahani Mheshimiwa Jaji NAOMBA KWENDA WASHROOM (CHOONI)....
Shahidi anatoka na kuelekea katika vyoo vya nje..
Mahakama Ipo kimya inasubiri arejee kizimbani.
Shahidi amerejea kizimbani kutokea kwa fasii ya chooni.
Kihwelo: Shahidi Nilisikia Unazungumzia Kuhusu Celebrite Physical analyser Je ni Software Au.?
Shahidi: Ni software
Kiwhelo: nani alifanya Development ya Software
Shahidi: Celebrite Wenyewe
Kiwhelo: Nilisikia Umesomea Kuhusu Penetration Test
Shahidi: Ndiyo
Kihwelo: Je Penetration Testing, Ni sawa na Fazzing
Shahidi: Sifahamu
Kiwhelo: Je Wakati Unafundishwa Kuhusu Penetration Testing, Walikufundisha Kuhusu Mashambulizi ya Hali ya Juu ya Kimtandao (High Tech Cyber Attack)
Shahidi: Sijafundishwa hiyo
Kiwhelo: kwakuwa Ujafundisshwa kuhusu Mashambulizi ya Hali ya Juu ya Kimtandao, Ni sahihi Celebrite Ingeweza Kuingiliwa
Shahidi: Haiwezi Kuingiliwa
Kiwhelo: pale Ofisini kwenu ni nani Network Provider
shahidi: ni TTCL
Kiwhelo: Ni sahihi Kuwa Network Services Provider anaweza Kuingilia Data Zako
Shahidi: Hawezi
Kiwhelo: Nyinyi Kama Jeshi la Polisi Mnatumia Nini Kujilinda na Mashambulizi ya Hali ya Juu ya Kimtandao
Shahidi: Naomba nisijibu sababu za Kimtandao
Kiwhelo: Nilisikia Kuwa unazungumzia kuhusu DECORDING
Shahidi: Ndiyo
Kiwhelo: Shahidi Pegasus Technology ni Moja ya Technology mnayotumia?
Shahidi: Mheshimiwa Jaji naomba Nisijibu Sababu za Kiusalama
Kiwhelo: Mheshimiwa Jaji naomba anijibu sababu Baadae Nitataka kujua Intergrity ya Technology Wanayotumia
Jaji: Shahidi ame raise suala la Security, Au mnasemaje Upande wa Serikali?
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shahidi amesha Sema kuwa awezi Kusema Sababu za Kiusalama, Sisi tunaona Sababu hizo ni Valid, lakini siyo kutulazimisha
Kiwhelo: Mheshimiwa Jaji Shahidi Wakati Shahidi anataka Ushahidi Wake Jana Alitaja Hapa Kuhusu Microsoft na Celebrite, alitaja hizo Mbili Maana yake ameshataja
Jaji: Sasa Shahidi Kaja na suala la Security kwa hii Uliyotaja
Kiwhelo: Basi Ngoja Niendelee na Kingine, Shahidi Wakati Una Extract Data Kwenye Celebrite Ulihifadhi Kwenye nini
Shahidi: Nili hifadhi Kwenye Computer
Kiwhelo: Vipi kuhusiana na Usalama wa computer yenyewe
Shahidi: Kimya
Kiwhelo: Uliandika Taarifa ya Simu Nne..?
Shahidi: Simu zote Nane
Kiwhelo: Siku ya Tarehe 09 July 2020 Uliingia Saa ngapi
Shahidi: Niliingia Saa 1 na Nusu Asubuhi
Kiwhelo: na Ulitoka Muda gani
Shahidi: Unatoka Muda wowote, hupangiwi kwa Sababu tunafanya Kazi Masaa 24
Kiwhelo: Mwambie Mheshimiwa Jaji ulikuwa unaandika summary kisha unafuata extraction
Shahidi: Siyo sahihi
Kiwhelo: Soma hapo kwenye report yako
Shahidi: Inaanza na summary kisha extraction
Kiwhelo: Kwa hiyo imeanza na summary
Shahidi: Ni sawa, imeanza na Summary
Kiwhelo: Tuzungumze Kidogo Kuhusu Kampuni ya CELEBRITE Ukasema Kuwa Ni Moja ya Kampuni inayodevelop Software
Je unafahamu Celebrite Ni Kampuni Ya Kijasusi wa Kidigitali ya Nchi Israel
Shahidi: Hapana Sifahamu
Kiwhelo: Je Unafahamu Kuwa Hiyo Kampuni inahusishwa na Unyanyasaji wa Waandishi Wa Habari na Wana Harakati Duniani
Shahidi: Sifahamu
Kiwhelo: na Je Unafahamu Kuwa Celebrite Mashine Inaweza Kuingiliwa.?
