Uchaguzi 2020 Yaliyojiri: Mapokezi ya Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu na mkutano mkubwa Shinyanga

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri: Mapokezi ya Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu na mkutano mkubwa Shinyanga

Maccm bwana wamerejesha picha za Ukawa ili ionekane kila inachopostiwa himu ni uongo.

Sisi tunaamini ile tunayomuona Lissu mwenyewe.
Hmmmm Baada ya kuumbuliwa mkatoa chap lakini tayari maelfu walishaona ule uongo
 
Tatizo lako molemo taarifa unaleta asubuhi video na picha mpaka uunganishe hapo watu tumehamia kwenye shughuli zingine- jitahidi kuweka picha na video mapema bosi
Aweke picha na video za kabla ya mkutano?
 
Leo muda huu Lissu anasimikwa kuwa chifu wa wasukuma

Uwanja wa joshoni uko shinyanga
1599058733424.png

IMG-20200902-WA0027.jpg
 
Back
Top Bottom