MNFUMAKOLE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2014
- 1,502
- 1,886
We mshamba kongwa iko dodoma! sio singida! Wajinga ndio mko ccm !Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mshamba kongwa iko dodoma! sio singida! Wajinga ndio mko ccm !Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
KabisaaaaLissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Kumbe umeanza kumkibari mgonbea WAKO??!!!!Leo lazima nihudhurie hapa Dodoma.
Yule wako kaenda maeneo mangapi mpaka leo manake Moshi hatujamwona kabisaaaa au atapigiwa kura na mabango na mapicha mliobandika kila chocho kama ndio hivyo basi sawa sisi tutampigia Lissu wengine mabango yatampigiaLissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
We jamaa unapingwa Sana humu sijui tatizo. Eti kijani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakuona BIA YETU!! Vipi umekunywa chai lakini 😂Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Tulia kimya ndio kwanza pana karibia kupambazoka mwaka huu akili zitawakaa sawa ole ole ole wenu muibe kura tutatangulia kwa pamoja mbinguni[emoji3][emoji3][emoji3]Ndio mnajidanganya mkivuta bangi
Gari lenu mbovu mnawasha lini tena si engine imepoa kidogo sasa hivi?Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Kwani yule gwajima Leo anakampeni wapi maana naona amekaa kama gari ya mchanga trip moja saiti trip gerejiHakuna Uchaguzi rahisi kama huu Mkuu ushindi ni 98%
October 28 unachukua unaweka waaa kwa Rais Magufuli na Ccm
Acha uboya anafuata ratiba, hajawahi kuwa manyoni alipita tuLissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Kama nyinyi munavoo shinda tume kwa kupanga figisu Zanzibar Mara hii kumoto na Tanganyika moto 27 tunaenda sasa uvumilivu bassiHuyo labda ashinde njaa
Rais wa makalavatiView attachment 1602923
president wa dunia
Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
AmenHeko kwake popote alipo!
Dua njema tunamuombea
Ameonesha nguvu na matumaini makubwa.
Tunakuombea nguvu na afya njema
Uendelee kuonesha njia na utetezi wa haki.
Nadhani hukukosea kusomea sheria.
Hukukosea kutoa uhai wako ukitetea haki.
Mwenyezi Mungu awe pamoja nawe
Akuongoze kwa mazuri daima.
Akubadilishe penye mapungufu.
Hakika ni dua langu na yeyote anayependa haki sawa kwa watanzania wote.
Amin
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app