Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VIP leo fiesta wapi tukamuone diamondNimefika bwashee siasa siyo Uadui!
Pamoja na kuzuia drone sababu ya Lisu still tunapata picha na video,Mabavicha yanatudanganya duuh.
Hmmmm Baada ya kuumbuliwa mkatoa chap lakini tayari maelfu walishaona ule uongoMaccm bwana wamerejesha picha za Ukawa ili ionekane kila inachopostiwa himu ni uongo.
Sisi tunaamini ile tunayomuona Lissu mwenyewe.
Aweke picha na video za kabla ya mkutano?Tatizo lako molemo taarifa unaleta asubuhi video na picha mpaka uunganishe hapo watu tumehamia kwenye shughuli zingine- jitahidi kuweka picha na video mapema bosi
Kwani drone pia ni sehemu ya sera zenu??Pamoja na kuzuia drone sababu ya Lisu still tunapata picha na video,
Kuuwa upinzani sio rahisi sawa na kufanya ngono
Yes Uhuru na maendeleoKwani drone pia ni sehemu ya sera zenu??
Kuna kitu hakiko sawa Chadema, huwezi kuleta picha za 2015 halafu wanatuaminisha kuwa za leo. Hii inaonesha hata zile ahadi wanazotoa ni za uongo mtupu.Hivi chadema walijipanga kweli?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwanza, Shinyanga mnasafiri usiku kucha ?,pathetic!
Anasimikwa na wataalam wa kusimika na wanao zijua mila na kanuni za kisukumaAmesimikwa na kina nani? Usije kuwa habari za fulani "apewa upadrisho wa Kanisa Katoliki" halafu kumbe ilikuwa Kanisa la Kipentekoste....
Lissu ndiye rais wako wa awamu ya sitaMambo mengine ni ya kawaida sana. Cdm munayakuza kutafuta kiki. Lisu ni wakawaida sana kwa Magufuli.
Wakati utajisemea wenyewe,haihitaji nguvu kubaini ukweli wa Mambo.Mambo mengine ni ya kawaida sana. Cdm munayakuza kutafuta kiki. Lisu ni wakawaida sana kwa Magufuli.
Ametapeliwa huyo!! Haiwezi kuwa Chief wa Wasukuma huyo!Leo muda huu Lissu anasimikwa kuwa chifu wa wasukuma
Uwanja wa joshoni uko shinyanga
View attachment 1556659
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]... makamanda mwaka huu kazi wanayo.huo ni msafara wa Lowasa 2015 nakupa na LINK HIYO HAPO JIONEE MWENYEWE utapeli wa CHADEMA kuweka picha ya sumbawanga na kuita mapokezi ya Lisu leo hiyo hapo jionee mwenyewe
LOWASA AVUNJA REKODI SUMBAWANGA MJINI
Shinyanga kuna Chifu Mbowe, Chifu Anna Kilango, Chifu Masele, Chifu Lowassa, chifu... etc, semeni anahembekwa "kuhanwa" au "anakangwa" ile ngozi ya chonja mbona hawajamvalisha?Leo muda huu Lissu anasimikwa kuwa chifu wa wasukuma
Uwanja wa joshoni uko shinyanga
View attachment 1556659
Hakuna ngosha anayejipendekeza kwa mabeberu!Lissu hawezi kuwa ngosha.
Wanamdangnya tu.