Shahidi: Haiwezi Kuingiliwa
Kiwhelo: Je Nitakuwa Sahihi Nikisema Kuwa Celebrite Mashine Inaweza Kuingiliwa na Kubadili Taarifa Zilizotamgukia na zilizopo
Shahidi: Hapana Siyo Sahihi
Kiwhelo: Mheshimiwa Jaji naomba nimkabidhi Shahidi Nyaraka asome Kuhusiana na Celebrite
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji naomba wakili azuiwe Kusoma hiyo Nyaraka
Kiwhelo: Mheshimiwa Jaji Kwa ajili ya Muda nitaomba Kuachana na hiyo
Naomba nipatiwe P23 na P35
Naomba Sasa Nimkabidhi Shahidi
Kiwhelo: naomba Unisomee description hapo Juu
Shahidi: Imeanza Neno Station, Date 05 August 2020, CF imeandikwa. Simu Imeandikwa Tecno IMEI imefutika, Ilipatikana Maungoni (Mwilini)
Kiwhelo: Mwambie Mheshimiwa Jaji Wewe Umetoa wapi Namba kwa Mujibu wa IMEI namba ambayo Imefutika
Shahidi: Inawezekana Physically Isionekane ila akuna Namna unaweza Kuona, au Kwenye Barua
Kiwhelo: hiyo Barua Ipo Hapa Mahakamani
Shahidi: Haipo Mahakamani
Kiwhelo: Ulizungumzia Kuwa IMEI namba ulitoa Kwenye Barua.?
Shahidi: Nili zungumza Kwa Ujumla
Adv. @FrederickWakili
: Mheshimiwa Jaji nimeishia hapo na naomba kurudisha vielelezo
Anasimama Wakili Msomi Peter Kibatala.
Kibatala: Inspector Ndowo Mambo Vipi
Shahidi: Salama
Kibatala: Siku ya Kwanza Uliomba Kusitisha Ushahidi Kwa sababu uliumwa
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: na Ulipitia Hospitali.?
Shahidi: Nilienda Ofisini, nikarudisha Vielelezo
Kibatala: Kwa hiyo Baada ya Kutoka Hapa Hukwenda Hospitali Moja kwa Moja
Shahidi: Si kwenda Hospitali Moja Kwa Moja
Kibatala: Ulisema Kichwa Kilikuwa Kinafanya nini Vile
Shahidi: Kilikuwa Kinaniuma Kadri nilivyokuwa natoa Ushahidi
Kibatala: Na Kwa hiyo Ofisi Yako Ilikuwa wapi Vile
Shahidi: Posta
Kibatala: na Baada ya Hapo Ukaenda Hospitali Wapi
Shahidi: Kilwa Road
Kibatala: Twende Kwingine, Shahidi Je Uliwahi Kufanyiwa Training na Watu wa CELEBRITE
Shahidi: Yes Wawakilishi Wao
Kibatala: Unakumbuka Kozi Mbalimbali Ulizo taja Siku ya Kwanza Ukiwa unataja Mafunzo mbalimbali uliyopata.
Kibatala: Je kwa Kumbukumbu yako Ulitaja Mafunzo Yaliyo endeshwa na Celebrite au Wawakilishi wao
Shahidi: Jibu Lina hitaji Maelezo, Nilitaja Kozi Mbalimbali na Baadhi walitoka Nairobi.
Kibatala: Maelezo Ambayo Umeyatoa, Kuna Mahali Umesema Kuna watu Walitoka Nairobi Kuja Kuku train Kuhusu Celebrite.%?
