Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu - Januari 19, 2022

Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu - Januari 19, 2022

Sasa shahidi mtaalamu wa Celebrite kawaangusha sana Leo,kasema hakuona jinai yoyote na kama angeona,yeye kama afisa wa jeshi la Polisi angetoa taarifa!
Huyu shahidi kawapiga na kitu kizito mawakili wa serikali na wakereketwa kama wewe,ulimtegemea sana kwamba Sasa hatimaye concrete evidence zinashushwa Leo!Ila imekuwa kinyume chake!
Hii kesi ni aibu Kwa serikali,nilitaka nishangae,yaani nchi kama USA ambao ndio wahanga wakubwa wa ugaidi na ndio walioanzisha Sheria ya ugaidi,iweje wawe pamoja na Mbowe wakati ana kesi ya ugaidi?
Ndio ujue wamepona hii kesi ni upumbavu tu wa siasa majitaka za watu weusi!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wacha wee. Kawachapa na kiwembe kabisa
 
..nimeisoma sheria ya ugaidi kama ulivyoileta kwenye post yako.

..upande wa mashtaka wamedai wanao mashahidi 21, na mpaka sasa hivi mashahidi 10 wamefika mahakamani.

..bado sijasikia ushahidi usio na shaka unaowaunganisha washtakiwa na tuhuma zilizoko mbele yao.

..kungekuwa na ushahidi na mashahidi wenye mashiko, usingesikia hayo maswali ya pgo au mengine unayodai hayana maana.

..mapungufu ya maswali ya upande wa utetezi yanatokana na mapungufu ya ushahidi na mashahidi wa upande wa mashtaka wanaofika mahakamani.
Mtu mwenye ushahidi wa uhakika. Mashahidi watatu tu wanamaliza kesi. Hawe wenzangu wanamashahidi 21 wa nini? wanependa namba sana hawa.
 
Nakushauri usome sheria ya ugaidi- nimeiweka in one of my post kwenye post hii- kesi iko clear na ushahidi to the point vinginevyo kesi isingefika huku. SIKIA serikali ina maguvu makubwa sana - ikitaka kuweka Mbowe ndani hata bila kesi inaweza- kutakuwa na kelele sawa lakini atakuwa yuko huko. Hivi unajua sheria ya kuweka watu kizuizini ipo na haijafutwa ila kwa sababu viongozi wetu ni waungwana hawaitumii- kama ile sheria ya kunyonga- ipo ila hakuna anayeyonyongwa.
SASA KAMA NI HIVYO KWA NINI HII KESI IPO NA ITAKUWEPO MPAKA 2025 KWA HUU MWENDO WA MAPINGAMIZI SIJUI KESI NDOGO NDANI YA KESI KUBWA?
IGP alisema Mbowe si malaika ni mtu na ushahidi tunao- twende mahakamani
CHADEMA
1. Mbowe hawezi kukamatwa- kakamatwa
2. Mbowe hawezii kufikishwa mahakamani- kesi ipo
3. Kesi haina ushahidi- leo tuna shahidi wa 10
4. POLISI hajui PGO- BLAH BLAH
Kaongeze wewe huo ushahidi maana walienda wote wamesema sijui na sifahamu
 
Hapa ndio alipo chemka Inspector DCI...
Kibatala: Kwanini tusiseme wewe ni miongoni mwa kikundi ndani ya Jeshi la polisi ambacho kilihusika na kupanga njama za Kumpa Freeman Mbowe Kesi ya Ugaidi Ndiyo Maana mlifanya uchunguzi kipindi fulani hadi fulani?
 
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Wakili anataka Misamiati Migumu ya Technology shahidi anaweza asijue ni nini Kinaongelewa.

Kibatala: Mheshimiwa Jaji hakuna hoja hapo, Mbona shahidi anajibu, Eti ndugu shahidi, ni kweli huelewi Kitu?

Shahidi: Ndiyo sielewi

Kibatala Kwanini sasa ulikuwa unajibu?

Shahidi wa Jamhuri: Kimya

Eti naye huyu Ni mpelelezi, hajui kitu lakini ajibu...ajicontradict
Shahidi wa mchongo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ukichukua tahadhari kupita kiasi kwenye maneno unayoongea mahakamani Ni lazima uonekane hujui kitu (boya) hata Kama unajua na kuonekana huaminiki hata Kama ulipaswa uonekane unaaminika.
******
Kibatala: angalia Maneno ya DCI Katika hiyo Barua. Unafahamu Kirefu chake?

Shahidi: nimesahau kidogo

Kibatala: Mimi nikikwambia kwamba kirefu cha hayo maneno uliyoandika wewe kwenye barua yako ni DIRECTOR OF CRIMINAL INVESTIGATION?

Shahidi: Sijui mpaka Nipate Mwongozo Wa Wakubwa zangu

Kibatala: Juu pia maneno ya DFSI kuwa ni DIRECTORATE OF FORENSIC SCIENCE INVESTIGATION?

Shahidi: Sifahamu mpaka Nikumbushwe na wakubwa zangu

Kibatala: Na Bado wewe Unasema ni inspector wa Jeshi la polisi

Shahidi: Ndiyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hajui kirefu DCI mpaka akawaulize wakubwa zake ?
 
