Yaliyojiri: Mapokezi ya Tundu Lissu Jijini Arusha - Ijumaa 14 Agosti, 2020

Yaliyojiri: Mapokezi ya Tundu Lissu Jijini Arusha - Ijumaa 14 Agosti, 2020

Ni Ijumaa tulivu.

Kama kawaida jiji la Arusha Kuna ubaridi asubuhi hii.Jiji likiwa katika hekaheka tangu Jana za Maandalizi ya mapokezi ya Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu.

Kanda ya Kaskazini hususan Jiji la Arusha ni ngome Kuu ya Chadema na akitoa salaam za kunikaribisha jijini humo Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini Godbless Lema alisema mapokezi ya Mgombea wao wa Urais yatazidi Kanda nyingine zote alizokwishatembelea.

Tayari Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe akiongozana na Mwenyekiti wa Kanda ya Kati Lazaro Nyalandu hapo Jana walimlaki Lissu maeneo ya mkoani Manyara tayari kuongozana naye kuingia Arusha leo.

He kweli jiji la Arusha litavunja rekodi leo? Tusubiri tuone.

Molemo Media imekwishawasili jijini Arusha kuwaletea moja kwa moja kitakachojiri katika mapokezi hayo ya kihistoria.

Karibuni...

Taarifa za hivi Punde

Ofisi za Chadema Kanda zachomwa Moto.

Kuna taarifa zilizotujia hivi Punde kwamba ofisi za Chadema Kanda ya Kaskazini zimechomwa Moto usiku wa kuamkia Leo na watu wasiojulikana.Hapa ndipo mgombea wa Urais Tundu Lissu alipaswa kupokelewa kwa ajili ya kudhaminiwa.Tunatarajia kupata taarifa kwa kina zaidi asubuhi hii kutoka kwa viongozi wa chama.

Taarifa ya Awali kutoka Ofisi ya Chama Arusha.

*TAARIFA YA AWALI*

Usiku wa leo, watu ambao hawajatambulika hadi sasa, wamevamia ofisi zetu za Chadema Kanda/Mkoa na Wilaya Arusha, wamechoma moto kwa petrol na kufanya uharibifu mwingine. Tumeshirikiana na jeshi la zimamoto, polisi na wadau wengine hadi sasa.

Taarifa zaidi zitatolewa.

*KATIBU WA MKOA ARUSHA*
*[Ijumaa, 14 Agosti 2020.]*
Chugastan home hawajawahi kuniangusha, naamini watachoma kila kitu cha sisiem!

Haiwezekan kila siku kufanyiwa hujuma tukabaki kulalamika, siasa chafu na za kizandiki zinajibiwa kwa mtindo huo huo, ngoja tupeleke majeshi tukajibu mapigo
 
Nimeumia sana hivi Rais magufuli kwanini agawagi hela akifika Kusini? Tulimkosea nini sisi watu wa kusini wakati huku tangu nchi ipate uhuru Ccm imetaga lakini akifika uku Agawi hela kama ilivyo kuwa mikoa mingine, Akumbuke mzee mkapa amezaliwa na amezikwa kusini .
 
Thread imeanza mapema ili ifikishe page nyingi.Huyo jamaa hauziki

Thread ikianza mapema ndio inakuwa na page nyingi? Hii ni akili au matope? Kwa taarifa yako kuna threads Zina miaka humu ndani na hazina hata page 3. Mkiambiwa ccm hamuwezi kujenga hoja muelewe. Na hili ni tatizo la kuanzia mwenyekiti wenu. Acheni hilo la kuchoma moto ofisi, ingieni kwenye hatua ya mauaji kwa wanacdm, ila iko wazi watu wanataka mabadiliko na bado hawajayapata.
 
Hacha ufenenge we mbwa, tunajua walimuibia kura zake.
Watu wa Arusha si wakuwa amini kihivyo. Wakati ule wa EL 2015 walimchanganya Mzee hayati Kingunge akaona umati mkubwa akajikuta anamuita atakaye kuwa Rais bora kabisa wa JMT kuwa ni nyapara barabara. Matokeo yake mzee wa watu akajifutia heshima yake yote aliyojijengea miongo kadhaa mbele ya jamaii ya Watanzamia.
 
Hacha ufenenge we mbwa, tunajua walimuibia kura zake.

Unajua wewe na nani? Huyo EL unayejifanya wakili wake wakusema kaibiwa kura yuko ccm karudi nyumbani na anamuomba JPM aendelee kutufinya zaidi kuleta nidhamu, maana serikali na wananchi tulibweteshwa kwa uzembe.
 
Back
Top Bottom