Uchaguzi 2020 Yaliyojiri mjini Kahama katika mapokezi ya Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri mjini Kahama katika mapokezi ya Tundu Lissu

Ni Kama vile shughuli zimesimama katika mji wa Kibiashara wa Kahama.

Mamia kwa Mamia ya wakazi wa mji wa Kahama wako majiani wakisubiri ujio wa kipenzi chao Tundu Antipass Lissu anayetarajia Kuwasili hapa wakati wowote kuanzia sasa

Kuna idadi kubwa ya vijana wa bodaboda wameondoka kwenda kumlaki shujaa huyo, huku akina mama wakiandaa Kanga kutandika chini ili apite juu yake.Maduka mengi yamefungwa na wafanyibiashara wamejipanga kandokando mwa barabara
View attachment 1534118
Na nyingine hii👇
 
Tuwakumbushe tu wasiojua...

Kahama ni USUKUMANI kwa John Pombe Magufuli....

Hii ishara kuwa, hata nduguze hawamtaki, wanataka aondoke...
Hahaha unajua wasukuma wewe? Au unachochea ukabila
 
NAWASALIMIA SANA WALE WALIOKUWA WAKISEMA UPINZANI UMEKUFA[emoji41][emoji41]
Usijidanganye Mkuu. Ni kawaida watu kumshangaa mtu aliepatwa na matatizo makubwa kama Lissu. Watu wanaenda kushangaa ndie huyu aliepigwa risasi? Sasa nyinyi mnaichukulia kama ndo kukubalika kwa chama chenu. Hata angekua hana chama still watu wangetoka kumshangaa.
 
I like what i see, Tundu Lissu ni game changer, amekuja kubadilisha the whole dynamic ya Tanzania politics. Kikubwa zaid kwa hoja zake nzito chama tawala na wafuasi wake wamejikuta wakikaa kwenye defensive mode. Huyu ndo aina ya mpinzani anayehitajika kwenye mazingira ya sasa.
 
Usijidanganye Mkuu. Ni kawaida watu kumshangaa mtu aliepatwa na matatizo makubwa kama Lissu. Watu wanaenda kushangaa ndie huyu aliepigwa risasi? Sasa nyinyi mnaichukulia kama ndo kukubalika kwa chama chenu. Hata angekua hana chama still watu wangetoka kumshangaa.
Hata kura atazipata kwa namna hiyo hiyo ya kushangaza
 
Kipindi hicho cha Mamvi kulikuwa na siasa za kishenzi kama hizi? Kulikuwa na kundi la watu wasiojulikana? Wakati ule upinzani ulifanya siasa kwa miaka mitano mfululizo, je safari hii hujui kuwa siasa zimeanza kufanyika wiki 3 zilizopita ndani ya hii miaka mitano tu? Au hujui hata kufananisha?
Hiyo Miaka 5 mamvi alikua anafanya siasa na nyinyi? Au nyinyi ndo mlikua mnazunguka nchi nzima kumnanga? Matokeo yake mkalamba matapishi yenu. Mamvi alikuja na umaarufu wake Chadema. Infact, ndo aliyewabeba na kuwafanya mpaka leo mnasurvive.
 
Hiyo Miaka 5 mamvi alikua anafanya siasa na nyinyi? Au nyinyi ndo mlikua mnazunguka nchi nzima kumnanga? Matokeo yake mkalamba matapishi yenu. Mamvi alikuja na umaarufu wake Chadema. Infact, ndo aliyewabeba na kuwafanya mpaka leo mnasurvive.
Unaota wewe ..si mlisema lissu hawezi kurudi na chadema ilishakufa ?? Mbona mnajinyea nyea??
 
Back
Top Bottom