Hatuwezi kupeleka watu kwenye jeshi la polis waliopata Division 1

ila tuwapeleka waliopata division 4 maana kazi yao kukubwa ni kukamata na kuzuia uhalifu-Simbachawene 2021
... na kulinda makazi ya viongozi! Ha ha ha!
 
Kibatala: Kwa uchunguzi wako wewe ungekuta taarifa za kupanga uhalifu, ungeacha kuandika kwenye report yako kwa sababu haujaambiwa kwenye terms of reference?

Shahidi: Mimi ni Askari Polisi, kama ningekuta meseji za kupanga uhalifu ningeweka kwenye report yangu.


Kama hakukuta uhalifu wa aina yoyote kuna haja gani ya kuendelea na hii kesi?
... katika ujinga wote ulioletwa mahakamani kama ushahidi; hiyo sentensi moja hiyo imebeba shauri kwa uzito mkubwa sana! Lilikuwa swali na jibu muhimu mno!
 
..mimi sio Polisi au mwanasheria lakini naona hayo mashtaka yako too general.

..watu wana mipango mingi, sasa mipango ya kufanya ugaidi ikoje? Vigezo vyake ni vipi?

..nikiweka vigezo ninavyovifikiria mimi sioni mipango ya kigaidi, na sioni upande wa mashtaka ukijitahidi kufikia kanuni ya " beyond reasonable doubt."

..kuhusu kipengele cha nia, hicho nacho kinathibitishwa vipi?

..Unaweza kweli kuthibitisha nia ya kuweka magogo barabarani bila kumkuta mtuhumiwa na magogo? Hayo magogo yalikuwa yatoke wapi? Walipanga kuyanunua, au kukata wenyewe?

NB.

..kama Mbowe alikuwa na mipango au nia ya ugaidi kwanini hakutumia vijana au wanachama wa Chadema?

..Kwa kawaida magaidi huwa hawakodiwi. Magaidi huwa ni watu waliokuwa indoctrinated.

..Na kuweka magogo barabarani sidhani kama kunahitaji makomandoo.
Ukisikiliza hoja zinazoletwa na upande wa mashtaka,ni dhahiri wao ndio waliopanga mipango ya kigaidi dhidi ya washtakiwa ili kufanikisha lengo la kuifuta CDM kwa kumbambikia Mh. Mbowe kesi hii.
Aibu hii ya ugaidi wa kuchongwa na Sirro na kina Kingai tutailipia Watanzania wote.
Wapenda HAKI wote wanafahamu kiini cha hizi tuhuma na nia ovu ya watawala haitajificha chini ya jua.
Justice must prevail very soon.
 
Ukisikiliza hoja zinazoletwa na upande wa mashtaka,ni dhahiri wao ndio waliopanga mipango ya kigaidi dhidi ya washtakiwa ili kufanikisha lengo la kuifuta CDM kwa kumbambikia Mh. Mbowe kesi hii.
Aibu hii ya ugaidi wa kuchongwa na Sirro na kina Kingai tutailipia Watanzania wote.
Wapenda HAKI wote wanafahamu kiini cha hizi tuhuma na nia ovu ya watawala haitajificha chini ya jua.
Justice must prevail very soon.
Kesheni mkisali labda Mungu atawasikia
 
Ukichukua tahadhari kupita kiasi kwenye maneno unayoongea mahakamani Ni lazima uonekane hujui kitu (boya) hata Kama unajua na kuonekana huaminiki hata Kama ulipaswa uonekane unaaminika.
******
Kibatala: angalia Maneno ya DCI Katika hiyo Barua. Unafahamu Kirefu chake?

Shahidi: nimesahau kidogo

Kibatala: Mimi nikikwambia kwamba kirefu cha hayo maneno uliyoandika wewe kwenye barua yako ni DIRECTOR OF CRIMINAL INVESTIGATION?

Shahidi: Sijui mpaka Nipate Mwongozo Wa Wakubwa zangu

Kibatala: Juu pia maneno ya DFSI kuwa ni DIRECTORATE OF FORENSIC SCIENCE INVESTIGATION?

Shahidi: Sifahamu mpaka Nikumbushwe na wakubwa zangu

Kibatala: Na Bado wewe Unasema ni inspector wa Jeshi la polisi

Shahidi: Ndiyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
..asante sana.

..nimeelewa kwamba " komito " ina maana upo ushahidi wa kutosha dhidi ya watuhumiwa.

..Kwa mfano, kesi ikiisha LEO would you convict Mbowe na wenzake?

..Na kwa mashtaka yote, au baadhi?

Cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Fundi Mchundo
YES
Shitaka ni kunuia kutenda matendo ya kigaidi kinyume cha sherai ya ugaidi ya 2002
1. Kakusanya watu- rejea Kingai, Kaaya, tigo, airtel, forensic
2. Mwenzake kuwa na bastola isiyosajiriwa-rejea Kigai, msajiri wa bunduki, mtaalam wa milipuko
3. kafadhili- rejea rejea Kingai, Kaaya, tigo, airtel, forensic
 
Back
Top Bottom