Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu - Januari 19, 2022

Ndugu kama hujaelewa husilazimishe acha sio pumzi hiyo kusema utakufa.

Make Your Investigations Smarter, Faster and More Efficient​

Cellebrite's end-to-end Digital Intelligence Investigative Platform and Services are trusted by over 6,700 federal, state and local public safety agencies and enterprises in over 140 countries and is used in millions of cases each year.
 
Kamanda wa Polisi hajui kirefu cha DCI mpaka akumbushwe na bosi wake! Hajui vyeo vya jeshi la polisi! Ndiyo maana muda wote anakwenda chooni kujikumbusha kwenye kikaratasi alichowekewa.

Jeshi la polisi mnaowaita wajinga wako na CELLEBRITE​

Make Your Investigations Smarter, Faster and More Efficient​

Cellebrite's end-to-end Digital Intelligence Investigative Platform and Services are trusted by over 6,700 federal, state and local public safety agencies and enterprises in over 140 countries and is used in millions of cases each year.
 
Mwongo Mwongoze akudanganye harafu mbanie humo humo-By Sukuma Ndani (Aggrey Mwanri)!
Unabanwa mpaka unaomba kwenda chooni?
 
Kibatala: Kwa uchunguzi wako wewe ungekuta taarifa za kupanga uhalifu, ungeacha kuandika kwenye report yako kwa sababu haujaambiwa kwenye terms of reference?

Shahidi: Mimi ni Askari Polisi, kama ningekuta meseji za kupanga uhalifu ningeweka kwenye report yangu..

Hakuna kesi Tena hapa
 

Hongera Jeshi la polisi kwa kwenda na wakati wa kidigital- watu kama Mbowe wamesumbua sana nchi hii sasa wanashikwa kirahisi​

Accelerate Justice​

From the field to the lab and the courtroom… solve cases faster.

CELLEBRITE
 

Hongera Jeshi la polisi kwa kwenda na wakati wa kidigital- watu kama Mbowe wamesumbua sana nchi hii sasa wanashikwa kirahisi​

Accelerate Justice​

From the field to the lab and the courtroom… solve cases faster.

CELLEBRITE

utakuwa hupo saloon za wanawake unasuka maana hata nchi ufahamu
 
Mbona wapo wengi wanasimu kali sana lakini hawajui kuzitumia zaidi ya kupiga! Hata huko Cellebrite wanaweza kuwa wanatumia kiwango cha chini sana cha programu kwani kuna baadhi ya mambo amesema hayajui.
 
Shahidi anajibu swali halafu anasema halielewi swali alilojibu!
 
Shahidi anajibu swali halafu anasema halielewi swali alilojibu!
 
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Wakili anataka Misamiati Migumu ya Technology shahidi anaweza asijue ni nini Kinaongelewa.

Kibatala: Mheshimiwa Jaji hakuna hoja hapo, Mbona shahidi anajibu, Eti ndugu shahidi, ni kweli huelewi Kitu?

Shahidi: Ndiyo sielewi

Kibatala Kwanini sasa ulikuwa unajibu?

Shahidi wa Jamhuri: Kimya

Shahidi haelewi kitu ndugu zangu,huyu kawekewa kikaratasi chooni sasa kila alidesa anakuta maswali ni tofauti,ndio maana anaomba kwenda chooni sana[emoji3]
 
Tatizo hakuna kitu relevant walichokikuta zaidi ya mawasiliano ya kawaida!
 

Hongera Jeshi la polisi kwa kwenda na wakati wa kidigital- watu kama Mbowe wamesumbua sana nchi hii sasa wanashikwa kirahisi​

Accelerate Justice​

From the field to the lab and the courtroom… solve cases faster.

CELLEBRITE
Huoni aibu kuandika huu upuuzi?? Au hata huwahurumii Wazazi wako ambao waliacha kula wakakupeleka shule?
 
Shahidi ni VERY SMART. Kibatala asimchukulie poa. Maswali ya kipuuzi yanajibiwa kipuuzi. Ask Henry Ford alipokuwa akiwaguyuguza washtakiwa wake mahakamani.
 
Wakati mwingine mjinga unamjibu kijinga
Rejea Yesu na Pilato
Pilato- wewe ni mwana wa Mungu
Yesu- WEWE WASEMA
 
Shahidi ni VERY SMART. Kibatala asimchukulie poa. Maswali ya kipuuzi yanajibiwa kipuuzi. Ask Henry Ford alipokuwa akiwaguyuguza washtakiwa wake mahakamani.
Mkuu shida ya akina Kibatala wanadhani polisi kuna wajinga wajinga tu- safari hii imekula kwao
 
Sawa- mwisho wa siku ya leo jaji atasema hivi
Nairisha kesi mpaka kesho washitakiwa wote akiwemo Mbowe watarudi rumande ya Magereza
Unashangaa mbowe kurudishwa gerezani. Hushangai yule kibaka aliyepewa KISONGO???
Wewe na mashetani wenzio mkimsifia hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…