Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Mapokezi ya Tundu Lissu Kongwa na Dodoma Mjini

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Mapokezi ya Tundu Lissu Kongwa na Dodoma Mjini

Mungu amlinde, huko, yupo yule anayetumia mabilioni kujiuguza ilhali ndiye anayechapa watu bakora na kupiga magongo wenzake! 😛😀

Everyday is Saturday................................😎
 
Tundu Lissu ana nini lakini?

Mbona wenzake wanachoka yeye anazidi kuchanja mbuga hivi?

Anakera kama nini huyu, kutaka watu waanguke na mapressure.[emoji23][emoji23]
Hadi watu wanarukwa akili si mchezo
JamiiForums672091462.jpg
 
Wakati serikali ina hamasisha watu waende kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi mkuu, Chadema walikua wakihamasisha watu wasiende kujiandikisha mbaka ipatikane katiba Mpya. Chakushangaza baada ya matokeo wata lalamika wameibiwa kura.
 
Uchaguzi huu ni rahisi sana kiongozi

October 28 unachukua unaweka waaa kwa kwa Rais Magufuli na Ccm

Utaamini baada ya October 28
Waulize walio katika inner circle watakwambia hali ilivyo Mkuu. Ni Surprise ya aina yake, dalili sio nzuri
 
Tundu Lissu ana nini lakini?

Mbona wenzake wanachoka yeye anazidi kuchanja mbuga hivi?

Anakera kama nini huyu, kutaka watu waanguke na mapressure.[emoji23][emoji23]
Ukiona hivyo ujue hakuna haja ya wao kufanya hivyo.Nakumbuka 2015 Kuna jamaa alitembea mikoa yote kwa gari kuomba kura.Huyu Lissu lazima azunguke hata kama hataki maana hajulikani😂.
 
Ukiona hivyo ujue hakuna haja ya wao kufanya hivyo.Nakumbuka 2015 Kuna jamaa alitembea mikoa yote kwa gari kuomba kura.Huyu Lissu lazima azunguke hata kama hataki maana hajulikani[emoji23].
Sasa unajulikana kwa namna gani?

Uliza mtwara&lindi wanamjua Jiwe kwa lipi.
 
SALAAM ZA GWAJIMA KUTOKA MWISHO WA RELI.
1. Ulituaidi Chuo Cha Marubani hukutimiza.
2. Uliaidi kujenga Chuo Cha Biblia, hukutimiza.
3. Uliaidi kujenga Hospitali Kata ya Salasala, hukutimiza Hilo.
4. Uliaidi kumfufua Amina Chifupa, Hukutimiza pia.
5. Uliaidi kugeuza Misikiti kuwa Sunday schools, Hujatimiza.
6. Umeshindwa kulipia semitrailer mbili bandalini (90Mil.)
7. Ulituaidi na ukatutaka kuchanga fedha za kuanzisha TV lkn hujatimiza.
8. Ulituaidi na kutuchangisha fedha za kuanzisha Radio, lkn hujatimiza.
9. Ulituuzia viwanja (2015) kule Kiluvya (Mwanakondoo), lkn mpaka Leo hujatupatia.
10. Ulituaidi kuleta ndege 12 za abiria, lkn hujatimiza.
11. Ulituaidi treni ya umeme lkn hujatimiza.
12. Ulituaidi lujenga kanisa lenye uwezo wa Kubeba watu 250,000 kwa ibada moja, lkn hujatimiza na bado tuko chini ya mabati.
13. Leo unatuaidi kwenye kampeni kuwapeleka wananchi wa Kawe Marekani📷📷📷📷, Askofu! Askofu! Askofu! Mungu anakuona ujue.....dhambiya Uongo ni ya shetani mwenyewe kabisa.
14. Aidha, bado tunakumbuka juu ya ile video. Maana mwenendo wako baada ya ile video umebadilika Sana, ijapokuwa bado hatuamini Kama Kuna mahusiano.
Embu tuachie Kawe yetu bana...
 
Anamtaka na Gwajima,
Nileteeni porn star Gwajimaaaaaa!
SALAAM ZA GWAJIMA KUTOKA MWISHO WA RELI.
1. Ulituaidi Chuo Cha Marubani hukutimiza.
2. Uliaidi kujenga Chuo Cha Biblia, hukutimiza.
3. Uliaidi kujenga Hospitali Kata ya Salasala, hukutimiza Hilo.
4. Uliaidi kumfufua Amina Chifupa, Hukutimiza pia.
5. Uliaidi kugeuza Misikiti kuwa Sunday schools, Hujatimiza.
6. Umeshindwa kulipia semitrailer mbili bandalini (90Mil.)
7. Ulituaidi na ukatutaka kuchanga fedha za kuanzisha TV lkn hujatimiza.
8. Ulituaidi na kutuchangisha fedha za kuanzisha Radio, lkn hujatimiza.
9. Ulituuzia viwanja (2015) kule Kiluvya (Mwanakondoo), lkn mpaka Leo hujatupatia.
10. Ulituaidi kuleta ndege 12 za abiria, lkn hujatimiza.
11. Ulituaidi treni ya umeme lkn hujatimiza.
12. Ulituaidi lujenga kanisa lenye uwezo wa Kubeba watu 250,000 kwa ibada moja, lkn hujatimiza na bado tuko chini ya mabati.
13. Leo unatuaidi kwenye kampeni kuwapeleka wananchi wa Kawe Marekani📷📷📷📷, Askofu! Askofu! Askofu! Mungu anakuona ujue.....dhambiya Uongo ni ya shetani mwenyewe kabisa.
14. Aidha, bado tunakumbuka juu ya ile video. Maana mwenendo wako baada ya ile video umebadilika Sana, ijapokuwa bado hatuamini Kama Kuna mahusiano.
Embu tuachie Kawe yetu bana...
 
Hii ratiba ya Lisu vp ,anapita pita huko Dom Mara kwa Mara wakati Hana wapigakura wa maana,Kwa nn asipeleke nguvu kubwa Kanda ya Nyasa na Kusini maana eneo Kama Songea au Lindi na Mtwara hajafika wakati Kuna potential kubwa kuliko huko kwa wagogo wasioelewa?
Afu hizi ratiba hazina maana maana yule wa gereji huwa hafuati na hachukuliwi hatua
 
Back
Top Bottom