MNFUMAKOLE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2014
- 1,502
- 1,886
Huyu mjinga anajua nn?? yeye anatetea ni elfu saba yake tu!!Waulize walio katika inner circle watakwambia hali ilivyo Mkuu. Ni Surprise ya aina yake, dalili sio nzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mjinga anajua nn?? yeye anatetea ni elfu saba yake tu!!Waulize walio katika inner circle watakwambia hali ilivyo Mkuu. Ni Surprise ya aina yake, dalili sio nzuri
Kuna mgombea aliomba sugu amsugue [emoji2][emoji2]Huyu Robert ameoa watu wangapi Mbona anataka kumliza baby L View attachment 1603343
Anywe wapi wakati hajalipwa!!Nakuona BIA YETU!! Vipi umekunywa chai lakini [emoji23]
Umeandika utolopo ndio maana hata comment moja hujapata!! uwe unafikiria Kwanza!! pili lazima ujue watu wanataka nn? wape wanachotaka!!Inahitaji chama makini chenye misingi imara kushindana na chama tawala na kuamini kwamba watachukua dola
Hii chadema ina miaka 28 na nusu lakini naona kama upinzani umeanza mwezi wa August
28102020***
29102020****
30102020*****
Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda Singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
[/QUO
Fisadi atamaliza hazina yetu
OkayHakuna CCM wa dizaini yako.
Tupo chako ni chako tunakeng'eta kuku wa kienyeji kwa Serengeti lite tukimsubiri Mhe LISSU Leo. Ni YEYE 2020.Mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu leo anaendelea na kampeni zake za kuingia Ikulu katika mikoa ya kati.
Mgombea huyo ambaye kila dalili inaonyesha atapata ushindi mkubwa ataingia jimboni Kongwa anakotokea aliyekuwa Spika wa Bunge Job Ndugai.
Kuna Maandalizi makubwa ya mapokezi yameandaliwa na wananchi wa Kongwa huku wengi wakiwa hawamtaki Job Ndugai aliyetumia hila kupitia Tume ya Uchaguzi kumuondoa mgombea wa CHADEMA na kujipitisha bila kupingwa.
Ndugai anakumbukwa kwa kumnyima Tundu Lissu haki yake ya kutibiwa alipopigwa Risasi na Kama vile haikutosha akamfukuza ubunge huku akiwa kalala kitandani akitibiwa.
Mara baada ya kutoka Kongwa Tundu Lissu ataingia Dodoma Mjini kumalizika kampeni zake kwa siku ya leo.
Hata hivyo mapema asubuhi hii kabla ya kuingia Kongwa Lissu anatarajiwa kufanya kampeni maeneo ya Manyoni na Bahi.
=========
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amewataka wananchi kwenda kupiga kura Oktoba 28 ili kuuondoa madarakani utawala wa CCM uliodumu tangu Tanzania ipate uhuru.
Lissu ameyasema hayo leo, Oktoba 17 zikiwa zimebaki siku 10 tu kabla ya siku ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 28. Ameyasema hayo kwenye mkutano wake wa kampeni uliofanyika wilayani Manyoni akielekea Kongwa halafu Dodoma mjini.
Mgombea huyo amesema uchaguzi wa mwaka huu ni muhimu kuliko wakati wowote kwa sababu utaundaSerikali itakayolinda uhuru, haki na maendeleo ya watu.
"Katika hizi siku 10 zilizobaki, hakikisheni mnahamasishana kwenda kupiga kura ili mfanye mabadiliko ya utawala wa nchi yenu," amesema mgombea huyo.
Lissu amewataka wananchi wakapige kura kuchagua uhuru wa kuwasema viongozi waliowachagua na kuwakosoa pale wanapokosea.
Rais wa makalavati
Kuna ng'ombe mmoja yy kazi kusema niletee gwajimaaaSasaaaaa....Sasaaaaa...nisikilizeni basi.
Saaasaaa..Saaaasa..😂.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 1603371 Shem Robert usimfanyie usaliti baby L
Jiwe katoa malipo yenu ya buku saba naona umerudi ? Mlikuwa kwenye mgomo kushindwa malipo View attachment 1602835
president wa dunia
Inahitaji chama makini chenye misingi imara kushindana na chama tawala na kuamini kwamba watachukua dola
Hii chadema ina miaka 28 na nusu lakini naona kama upinzani umeanza mwezi wa August
28102020***
29102020****
30102020*****