Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo wa Dodoma tu hata Chato watampa kura nyingi sana huyu mwingine si unaona tayari kichwa kimeshapata motohivi kwa akili ya kawaida tu unadhani watu wa dodoma watamchagua au.
Hivi kukata vidole tu ndiyo mabilioni yote yale?Jimbo la mgonjwa ghali zaidi duniani aliyeingia kwenye vitabu vya kihistoria
Hadi watu wanarukwa akili si mchezoTundu Lissu ana nini lakini?
Mbona wenzake wanachoka yeye anazidi kuchanja mbuga hivi?
Anakera kama nini huyu, kutaka watu waanguke na mapressure.[emoji23][emoji23]
Waulize walio katika inner circle watakwambia hali ilivyo Mkuu. Ni Surprise ya aina yake, dalili sio nzuriHakuna Uchaguzi rahisi kama huu Mkuu ushindi ni 98%
October 28 unachukua unaweka waaa kwa Rais Magufuli na Ccm
Waulize walio katika inner circle watakwambia hali ilivyo Mkuu. Ni Surprise ya aina yake, dalili sio nzuri
Jiwe katoa malipo yenu ya buku saba naona umerudi ? Mlikuwa kwenye mgomo kushindwa malipoLissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Ukiona hivyo ujue hakuna haja ya wao kufanya hivyo.Nakumbuka 2015 Kuna jamaa alitembea mikoa yote kwa gari kuomba kura.Huyu Lissu lazima azunguke hata kama hataki maana hajulikani😂.Tundu Lissu ana nini lakini?
Mbona wenzake wanachoka yeye anazidi kuchanja mbuga hivi?
Anakera kama nini huyu, kutaka watu waanguke na mapressure.[emoji23][emoji23]
Inner circle gani unayozungumzia? Tofauti na hiyo uliyemquote?Waulize walio katika inner circle watakwambia hali ilivyo Mkuu. Ni Surprise ya aina yake, dalili sio nzuri
Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Sasa unajulikana kwa namna gani?Ukiona hivyo ujue hakuna haja ya wao kufanya hivyo.Nakumbuka 2015 Kuna jamaa alitembea mikoa yote kwa gari kuomba kura.Huyu Lissu lazima azunguke hata kama hataki maana hajulikani[emoji23].
Kwani wewe ni msemaji wa watu wa Dodoma?hivi kwa akili ya kawaida tu unadhani watu wa dodoma watamchagua a
Usiifananishe na Gari ya mkaa. Ikipona hiyo trip moja inatembea na Wasanii 200 ili kuongea vichwa.Tundu Lissu ana nini lakini?
Mbona wenzake wanachoka yeye anazidi kuchanja mbuga hivi?
Anakera kama nini huyu, kutaka watu waanguke na mapressure.[emoji23][emoji23]
Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
SALAAM ZA GWAJIMA KUTOKA MWISHO WA RELI.Anamtaka na Gwajima,
Nileteeni porn star Gwajimaaaaaa!
Atapita kuwasalimia tuu mkae center hapo itigiKwa maana hiyo hatafanya mikutano jimbo la Igalula na Manyoni Magharibi (Itigi)
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app