Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Mapokezi ya Tundu Lissu Kongwa na Dodoma Mjini

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Mapokezi ya Tundu Lissu Kongwa na Dodoma Mjini

Ukweli ndio huo na wanachama pekee wa ccm wenye kadi ni wengi kuliko wa chadema ,pili ccm tayar ina madiwani na wabunge waliopita bila kupingwa na ikiwa chadema na Zambarau walisema watapita nchi nzima kusema ili watu wao warudishwe ila ni wachache tu ndio waliorudi yaani hapa nazungumzia madiwani na wabunge tu vipi iwe kwa Rais kwamba chadema ishinde inaanzaje kwa mfano haina hata mtaji wa wabunge ni kichekesho cha karne katika miaka ya chaguzi hii ni nyepesi kuliko hata za Nccr ya Mrema,Dr Slaa na Lowassa huu wa sasa Lissu kawa mpinzani kwa kusemewa Twitter na JF ila kiuhalisia jamaa atashindwa vibaya sana.

Mf. 2015 Ccm m8 na Chadema m6 na hapo Ccm ilikuwa na asilimia 59 nadhani ila chadema 39 na jamaa alikuwa nyoko kweli hata mimi nilimpigia Lowassa maana kipindi hicho ccm ilikuwa imechokwa vibaya sana na hao waliungana wote yani sasa iwe leo tena kwa ushuzi wa ubelgiji .
Bro utaona jamaa atakavyochakazwa mimi kuna watu kabisa wameichoka ccm ila wanasema mgombea wa ubunge atakosa ila Raisi watampa Magu hiyo ndio hali halisi huku nilipo ila JF na Twitter mshindi ni Tundu wa Amstadam.
Kama CCM imechakaa basi Magu akifeli aanzishe chama chake.
 
Mwingine hotuba nzima hana cha kuongea zaidi ya kusema

Saaasa... Saaasa.. sasaaaaa..😂.
Tunasubiri uchaguzi uishe tuone kama atabaki, lazima atimke tu.
Kuna ng'ombe mmoja yy kazi kusema niletee gwajimaaa
Niletee gwajimaaaaaa
Niletee gwajimaaaa....

Nadhani analenga mambo mawili...
1. Kuendeleza ajenga ya kuratibu ukabila
2. Kusuguliwa km anavyopenda kusuguliwa
 



Sijui anawaongopea nini huko leo, maana kila sehemu anaropoka tu.

Manyoni awali leo aliwaambia eti Chato kuna uwanja wa ndege ila hakuna maji na hakuna kinachofanywa.

Hivi CDM siku hizi hawana ata research team ya kumsaidia huyo mental case kabla ya kuropoka ovyo.

Napata shida sana kuelewa watu wanaowekeza imani zao kwa Lissu.
 
Kuna ng'ombe mmoja yy kazi kusema niletee gwajimaaa
Niletee gwajimaaaaaa
Niletee gwajimaaaa....

Nadhani analenga mambo mawili...
1. Kuendeleza ajenga ya kuratibu ukabila
2. Kusuguliwa km anavyopenda kusuguliwa
Sasaaaaa....Sasaaaaa...nisikilizeni basi.
Saaasaaa..Saaaasa..😂.
 
hivi kwa akili ya kawaida tu unadhani watu wa dodoma watamchagua au.

1602939751842.png

Bac watakuchagua wewe
 
Asilimia 70% ya kura za Urais wa Jamhuri ya Muungano zinakwenda kwa Tundu Lissu the greatest 68%ya viti vya Ubunge vinaenda Chadema
Kwa muktadha Huu Mzee Raisi Chato akasimamie Guest House yake.
Siku hizi unakunywa mapuya? Maana hali ngumu mpaka mnatabiri uozo tu.
 
Anza na Magufuli aliomba kusuguliwa na Sugu.
Kwani maana ya kusugua ni nini? Mtu akisema nchi fulani na fulani zina msuguano,utamdhihaki? Acheni kuharibu lugha yetu kwa mawazo yenu potofu. Kwa nini mnaruhusu shetani atawale fikra zenu?
 
Back
Top Bottom