kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,706
- 6,901
Mkuu Lissu habari ingine fikiria jana tu alikua Urambo huko leo pamoja na maeneo mengine atakua Kongwa, TL kashaamua kazi kazi he never get tired Mungu amsimamieAisee mimi najiamini ni mchapa kazi sana. Kuna wakati nachapa kazi 48hrs mfululizo bila kulala wala kupumzika lakini huyu Mwamba nimemvukia kofia aisee.
Khaa!!