Shahidi: Nilipata Kozi Mbalimbali, sikudadavua
Jaji: Swali Lake Ulisema Kuwa Kuna Wataalamu Kutoka Nairobi Kuja Kuku Fundisha Kuhusiana na Celebrite.
Shahidi: Sikutaja Mheshimiwa
Kibatala: Katika Maelezo yako, Ulisema Ulienda Training Mahala Mbalimbali, Je Ulisema Kuwa ulienda Israeli.?
Shahidi: Israel Sikutaja
Kibatala: Unafahamu Kuwa Makao Makuu ya CELEBRITE Yapo Nchini Israel
Shahidi: Nafahamu Yapo Israel
Kibatala: Je Unafahamu Kuwa Israel Kwa Wivu na Technology yao Hawaja Outsource kwa Mtu Kuhusiana na Training wala Technology?
Shahidi: Hapana Sifahamu
Kibatala: Unafahamu Kuwa Nairobi Hakuna Wakala Wa CELEBRITE?
Shahidi: Hapana Sifahamu
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Wakili anataka Misamiati Migumu ya Technology shahidi anaweza asijue ni nini Kinaongelewa.
Kibatala: Mheshimiwa Jaji hakuna hoja hapo, Mbona shahidi anajibu, Eti ndugu shahidi, ni kweli huelewi Kitu?
Shahidi: Ndiyo sielewi
Kibatala Kwanini sasa ulikuwa unajibu?
Shahidi wa Jamhuri: Kimya
Kibatala: unafahamu sababu ya Wivu Wa Technology, Israel Hawana Mwakilishi wa CELEBRITE Duniani katika Nchi yoyote
Shahidi: Yupo Nairobi
Kibatala: Anaitwa Nani
Shahidi: SAM
Kibatala: Unafahamu Kuwa Technology ya Pegasus ni Technology ya Israel Pia
Shahidi: Hapana Sifahamu
Kibatala: una Cornfirm kwetu bila kwenda kwenye details kuwa Jeshi la Polisi mnatumia pegasus?
Shahidi: Naomba nisijibu hilo swali kwa sababu za Kiusalama
Kibatala: Baadae Nitakuja hapo na nitakutaka kwa lazima ujibu hilo swali, kwa sasa ngoja niende kwingine.
Kibatala: Ni sahihi Kwamba Celebrite unatumia Software Mbili UFET na physical analyser?
Shahidi: Ndiyo ni baadhi ya product za kwake
Kibatala: UFEN kazi yake I naingia katika Simu au Computer kisha Inatengeneza Back up
Shahidi: Inategemea na level ya Extraction Unayofanya
Kibatala: Ni sahihi Kuwa katika kazi Uliyo kuwa unafanya unaunganisha Simu Kwa Kutumia Cable kisha Celebrite inachofanya Kwa kutumia UFEN Kutengeneza Back up
Shahidi: Sahihi
Kibatala: Ni sahihi Kuwa physical analyser Inafanya kazi Kwa Ku arrange Taarifa In Chronological Order
Shahidi: Sahihi ila inategemea Level
Kibatala: Jaji akimaliza Ku Rekodi Mwambie Kuwa Kazi ya Physical Analyser Kama Software Ni kuyapanga Mafaili Kwa Mchunguzi ili Ku Make Sense na hiyo Process inaitwa PASSING
Shahidi: Naomba nijibu kwa Maelezo Kuwa Physical analyser, Inafanya kazi 3 ila Kwa Ujumla Ndiyo PASSING
Kibatala: Katika Report Yako Kuna Item Ya PASSING
Shahidi: Kama Software Include hizo Taarifa zake, Basi itaonekana
Kibatala: Basically Physical analyser haina Jipya Zaidi ya kupanga Mafaili
Shahidi: Hapana Physical analyser ni zaidi ya hapo
Kibatala: Tofauti Yake nini, Kama Unaingia Kwenye simu yangu ya Telegram na kisha unapamga Mafaili
Shahidi: Ni zaidi ya hapo kwa sababu ina Uwezo Kuwa Kufanya Back Up Kwa Vitu Vilivyofutwa
Kibatala: Physical ANALYSER inaweza za KubadiliSha Chochote
Shahidi: Hapana
Kibatala Physical analyser Ina extract
Shahidi: Hapana
Kibatala: unapokuwa na Kifaa kama Simu Kutoka Kwa DCI Nini Kilianza Kati ya kutumia UFEN Kufanya Extraction au Physical Analyser Kupamga kazi yako
Shahidi: Nilianza Kutumia UFEN
Kibatala: Wewe Umeletewa 8 applications phones, Je zile Data zilizokuwa katika Hizo phones, Je ni Software gani zilikuwezesha Kuingia Kwenye simu na Kusoma Meseji
Shahidi: Ni Physical analyser
Kibatala: Sasa Mbona Mwanzo Ulikataa, Wacha sasa Ikae Hivyo
Kibatala: Jana Ulizungumzia Kuwa huwezi Ku impose Vitu Vyako Kutoka Nje,
Shahidi: Ndiyo WRITE BLOCK
Kibatala: Unafahamu Kuhusu Software ya CELEBRITE Kuhusu Soft Write Block?
