Yaliyojiri: Mapokezi ya Tundu Lissu Jijini Arusha - Ijumaa 14 Agosti, 2020

Yaliyojiri: Mapokezi ya Tundu Lissu Jijini Arusha - Ijumaa 14 Agosti, 2020

Katika hali isiyokuwa ya kawaida leo asubuhi Tundu Lissu amejikuta akikumbana na umati mkubwa wa wafuasi wa CHADEMA alipokuwa akitoka ndani ya hoteli alikofikia akiwa pamoja na mwenyekiti wa CHADEMA taifa Freeman Mbowe.

Msafara ndiyo unaanza kuelekea ofisi za Chama jimbo la Karatu ambapo upo pia umati mkubwa wa wanachama na wafuasi wa CHADEMA.
 
Molemo,

Hiyo ofisi mmeichoma wenyewe ili kuweka hadithi zenu kwenye vyombo vya habari wazungu wenu mabeberu yaone kua mnaonewa,maana ofisi zenu hamuoni shida kuzichoma kwa kua ni kama tuvibanda twa kuuza juice na vocha.
 
Ni yeye hawawezi choma matamanio ya watanzania cdm iko mioyoni wamepagawa
 
Kwa nini chadema wasiweke walinzi kwenye hizi ofisi?ata ccm wao wana walinzi ofisi zao zote,au wanataka zichomwe moto ili walielie kupata huruma za wananchi?

Jamani chadema kuna wasomi pls onyesheni tofauti kati ya chama chenye vijana wasomi na vyama vingine vinavyotafuta huruma ya magufuli mkate uende tumboni
 
Kwa nini chadema wasiweke walinzi kwenye hizi ofisi?ata ccm wao wana walinzi ofisi zao zote,au wanataka zichomwe moto ili walielie kupata huruma za wananchi??jamani chadema kuna wasomi pls onyesheni tofauti kati ya chama chenye vijana wasomi na vyama vingine vinavyotafuta huruma ya magufuli mkate uende tumboni
We fala mbona umeshaambiwa mlinzi hajulikani alipo ama ulitaka uambiwe kipi ndo uelewe? Na pale area D mbona mwana alioga mvua ya risasi licha ya kuwepo walinzi tena mchana kweupe? Acha utoto.
 
Kma mliweza kujipiga risasi, kujilipua kwa bomu mtashindwa kuchoma ofisi zenu. Ikulu mtaisikia na kuisoma kwenye maandishi

Ni kweli, ila sio kwa kura, labda kwa maagizo ya rais ambaye anaitaka pia hiyo ikulu.
 
Mnampokea rais wenu ambae hatapata zaidi ya asilimia 20

Ndio, ila sio kwa kura. Labda kwa maagizo ya magu. Saa hii mbeleko ya pekee ni mahakama na vyombo vya dola. Subiri utaona. Yaani nitacheka kama sina akili, yaani hapo ni pale aliyejenga, bwawa, reli, kanunua ndege, anapotegemea mbeleko dhidi ya mtu ambaye katoka kitandani kwenye shambulio la risasi.
 
Back
Top Bottom