Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Wajaluo tunasimama na odinga baba, sisi watu wa kilongwe bubombi sometimes tuna feel tum Kenya,..
Nadhani walianza kuhesabau ngome za ruto ndio maana Alikua anaongoza, sasahivi ni ngome za odinga zimeanza kujumlishwa, hapo bado migori na kisumu huko ni 100%
Wallah naomba ashinde huyu Odinga, katoka mbali mnoo, wampe hata muhula m1 tyuuh.
 
Ayaa hayo apo
Screenshot_20220810-221834_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom