Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Mapokezi ya Tundu Lissu Kongwa na Dodoma Mjini

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Mapokezi ya Tundu Lissu Kongwa na Dodoma Mjini

Lissu anahangaika wajameni

Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Hii inaitwa acrobat campaign inahitaji akili kubwa kumuelewa Lissu na aina hii ya kampeni.

Ally Bananga and Amani Golugwa are the strategists guys ever in chadema.


Huwezi kuzungumza mafanikio ya Lissu katika kampeni hizi bila kuwayaja hao jamaa wawili.
 
Ndio kina nani hao? Lissu hata angemleta yule robert kuja kumsaidia

Kipigo cha October kipo pale pale

October 28 unachukua unaweka waaa kwa kwa Rais Magufuli na Ccm
Hii inaitwa acrobat campaign inahitaji akili kubwa kumuelewa Lissu na aina hii ya kampeni.

Ally Bananga and Amani Golugwa are the strategists guys ever in chadema.


Huwezi kuzungumza mafanikio ya Lissu katika kampeni hizi bila kuwayaja hao jamaa wawili.
 
Yeye, jiwe, bashiri, majaliwa, chaku ma lb7 na wenzao wote wako kwenye hali hiyo hiyo mkuu.

Pressure ya damu iko juu! Angalau 150/110.

Hypertension - wa kulazwa!
Lazima awatie pressure kwasababu ataichukua nchi Kama yalivyo matamanio yenu😂.
 
Sasa unajulikana kwa namna gani?

Uliza mtwara&lindi wanamjua Jiwe kwa lipi.
Nyie subirini kura zipigwe,mtabaki midomo wazi.Na hili hata mgombea wenu analijua ndomaana anarudiarudia mikoa ambayo tayari ameshapita, anaijua hali halisi tofauti na nyinyi mnaoshabikia tu huku mitandaoni.
 
Nyie subirini kura zipigwe,mtabaki midomo wazi.Na hili hata mgombea wenu analijua ndomaana anarudiarudia mikoa ambayo tayari ameshapita, anaijua hali halisi tofauti na nyinyi mnaoshabikia tu huku mitandaoni.
Huyu sio Lowassa Ndugu!

Mtatapika damu mbichi.

Zanzibar Maalim Seif

Bara Tundu Lissu.

Hatutaki UKHANITHI.
 
Sugu yuko tayari kumsugua Magufuli kama alivyoomba...
Kwakuwa aliwahi kukusugua au? Maana naona umekomaa Sana na hiyo statement. Napata wasiwasi huenda umetumwa kutafuta wenzako watakao kubali kusuguliwa na Sugu ili muwe wengi. Na kama si hivuo, wewe unamsemea Sugu kama nani?
 
Huyu sio Lowassa Ndugu!

Mtatapika damu mbichi.

Zanzibar Maalim Seif

Bara Tundu Lissu.

Hatutaki UKHANITHI.
Hilo unaalijua wewe kinyarahanga shabiki wa mitandaoni, Ila mwenzako anahaha kwelikweli ndomaana anarudiarudia kupita sehemu ambazo ameshapita zamani, Kanda ya ziwa karudi kama Mara tatu, na najua atarudi tena Mara ya nne ila kura hatapata.
 
Hilo unaalijua wewe kinyarahanga shabiki wa mitandaoni, Ila mwenzako anahaha kwelikweli ndomaana anarudiarudia kupita sehemu ambazo ameshapita zamani, Kanda ya ziwa karudi kama Mara tatu, na najua atarudi tena Mara ya nne ila kura hatapata.
Nani sasa anahaha?[emoji23][emoji23]

Mwenzako anapandisha hadi mashetani.

Nileteniiii Gwajimaaaàaaa!

Kutwa anatembea na fiesta.

Tunampakia akapumzike kijijini kwao.
 
Nani sasa anahaha?[emoji23][emoji23]

Mwenzako anapandisha hadi mashetani.

Nileteniiii Gwajimaaaàaaa!

Kutwa anatembea na fiesta.

Tunampakia akapumzike kijijini kwao.
Mwingine hotuba nzima hana cha kuongea zaidi ya kusema

Saaasa... Saaasa.. sasaaaaa..😂.
Tunasubiri uchaguzi uishe tuone kama atabaki, lazima atimke tu.
 
Mwingine hotuba nzima hana cha kuongea zaidi ya kusema

Saaasa... Saaasa.. sasaaaaa..[emoji23].
Tunasubiri uchaguzi uishe tuone kama atabaki, lazima atimke tu.
Kamshindilia nondo jiwe hadi kalegea anaomba kusuguliwa[emoji23][emoji23]

Mtaona rangi zote.
 
Kamshindilia nondo jiwe hadi kalegea anaomba kusuguliwa[emoji23][emoji23]

Mtaona rangi zote.
Saaaasa...sasaaaaaa 😂.Afu nasikia saivi jamaa ni hanisi sijui ni ukweli😳?Hebu watu wake wa karibu mtujuze.
 
Saaaasa...sasaaaaaa [emoji23].Afu nasikia saivi jamaa ni hanisi sijui ni ukweli[emoji15]?Hebu watu wake wa karibu mtujuze.
Nasikia jamaa yenu anasuguliwa na Sugu kashindwa kuvumilia kapayuka hadharani, Kweli?[emoji23][emoji23]
 
Lissu anahangaika wajameni

Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Nimesoma upuuzi ulioandika nikashangaa sasa hapo chini kuna watu wameusapoti upoloto huo. Nikajiuliza na nani hao?
Nilipoangalia nikaishia kicheko! Walewale 'half past dead'
Screenshot_20201017-143714.jpg
 
Back
Top Bottom