Uchaguzi 2020 Yaliyojiri mkutano wa kampeni za Mgombea wa CCM Dkt. Magufuli akiwa Bukoba, Kagera

Ama kweli nabii hana heshima kwao.
Hata akishinda Lissu mtampa kazi sana sababu sijui atawafanyia nini mridhike.
Kila la heri JPM tano tena.
 
Kwenye namb 2 na 4 ujiridhishe tena.
 
Hivi CCM kwa nini mnapenda kusema kwa upendo wa Magufuli wakati aliomba kazi wananchi wakampa na analipwa kwa ajili ya hiyo kazi? Eti kwa upendo wa Magufuli wakati huo ni wajibu wake kisheria na tena hajafanya vya kutosha.
Upendo ni pale unafanya ajambo ambalo halipo kisheria unafanya kwa hiari yako. Kama Yesu alivyofanya kwa ulimwengu. Yesu akuomba kura za kuja duniani kuja kupata mateso kwa ajili ya watu. Ila alijitolea kufa kwa ajili ya watu. Huyo anatetea ugali wake mnasema eti kwa Upendo wa Raisi. Semeni anatimiza wajibu wake kisheria. Au mnataka asiwanyenyekee waliomchangua?
 
Pole sana, unadhani hao waliokuwa hapo wote ni wenzenu, narudia tena pole sana. Magufuli hana hamu na Kagera. Cheki vidole viwili hivyo anavyooneshwa live bila chenga.
 
Inabidi mkubali tu kuwa ccm sasa hivi ndiyo inachukiwa kuliko kipindi chochote kile tangu tupate uhuru.
 
Inabidi mkubali tu kuwa ccm sasa hivi ndiyo inachukiwa kuliko kipindi chochote kile tangu tupate uhuru.
Kama huitaki si ukae kimya kelele za nn kelele nyingi haya imba sasa kila mtu na mapenzi yake
 
Bukoba hakuna shule ya msingi wanafunzi wanavaa sketi za rangi ya kijani, kama ipo shule hiyo naomba unitajie ni shule gani? Sitetei CCM bali huwa sipendi uongo
Kitu kama hujui siyo lazima u comment
 
Anaglia usije jinyonga baada 28 October Mzee atakapo tangazwa na kuapishwa
Mnadhani October 28 haifiki?

Tundu Lissu ndio Rais tupa kule huyo mshamba na limbukeni wa ndege
 
Watu wanampenda Magufuli Hadi basi na tarehe 28 utashuhudia Kama upinzani mtapata hata Jimbo moja Kagera

Hadi pale nchi hii itakapokuwa na tume huru kauli kama hizi zitaendelea kuwepo tu kwa sababu tume ndio ccm. That's all.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…