peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Sijui anawaongopea nini huko leo, maana kila sehemu anaropoka tu.
Manyoni awali leo aliwaambia eti Chato kuna uwanja wa ndege ila hakuna maji na hakuna kinachofanywa.
Hivi CDM siku hizi hawana ata research team ya kumsaidia huyo mental case kabla ya kuropoka ovyo.
Napata shida sana kuelewa watu wanaowekeza imani zao kwa Lissu.
Tangu uhuru leo ndio mnachimba mitaro ya maji?