Na nyingine hii👇Ni Kama vile shughuli zimesimama katika mji wa Kibiashara wa Kahama.
Mamia kwa Mamia ya wakazi wa mji wa Kahama wako majiani wakisubiri ujio wa kipenzi chao Tundu Antipass Lissu anayetarajia Kuwasili hapa wakati wowote kuanzia sasa
Kuna idadi kubwa ya vijana wa bodaboda wameondoka kwenda kumlaki shujaa huyo, huku akina mama wakiandaa Kanga kutandika chini ili apite juu yake.Maduka mengi yamefungwa na wafanyibiashara wamejipanga kandokando mwa barabara
View attachment 1534118
Hamna chochote huyu Tundu Lissu. Hapati ata 15% ya kula zitakazopigwa
Hahaha unajua wasukuma wewe? Au unachochea ukabilaTuwakumbushe tu wasiojua...
Kahama ni USUKUMANI kwa John Pombe Magufuli....
Hii ishara kuwa, hata nduguze hawamtaki, wanataka aondoke...
Uhame nchi uende wapi we takataka..
Bulldozer limechokwa hatari. Mpk limeagiza kupigwa marufuku television zote ili TAML asionekane kabisalile bull dozer likipita huko linavuruga kila kitu,
Usifanye ulinganifu kati ya Magufuli na Lisu. Maguli amechokwa, hapendwi na hatakiwi na watanzania wote.Wapiga kura hawatofautiani sana na wajumbe.
Ushetani mtupuSafari wamebadili hawapigi deki barabara ?
Kazi mnayo lakini lile bull dozer likipita huko linavuruga kila kitu, endeleeni kujichosha na kumaliza mate.
Pia muwe makini huyo jamaa yenu bado mgonjwa, anatembea na risasi kiunoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je mbeya
Usijidanganye Mkuu. Ni kawaida watu kumshangaa mtu aliepatwa na matatizo makubwa kama Lissu. Watu wanaenda kushangaa ndie huyu aliepigwa risasi? Sasa nyinyi mnaichukulia kama ndo kukubalika kwa chama chenu. Hata angekua hana chama still watu wangetoka kumshangaa.NAWASALIMIA SANA WALE WALIOKUWA WAKISEMA UPINZANI UMEKUFA[emoji41][emoji41]
Apati kituLissu hataki kula atapewa kura
Ulikuepo 2015 wakati Lowassa anapigiwa deki?Haki isipopokonywa nawaapia ya kwamba ccm hawana lao katika uchaguzi huu.
Hata kwako??Apati kitu
Hata kura atazipata kwa namna hiyo hiyo ya kushangazaUsijidanganye Mkuu. Ni kawaida watu kumshangaa mtu aliepatwa na matatizo makubwa kama Lissu. Watu wanaenda kushangaa ndie huyu aliepigwa risasi? Sasa nyinyi mnaichukulia kama ndo kukubalika kwa chama chenu. Hata angekua hana chama still watu wangetoka kumshangaa.
Hiyo Miaka 5 mamvi alikua anafanya siasa na nyinyi? Au nyinyi ndo mlikua mnazunguka nchi nzima kumnanga? Matokeo yake mkalamba matapishi yenu. Mamvi alikuja na umaarufu wake Chadema. Infact, ndo aliyewabeba na kuwafanya mpaka leo mnasurvive.Kipindi hicho cha Mamvi kulikuwa na siasa za kishenzi kama hizi? Kulikuwa na kundi la watu wasiojulikana? Wakati ule upinzani ulifanya siasa kwa miaka mitano mfululizo, je safari hii hujui kuwa siasa zimeanza kufanyika wiki 3 zilizopita ndani ya hii miaka mitano tu? Au hujui hata kufananisha?
Unaota wewe ..si mlisema lissu hawezi kurudi na chadema ilishakufa ?? Mbona mnajinyea nyea??Hiyo Miaka 5 mamvi alikua anafanya siasa na nyinyi? Au nyinyi ndo mlikua mnazunguka nchi nzima kumnanga? Matokeo yake mkalamba matapishi yenu. Mamvi alikuja na umaarufu wake Chadema. Infact, ndo aliyewabeba na kuwafanya mpaka leo mnasurvive.