FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,548
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Robert ameoa watu wangapi Mbona anataka kumliza baby L ?View attachment 1603329
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Robert ameoa watu wangapi Mbona anataka kumliza baby L ?View attachment 1603329
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] View attachment 1603333
Endeleeni kukomalia ujinga huku mgombea wenu anapooza tu injiniHuyu Robert ameoa watu wangapi Mbona anataka kumliza baby L View attachment 1603343
Endeleeni kukomalia ujinga huku mgombea wenu anapooza tu injiniView attachment 1603346
Huyo ni kenge kwenye msafara wa mamba.Hakuna CCM wa dizaini yako.
We ni zaidi ya fala . Hivi mgombea wenu akisemwa hamtakimbilia polisi ?!Huyu Robert ameoa watu wangapi Mbona anataka kumliza baby L View attachment 1603350
Tupo kwenye taharuki shemeji yetu Robert ameingiwa na nini?View attachment 1603344
View attachment 1603362
Anti Kawe na mashoga zake wakichagua mpunga anti aliyekuwa meya wa Ilala akimpaka rangi kucha dada mwanaidi
View attachment 1603364 makamanda tupo kwenye taharuki shemeji yetu Robert ameingiwa na nini?
View attachment 1603367
Anti Kawe na mashoga zake wakichagua mpunga anti aliyekuwa meya wa Ilala akimpaka rangi kucha dada mwanaidi
View attachment 1603368 robert anataka kmsaliti baby L ! Hii haikubaliki, tukamdhitaki Rober,mahakama ya the Hague
Anti Kawe Alummin na mashoga zake wakichagua mpunga anti aliyekuwa meya wa Ilala akimpaka rangi kucha dada mwanaidi
View attachment 1603370
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mambo ya aibu kabisa haya mkuu ila kwao ni kama ghahawa tu. Inashangaza kweli.Inaonesha ni namna gani mtu mzima yuko tayari kugawa hata tako amfurahishe mkubwa wake...
Unaijua Kanda ya ziwa au unaropokwa tu?Hilo unaalijua wewe kinyarahanga shabiki wa mitandaoni, Ila mwenzako anahaha kwelikweli ndomaana anarudiarudia kupita sehemu ambazo ameshapita zamani, Kanda ya ziwa karudi kama Mara tatu, na najua atarudi tena Mara ya nne ila kura hatapata.
Wewe ndo unataka tubishane kuhusu Kanda ya ziwa? Achana na kanda ya ziwa, hata huko uliko wewe bila msaada wa Jf napajua vizuri na mapema tu kuliko hata unavyofikiria.Unaijua Kanda ya ziwa au unaropokwa tu?
Awamu hii Kanda ya ziwa ni Lisu tu
Kweli mkuu! jamaa kichwa kimepata kutu!!Siyo wa Dodoma tu hata Chato watampa kura nyingi sana huyu mwingine si unaona tayari kichwa kimeshapata motoView attachment 1602828