Uchaguzi 2020 Yaliyojiri mkutano wa kampeni za Mgombea wa CCM Dkt. Magufuli akiwa Bukoba, Kagera


Kitu cha Infinix X650B 😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kisa nini mkuu? Kisa katawala Mtz/mbeligiji!!! Mwambie hii ni nchi yetu na hatuna uraia Pacha kama Yeye alivyo, asituharibie akitaraji kukimbilia Kwao kwingine
Nasikia wewe nawe ulikuwa mmojawapo wa walio taka kumuondoa lissu!
 
Porojo hatutaki... Lissu ndie rais ajae 2020-2025
 
Mbunge anayeamini maendeleo yanaletwa na rais kwa buruma na upendo wake na si wananchi kupitia kodi zao anawezaje kuisimamia serikali ili itumie kodi za watanzania vizuri?Hapo hanna mtu anayepaswa kuchaguliwa kuwa mbunge
 
Hivi ule msemo MAENDELEO HAYANA CHAMA unamaanisha nini?...
 
Askofu wa katoliki??nani huyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…