Magufuli na wewe ndio munao vuta bangi ndio maana hotuba zenu ni ngono ngono tuNdio mnavyojidanganya mkishavuta bangi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli na wewe ndio munao vuta bangi ndio maana hotuba zenu ni ngono ngono tuNdio mnavyojidanganya mkishavuta bangi
Anazingatia Ratiba ya Kampeni kama ilivyopangwa na Tume ya Uchaguzi.
Huyu mwingine anashinda magereji.Mungu ndio nguzo yake tangu amerudi nchini ni non stop stamina yake ya ajabu
Hahahahahahaaaaa wanifurahisha mieeeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1][emoji1][emoji1][emoji123][emoji123][emoji123][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]Tundu Lissu ana nini lakini?
Mbona wenzake wanachoka yeye anazidi kuchanja mbuga hivi?
Anakera kama nini huyu, kutaka watu waanguke na mapressure.[emoji23][emoji23]
Kijani mioyo inawatoka.Ni maeneo tofauti wewe kijani uwe na akili.
Manyoni na Itigi hakufanya mkutano bado.
Shika biaaaaaaaaa,Hadi watu wanarukwa akili si mchezoView attachment 1602833
Kapitia njia ya Itigi au huijiuiSasa anatoka Tabora kwa Gari kwenda Dodoma ataachaje kupita Singida?
Nileteeeeni Gwajimaaaaaaaa![emoji23][emoji23]Hahahahahahaaaaa wanifurahisha mieeeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1][emoji1][emoji1][emoji123][emoji123][emoji123][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]
Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Acha kufatilia habari za lisu, zitakutesa sanaLissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Huyu angetakiwa aliwe mishikaki40% za comment zote humu ndani ni za Kawe Alumni naona Leo wapo zamu na bwana YEHODAYA ila yeye anategea
Sasa anatoka Tabora kwa Gari kwenda Dodoma ataachaje kupita Singida?
Wale wa pale kinondoni wameletwa na lisu?
Namtakia kila la heri.Mwenyezi Mungu atusaidie tuondokane na manyanyaso ya utawala huu.Mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu leo anaendelea na kampeni zake za kuingia Ikulu katika mikoa ya kati.
Mgombea huyo ambaye kila dalili inaonyesha atapata ushindi mkubwa ataingia jimboni Kongwa anakotokea aliyekuwa Spika wa Bunge Job Ndugai.
Kuna Maandalizi makubwa ya mapokezi yameandaliwa na wananchi wa Kongwa huku wengi wakiwa hawamtaki Job Ndugai aliyetumia hila kupitia Tume ya Uchaguzi kumuondoa mgombea wa CDM na kujipitisha bila kupingwa.
Ndugai anakumbukwa kwa kumnyima Tundu Lissu haki yake ya kutibiwa alipopigwa Risasi na Kama vile haikutosha akamfukuza ubunge huku akiwa kalala kitandani akitibiwa.
Mara baada ya kutoka Kongwa Tundu Lissu ataingia Dodoma Mjini kumalizika kampeni zake kwa siku ya leo.
Hata hivyo mapema asubuhi hii kabla ya kuingia Kongwa Lissu anatarajiwa kufanya kampeni maeneo ya Manyoni na Bahi.
Kweli mzee kachoka, kila baada ya siku tatu za kampeni anakata motoSiyo wa Dodoma tu hata Chato watampa kura nyingi sana huyu mwingine si unaona tayari kichwa kimeshapata motoView attachment 1602828