Yaliyojiri: Mapokezi ya Tundu Lissu Jijini Arusha - Ijumaa 14 Agosti, 2020

Mbwa atabaki kua mbwa tuu hata Dodoma panakebinet yote ya mawaziri na ulinzi lkn lisu alimiminiwa risasi kwahiyo mbwa akilitaka lake lazima atafanikiwa
 
kweli CCM wameishiwa sera!

mwaka huu mtaambia nini watu????
 
kweli CCM wameishiwa sera!

mwaka huu mtaambia nini watu????
 
Kwani wanaochoma taasisi za serikali na shughuki za watu Arusha mbona wana jukikana? Ninaibu tuu serikali ina wafumbia macho..
 
Nani kakuambia hakukuwa na mlinzi? Unapokea taarifa juu juu kisha una comment
 
Molemo,

Hiyo ofisi mmeichoma wenyewe ili kuweka hadithi zenu kwenye vyombo vya habari wazungu wenu mabeberu yaone kua mnaonewa,maana ofisi zenu hamuoni shida kuzichoma kwa kua ni kama tuvibanda twa kuuza juice na vocha.

Kama ni rahisi kuchoma vibanda vya vocha na juice, mbona hatuoni hivyo vibanda vikichomwa hapa Dar ili tujue ni rahisi hivyo?
 
We fala mbona umeshaambiwa mlinzi hajulikani alipo ama ulitaka uambiwe kipi ndo uelewe? Na pale area D mbona mwana alioga mvua ya risasi licha ya kuwepo walinzi tena mchana kweupe? Acha utoto.
asante ipo siku nitakuwa mkubwa na ndio utakuwa mwisho wa utoto wangu,tujadili oja,mazingira ya area D ni tofauti sana na hapo arusha,naamini wangekuwepo walinzi wa kutosha lisingetokea
 
Nipe wewe taarifa za uhakika vinginevyo ni walewale kutwa kulalamika kutafuta public sympathy
Sympathy itatafutwa kwako fala we!
Acha kuuzi watu kwa hoja za kijinga. Mlinzi umeambiwa alikuwepo na alitekwa na habari zake wataziongelea polisi wanaochunguza tukio, nini huelewi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…