Shahidi: Hiyo sifahamu kwa kweli
Kibatala: Ni kweli au siyo Kweli Kuwa Celebrite Soft Write Block Ndiyo inayomzuia Mtu Kuingilia Mashine ya CELEBRITE
Shahidi: Hiyo sifahamu
Shahidi: Na Bado Ukitaka Kutuaminisha Kuwa Mashine zenu zina Intergrity?
Shahidi: Ndiyo Sijataja
Kibatala: Je ulitaja Jana software zaidi ya Mbili
Shahidi: Sikutaja
Kibatala: Ulizungumzia Forensic Cables,
Shahidi: Sawasawa
Kibatala: Ni Cables kama za USB tuh au Kuna tofauti
Shahidi: Ni Tofauti Kabisa
Kibatala: Inasifa gani Kitaalamu ambayo ni zaidi za USB
Shahidi: Ni Cable Zenye namba pembeni
Kibatala: Je Hapa Umetaja Namba za Cables
Shahidi: Hapana
Kibatala: Hizi Simu ambazo wewe Ulifanyia Extraction, Makers ni Tofauti
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Jana Nilisikia Unasema wewe siyo Mpelelezi ni Mchunguzi?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Ni wapi au Kwenye Instrument ipi Inatofautisha Mpelelezi na Mchunguzi?
Shahidi: Ukija Ofisini Utajua
Kibatala: Mpaka Nije Ofisini kwenu, Vipi PGO Inatambua?
Shahidi: Sijui
Kibatala: PGO ya 8 Sehemu Ndogo ya 4 inasema Kuwa Ofisi Ya DCI inagawanywa katika Divisheni Nne, Mmoja wapo ndiyo hiyo ya Forensic Beaural
Shahidi: Sijui ni PGO gani
Kibatala: zote mbili
Shahidi: Mimi ninachojua Forensic Beaural ni Imtependent Beaural
Kibatala: na Ndiyo Maana ni Kuuliza Unapata wapi Mgawanyo huo
Shahidi: Ukienda Ofisini Makao Makuu ya Jeshi la Polisi au Dodoma
Kibatala: Mhe Jaji naomba Kielelezo 6,7,
Kibatala: angalia Maneno ya DCI Katika hiyo Barua. Unafahamu Kirefu chake?
Shahidi: nimesahau kidogo
Kibatala: Mimi nikikwambia kwamba kirefu cha hayo maneno uliyoandika wewe kwenye barua yako ni DIRECTOR OF CRIMINAL INVESTIGATION?
Shahidi: Sijui mpaka Nipate Mwongozo Wa Wakubwa zangu
Kibatala: Juu pia maneno ya DFSI kuwa ni DIRECTORATE OF FORENSIC SCIENCE INVESTIGATION?
