Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Mapokezi ya Tundu Lissu Kongwa na Dodoma Mjini

Kivumbi Dodoma...Mh. Lissu aizidi kukaza spana!
Your browser is not able to display this video.


One Love! One Heart!
Let's get together and feel all right
Hear the children cryin' (One Love!)
Hear the children cryin' (One Heart!)
Sayin': give thanks and praise to the Lord and I will feel all right
Sayin': let's get together and feel all right. Wo wo-wo wo-wo!​
 
Inahitaji chama makini chenye misingi imara kushindana na chama tawala na kuamini kwamba watachukua dola
Hii chadema ina miaka 28 na nusu lakini naona kama upinzani umeanza mwezi wa August

28102020***
29102020****
30102020*****
Umeandika utolopo ndio maana hata comment moja hujapata!! uwe unafikiria Kwanza!! pili lazima ujue watu wanataka nn? wape wanachotaka!!
 
Shekhe Ponda kapiga msumari wa mwisho kwenye jeneza la CCM.."Waislamu tusipompa kura Lissu dua zetu hazitajibiwa "
 
Tupo chako ni chako tunakeng'eta kuku wa kienyeji kwa Serengeti lite tukimsubiri Mhe LISSU Leo. Ni YEYE 2020.
 
Hii ni moja ya kauli niyoweza kuiita ni kauli ya kishujaa kutoka kwa Tundu Lissu akiwa Dodoma jana kwani ni wanasiasa wachache sana wenye ujasiri wa kutamka maneno kama hayo katika nchi yetu.

Lissu ametoa kauli hiyo akijibu matamshi ya Mgombea Mwenza wa CCM, Mama Samia Suluhu kuwa wao ndio wataunda serikali hata kama watu watampigia kura upinzani.

CCM mtamkumbuka sana Lowassa aliekuwa na kauli za upole mwaka 2015 licha ya kuwa na viashiria vyote vya kushinda Uchaguzi Mkuu ule.
 
Sasaaaaa....Sasaaaaa...nisikilizeni basi.
Saaasaaa..Saaaasa..πŸ˜‚.
Kuna ng'ombe mmoja yy kazi kusema niletee gwajimaaa
Niletee gwajimaaaaaa
Niletee gwajimaaaa....

Nadhani analenga mambo mawili...
1. Kuendeleza ajenga ya kuratibu ukabila
2. Kusuguliwa km anavyopenda kusuguliwa
 
Jiwe katoa malipo yenu ya buku saba naona umerudi ? Mlikuwa kwenye mgomo kushindwa malipo View attachment 1602835
president wa dunia
Inahitaji chama makini chenye misingi imara kushindana na chama tawala na kuamini kwamba watachukua dola
Hii chadema ina miaka 28 na nusu lakini naona kama upinzani umeanza mwezi wa August

28102020***
29102020****
30102020*****

πŸ˜πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…