Shahidi: Sifahamu mpaka Nikumbushwe na wakubwa zangu
Kibatala: Na Bado wewe Unasema ni inspector wa Jeshi la polisi
Shahidi: Ndiyo
Kibatala Mheshimiwa Jaji muda wetu wa kupumzika umefika, labda nipate mawazo kutoka kwa wenzetu nina maswali mengi bado
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Tu' break dakika 45
Wakili Peter Kibatala Saa Saba na Dakika 45
Jaji: Tuna break kwa dakika 45 tutarudi saa saba na dakika 45
Tatizo hakuna kitu relevant walichokikuta zaidi ya mawasiliano ya kawaida!Make Your Investigations Smarter, Faster and More Efficient
Cellebrite's end-to-end Digital Intelligence Investigative Platform and Services are trusted by over 6,700 federal, state and local public safety agencies and enterprises in over 140 countries and is used in millions of cases each year.
Mbowe kapambana na serikali iliyojiandaa kiteknolojia
Huoni aibu kuandika huu upuuzi?? Au hata huwahurumii Wazazi wako ambao waliacha kula wakakupeleka shule?Hongera Jeshi la polisi kwa kwenda na wakati wa kidigital- watu kama Mbowe wamesumbua sana nchi hii sasa wanashikwa kirahisi
Accelerate Justice
From the field to the lab and the courtroom… solve cases faster.
CELLEBRITE
Shahidi ni VERY SMART. Kibatala asimchukulie poa. Maswali ya kipuuzi yanajibiwa kipuuzi. Ask Henry Ford alipokuwa akiwaguyuguza washtakiwa wake mahakamani.Ukichukua tahadhari kupita kiasi kwenye maneno unayoongea mahakamani Ni lazima uonekane hujui kitu (boya) hata Kama unajua na kuonekana huaminiki hata Kama ulipaswa uonekane unaaminika.
******
Kibatala: angalia Maneno ya DCI Katika hiyo Barua. Unafahamu Kirefu chake?
Shahidi: nimesahau kidogo
Kibatala: Mimi nikikwambia kwamba kirefu cha hayo maneno uliyoandika wewe kwenye barua yako ni DIRECTOR OF CRIMINAL INVESTIGATION?
Shahidi: Sijui mpaka Nipate Mwongozo Wa Wakubwa zangu
Kibatala: Juu pia maneno ya DFSI kuwa ni DIRECTORATE OF FORENSIC SCIENCE INVESTIGATION?
Shahidi: Sifahamu mpaka Nikumbushwe na wakubwa zangu
Kibatala: Na Bado wewe Unasema ni inspector wa Jeshi la polisi
Shahidi: Ndiyo
Wakati mwingine mjinga unamjibu kijingaWakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Wakili anataka Misamiati Migumu ya Technology shahidi anaweza asijue ni nini Kinaongelewa.
Kibatala: Mheshimiwa Jaji hakuna hoja hapo, Mbona shahidi anajibu, Eti ndugu shahidi, ni kweli huelewi Kitu?
Shahidi: Ndiyo sielewi
Kibatala Kwanini sasa ulikuwa unajibu?
Shahidi wa Jamhuri: Kimya
Shahidi haelewi kitu ndugu zangu,huyu kawekewa kikaratasi chooni sasa kila alidesa anakuta maswali ni tofauti,ndio maana anaomba kwenda chooni sana[emoji3]
Mkuu shida ya akina Kibatala wanadhani polisi kuna wajinga wajinga tu- safari hii imekula kwaoShahidi ni VERY SMART. Kibatala asimchukulie poa. Maswali ya kipuuzi yanajibiwa kipuuzi. Ask Henry Ford alipokuwa akiwaguyuguza washtakiwa wake mahakamani.
NOPEHivyo ndivyo Serikali ya CCM inavyoamini.
Una ji contradict tu hapa.
Unashangaa mbowe kurudishwa gerezani. Hushangai yule kibaka aliyepewa KISONGO???Sawa- mwisho wa siku ya leo jaji atasema hivi
Nairisha kesi mpaka kesho washitakiwa wote akiwemo Mbowe watarudi rumande ya Magereza
Kama ulisoma sheria basi ulikariri na sitashangaa kusikia ulikuwa una iba mitihani kama vile kuraNanyi mkashangilia